Dua zenu zimekubaliwa: Kenya haitaagiza tena chakula kutoka Tanzania 2023

Dua zenu zimekubaliwa: Kenya haitaagiza tena chakula kutoka Tanzania 2023

Kwanza wamesababisha soko letu la ndani kupanda bei kwa bidhaa za nafaka 😂😂😂
 
Tanzania ina masilahi gani Kongo? Au kule Msumbiji pia Rwanda ina jeshi je wana masilahi gani? Burundi ina jeshi Somalia je Wana masilahi gani? Mambo memgine kama.haya yana kuzidi uwezo, ni bora ukajadili maada za fumanizi ndio levo zako
Rwanda wana maslahi msee. Under french umbrella
 
Tanzania ina masilahi gani Kongo? Au kule Msumbiji pia Rwanda ina jeshi je wana masilahi gani? Burundi ina jeshi Somalia je Wana masilahi gani? Mambo memgine kama.haya yana kuzidi uwezo, ni bora ukajadili maada za fumanizi ndio levo zako
Nchi gani inatumia zaidi bandari ya dar!? Biashara kati ya tz na kongo ni kiasi gani!?
 
Ruto akiwa makamo wa Rais alihusishwa na njama ya Kenya kusitisha manunuzi ya mahindi kutoka Tanzania.

Hiyo ilitokana na Ruto kufadhili mashamba makubwa ya mahindi nchini DRC ambapo inadaiwa kuwa alijipanga kutoa huduma hiyo kuanzia miaka ya 2020 lakini mpango ukabuma.

Kuna wakati mahindi yetu yalikataliwa kuingia Kenya kwa sababu yameathiriwa na sumu kuvu. Hivi sasa yuko kiti kirefu, inawezekana Amerika kusini inapakaziwa tu, karibu zaidi kama siyo Tanzania basi ni DRC.
Diplomatic Intelligence....ni kipaumbele kikubwa katika muda huu wa Dunia...waulize Morocco watakupa JIBU
 
Tuwache unafiki Kenya wanatumia pesa wape chakula kwa uhakika. Sisi wote ni DOMO KAYA, kila cha maana tunakitia dosari, Msomali kasema mipaka haifungwi ili mkulima anufaike tukasema ameharibu, Magufuli alioigania Korosho bei isiwe ya chini makombora hayakuwa madogo, ukweli hatupendi mafanikio twapenda ufukara
 
Tanzania ina masilahi gani Kongo? Au kule Msumbiji pia Rwanda ina jeshi je wana masilahi gani? Burundi ina jeshi Somalia je Wana masilahi gani? Mambo memgine kama.haya yana kuzidi uwezo, ni bora ukajadili maada za fumanizi ndio levo zako
Mkuu Rwanda analipwa na France (via EU) kwa jeshi lake kuwa Mozambique. Majeshi yaliyoko Somalia yanalipwa na UN. Naona ulikuwa behind news.
 
Huwezi kupeleka watu wakafe huko bila kuwa na maslahi, miaka yote hiyo hawakupeleka majeshi leo hii Kenya wako huko japo wana kipolo Somalia ambacho kimevunda miaka.
Maslahi mahindi?
Sisi tupo msumbiji maslahi gani?
 
Sera mbovu za Ujamaa alizoanzisha Nyerere zimevuruga sekta ya kilimo
 
View attachment 2449797

Kenya wamepanga kuagiza tani 900,000 za mahindi na tani 600,000 za mchele kutoka nchi kwa njia ya meli kutoka nchi za Amerika

Shehena hiyo ya mchele na mahindi ni kwa ajili ya kufidia upungufu wa chakula kwa mwaka 2023 kwa kuwa uzalishaji wa ndani ni mdogo

Hii ni habari njema kwa wale waliokuwa wakitaka serikali ifunge mipaka ili tusiuze chakula nje, bei ishuke ndani

Naona Kenya wameamua kufanya biashara na nchi zinazojielewa, zenye uhakika wa uzalishaji

Sio kufanya biashara na nchi ya wavivu na walalamishi wasiotaka kulima ili kujitosheleza kwa chakula chake wenyewe, inakuwa ni biashara isiyokuwa ya uhakika

Na kwa kukosekana kwa soko la Kenya, kilimo sasa kitakuwa ni zaidi ya biashara kichaa, wataendelea kulima losers waliokosa ishu ya kufanya mjini, ila sidhani kama kuna mtu mwenye mtaji serious ataenda kuwekeza kwenye bidhaa isiyokuwa na soko la uhakika
Ccm. Hawana akili kabisa,badala ya kulima zaidi Ili tulichukue soko,sisi soko tunaliogopa!!tunafunga mipaka nafaka isitoke!
Soko lipo Kenya,akili kubwa ilikuwa kuwekeza kwenye kilimo Cha kisasa kama ukraine,sie tunafanya kinyume
 
Tujenge viwanda, uchumi wa kutegemea kuuza mazao umepitwa na wakati
Ccm. Hawana akili kabisa,badala ya kulima zaidi Ili tulichukue soko,sisi soko tunaliogopa!!tunafunga mipaka nafaka isitoke!
Soko lipo Kenya,akili kubwa ilikuwa kuwekeza kwenye kilimo Cha kisasa kama ukraine,sie tunafanya kinyume
 
Ni kosa kubwa sana la kiuchumi kulipoteza soko la nafaka la Kenya.

Soko hutafutwa, na likipatikana hulindwa. Watanzania kama kweli tuna akili, hatukustahili kabisa kulalamika kama nafaka zetu zilikiwa zinatoka nje ya mipaka ya nchi yetu. Hiyo ilikuwa ni fursa nzuri sana kiuchumi. Ulikuwa ni wakati wa kuzidisha uzalishaji kwa nguvu zote.

Kwa mvua zinavyoendelea **** uwezekano wa kuwa na mahindi mengi mwakani. Ikiwa hivyo, utakuwa ni mwaka wa kuwaua wakulima.
Kilimo cha Tanzania sio cha kibiashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
inawezekana Amerika kusini inapakaziwa tu,
Inawezekana pia Amerika ya Kusini ni kweli. Atakuwa alishapiga deal la GMO. Sasa baada ya mahakama kumkatalia asilime mahindi ya GMO, kaona Sasa awalishe mahindi ya GMO maana huko American ya Kusini mahindi yaliyobafilishwa vinasaba(GMO) ndiyo nyumbani kwake.
 
Hii inchi sijui raia wake Wana matatizo gani?

Kuna watu wanaya chukulia matatizo yao binafsi Kama matatizo ya taifa

Kwamfano.
tatizo la maji dar Lili onekana ni tatizo la inchi nzima wakati Kuna maeneo Yana miongo kadhaa hakuba maji.

na Kuna maeneo nimarufuku kufunga maji kwani ukifunga mabomba yata pasuka

Kuna watu akishindwa kununua kilo ya unga tuu Basi atali chukulia tatizo la taifa ataingia mitandaoni na kupinga mahindi yasiuzwe inchi jirani

Bila kujari mkulima ataishije?
bila kujari walio jiajiri mwenye kilimo wataishije?
bila kujari taifa Lita poteza poteza mapato kiasi gani kwa biashara hiyo?
tanzania hatulimi mahindi tuu Kuna viazi,mihogo,ngano,ulezi,mahindi,magimbi,lakini mahindi tuu ndiyo yanatoka nje

namahindi hayo hayo sio yote yanatoka tz mengi Yana tokea Zambia kwahiyo kufunga solo la Kenya nikuyakosa mahindi ya Zambia pia

Ndugu zangu tusichukulie matatizo yetu binafsi Kama majanga ya kitaifa na tunapo amua kupinga Jambo Basi tuzingatie utaifa mbele so masrahi binafsi huo no ubinafs
 
Ni kosa kubwa sana la kiuchumi kulipoteza soko la nafaka la Kenya.

Soko hutafutwa, na likipatikana hulindwa. Watanzania kama kweli tuna akili, hatukustahili kabisa kulalamika kama nafaka zetu zilikiwa zinatoka nje ya mipaka ya nchi yetu. Hiyo ilikuwa ni fursa nzuri sana kiuchumi. Ulikuwa ni wakati wa kuzidisha uzalishaji kwa nguvu zote.

Kwa mvua zinavyoendelea **** uwezekano wa kuwa na mahindi mengi mwakani. Ikiwa hivyo, utakuwa ni mwaka wa kuwaua wakulima.
Kuna ng'ombe kazi kulialia mkuu Zina unganisha maswara ya uchumi na siasa they know nothing's More than ccm na chadema

Kuupiga mwingi,urusi & ucreine, always ni kulala Mika lalamika.
Wapo kwa AJIRI ya kukosoa na kazi yao ndiyo hiyo liwe zuri au baya niku kosoa na hiyo ndiyo asiri ya mpinzani

Acha soko lipotee mahindi ya uzwe kilo miatano na miatano kuipata owe mziki kisha mkulima agome kwenda shamba turudi mwenye mihogo na ulezi hapo ndipo

Watakapo tambua kwamba erimu zao haziwa saidii kitu zaidi ya kuivuruga inchi au kuiingiza inchi matatizoni
 
Back
Top Bottom