Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Yaan mtu kama siyo mkulima bhana unaeza ongea vyovyote lakin fikiria uyo mkulima unamfungia mipaka ili akuuzie chakula bei powaaa na ndo tegemeo la kipato ccha
Mahindi yatatoka Zambia no moreRuto akiwa makamo wa Rais alihusishwa na njama ya Kenya kusitisha manunuzi ya mahindi kutoka Tanzania.
Hiyo ilitokana na Ruto kufadhili mashamba makubwa ya mahindi nchini DRC ambapo inadaiwa kuwa alijipanga kutoa huduma hiyo kuanzia miaka ya 2020 lakini mpango ukabuma.
Kuna wakati mahindi yetu yalikataliwa kuingia Kenya kwa sababu yameathiriwa na sumu kuvu. Hivi sasa yuko kiti kirefu, inawezekana Amerika kusini inapakaziwa tu, karibu zaidi kama siyo Tanzania basi ni DRC.
Congo hakuna kilimo tunawa uzia pale kasumba resa viazi mviringo,dagaa,maharage,karanga,vitunguu,Michele,kwa Bei za Doral Tena za juu jiandaeni kuwatafutia soko wakulima wenu