Dua zenu zimekubaliwa: Kenya haitaagiza tena chakula kutoka Tanzania 2023

Dua zenu zimekubaliwa: Kenya haitaagiza tena chakula kutoka Tanzania 2023

Wameagiza tani 900,000 kufidia uzalishaji wa ndani
Hizo tani laki 9 plus mahindi watakayovuna wao, unafikiri watahitaji mahindi yenu tena?
Naona unapanic tu bure brother,
Kenya walitengeneza hadi Galana Project ili kupata food security lakini bado haijapatikana

Inshort Ruto anacheza mind games tu lakini anajua fika Kenya haiwezi survive bila importation ya chakula na hawana best option zaidi ya Tanzania. Take it or leave it

Mkenya akija Tz atatamani kuondoka na mchele, vitunguu, viazi na products nyinginezo kwa sababu ya ubora wake na isitoshe Kenya ni free market, unadhani Ruto ana power ya kuwazuia wafanyabiashara wa Kenya kuja Tz

Na akifanya hivyo unadhani nani kwenye huu uhusiano anamtegemea mwenzie zaidi, matter of fact wa Kenya wana investments nyingi zaidi Tz ambazo serikali ikizipiga pin utaskia kelele kila kona

Inshort ruto sio wa kwanza kuplay hizi games na ni muhimu sababu ya uchumi wake lakini wote tunajua tunategemeana
 
Hivi kilimo ni lazima mahindi ni mchele? Unataka kutueleza kuwa hakuna mazao mengine ya kibiashara yanayolimwa hapa nchini zaidi ya uliyotaka?
Mbona kuna matunda kibao yanapanda ndege toka Nchini mwetu!!?
 
Yaan mtu kama siyo mkulima bhana unaeza ongea vyovyote lakin fikiria uyo mkulima unamfungia mipaka ili akuuzie chakula bei powaaa na ndo tegemeo la kipato chake
Mipaka haijafungwa Ila imeongezewa vikwazo..

Ni wapumbavu pekee ndio wanaweza tetea huu ujuha maana ujifanya hivyo.watu wataacha kulima mahindi na shida itakuwa kubwa Sana..

Bei ziwe Juu lakini vyakula vuwepo
 
Kuna ng'ombe kazi kulialia mkuu Zina unganisha maswara ya uchumi na siasa they know nothing's More than ccm na chadema

Kuupiga mwingi,urusi & ucreine, always ni kulala Mika lalamika.
Wapo kwa AJIRI ya kukosoa na kazi yao ndiyo hiyo liwe zuri au baya niku kosoa na hiyo ndiyo asiri ya mpinzani

Acha soko lipotee mahindi ya uzwe kilo miatano na miatano kuipata owe mziki kisha mkulima agome kwenda shamba turudi mwenye mihogo na ulezi hapo ndipo

Watakapo tambua kwamba erimu zao haziwa saidii kitu zaidi ya kuivuruga inchi au kuiingiza inchi matatizoni
Wakulima ndio wataumia na Kama hawatatetea Sera za SSH na kuwasikiliza Sukuma gang wajinga wajinga itakula kwao na hivi wamepewa mbolea ya ruzuku Mazao yatakuwa lundo.
 
Nchi huwa znalinda Sana washirika wake wa kibiashara lakini sisi hatuna hilo
 
View attachment 2449797

Kenya wamepanga kuagiza tani 900,000 za mahindi na tani 600,000 za mchele kutoka nchi kwa njia ya meli kutoka nchi za Amerika

Shehena hiyo ya mchele na mahindi ni kwa ajili ya kufidia upungufu wa chakula kwa mwaka 2023 kwa kuwa uzalishaji wa ndani ni mdogo

Hii ni habari njema kwa wale waliokuwa wakitaka serikali ifunge mipaka ili tusiuze chakula nje, bei ishuke ndani

Naona Kenya wameamua kufanya biashara na nchi zinazojielewa, zenye uhakika wa uzalishaji

Sio kufanya biashara na nchi ya wavivu na walalamishi wasiotaka kulima ili kujitosheleza kwa chakula chake wenyewe, inakuwa ni biashara isiyokuwa ya uhakika

Na kwa kukosekana kwa soko la Kenya, kilimo sasa kitakuwa ni zaidi ya biashara kichaa, wataendelea kulima losers waliokosa ishu ya kufanya mjini, ila sidhani kama kuna mtu mwenye mtaji serious ataenda kuwekeza kwenye bidhaa isiyokuwa na soko la uhakika
Una tatizo kichwani si bure, unawaita watanzania wanaowauzia chakula ni wavivu, vipi nyie mnaoshindwa kulima chakula cha kuwatosheleza tuwaiteje!?
Kuna nchi imejaa maqumer
 
Ni kosa kubwa sana la kiuchumi kulipoteza soko la nafaka la Kenya.

Soko hutafutwa, na likipatikana hulindwa. Watanzania kama kweli tuna akili, hatukustahili kabisa kulalamika kama nafaka zetu zilikiwa zinatoka nje ya mipaka ya nchi yetu. Hiyo ilikuwa ni fursa nzuri sana kiuchumi. Ulikuwa ni wakati wa kuzidisha uzalishaji kwa nguvu zote.

Kwa mvua zinavyoendelea **** uwezekano wa kuwa na mahindi mengi mwakani. Ikiwa hivyo, utakuwa ni mwaka wa kuwaua wakulima.
Bora wakulima wateseke kuliko kuua wananchi wote kwa njaa, biashara ya kuuza nafaka wakati ndani hatujitoshelezi ni upuuzi.
 
Tanzania haiepukiki, tunalima natural na organic tena bila mbolea za viwandani. Acha waagize masumu ya ulaya. Si wamesharuhusu na G.M.O ? Tutaelewana tuu
 
Mpaka aondoke madarakani 2031 atakua kashashiba
 
Naona hujafikiri vizuri hatukatai biashara lakini huwezi uza kwa jirani wakati kwako hakitoshi utakuwa punguwani.
Mkuu sasa hapo nguvu si ilibidi iwekwe kwenye kuongeza uzalishaji ili kuwe na akiba ya kutosheleza ndani na ziada ya kupeleka nje badala ya kupiga marufuku chakula kisitoke nje
 
Ni kosa kubwa sana la kiuchumi kulipoteza soko la nafaka la Kenya.

Soko hutafutwa, na likipatikana hulindwa. Watanzania kama kweli tuna akili, hatukustahili kabisa kulalamika kama nafaka zetu zilikiwa zinatoka nje ya mipaka ya nchi yetu. Hiyo ilikuwa ni fursa nzuri sana kiuchumi. Ulikuwa ni wakati wa kuzidisha uzalishaji kwa nguvu zote.

Kwa mvua zinavyoendelea **** uwezekano wa kuwa na mahindi mengi mwakani. Ikiwa hivyo, utakuwa ni mwaka wa kuwaua wakulima.
Kuna mtu uko juu anasema ni ujinga kuruhusu chakula kutoka wakati ndani hakitoshi, nimemuuliza kipi bora kati ya kupiga marufuku chakula kisitoke nje na kuongeza uzalishaji ili kuwe na akiba ya kutosheleza ndani na ziada ya kupele nje? Bado hajanijibu
 
View attachment 2449797

Kenya wamepanga kuagiza tani 900,000 za mahindi na tani 600,000 za mchele kutoka nchi kwa njia ya meli kutoka nchi za Amerika

Shehena hiyo ya mchele na mahindi ni kwa ajili ya kufidia upungufu wa chakula kwa mwaka 2023 kwa kuwa uzalishaji wa ndani ni mdogo

Hii ni habari njema kwa wale waliokuwa wakitaka serikali ifunge mipaka ili tusiuze chakula nje, bei ishuke ndani

Naona Kenya wameamua kufanya biashara na nchi zinazojielewa, zenye uhakika wa uzalishaji

Sio kufanya biashara na nchi ya wavivu na walalamishi wasiotaka kulima ili kujitosheleza kwa chakula chake wenyewe, inakuwa ni biashara isiyokuwa ya uhakika

Na kwa kukosekana kwa soko la Kenya, kilimo sasa kitakuwa ni zaidi ya biashara kichaa, wataendelea kulima losers waliokosa ishu ya kufanya mjini, ila sidhani kama kuna mtu mwenye mtaji serious ataenda kuwekeza kwenye bidhaa isiyokuwa na soko la uhakika
Afadhali chakula kitashuka. Bado nyama na yenywe waagize ugaibuni
 
Kuna mtu uko juu anasema ni ujinga kuruhusu chakula kutoka wakati ndani hakitoshi, nimemuuliza kipi bora kati ya kupiga marufuku chakula kisitoke nje na kuongeza uzalishaji ili kuwe na akiba ya kutosheleza ndani na ziada ya kupele nje? Bado hajanijibu
Ujinga wa ukubwani haunaga dawa.

Watu wengine hawaelewi kabisa uchumi wa kilimo. Incentive ya wakulima wa wawekezaji kwenye kilimo kuongeza uzalishaji ni soko la uhakika na bei nzuri. Acha wakulima wafaidi jasho lao halafu waongeze uzalishaji.
 
Ruto akiwa makamo wa Rais alihusishwa na njama ya Kenya kusitisha manunuzi ya mahindi kutoka Tanzania.

Hiyo ilitokana na Ruto kufadhili mashamba makubwa ya mahindi nchini DRC ambapo inadaiwa kuwa alijipanga kutoa huduma hiyo kuanzia miaka ya 2020 lakini mpango ukabuma.

Kuna wakati mahindi yetu yalikataliwa kuingia Kenya kwa sababu yameathiriwa na sumu kuvu. Hivi sasa yuko kiti kirefu, inawezekana Amerika kusini inapakaziwa tu, karibu zaidi kama siyo Tanzania basi ni DRC.
Hatari sn
 
Wakenya wanapoagiza chakula Huwa si Kwa akili ya wananchi wake Bali pia Kwa ajili ya solo la Sudan kusini na Djibouti
 
Back
Top Bottom