Dua zenu zimekubaliwa: Kenya haitaagiza tena chakula kutoka Tanzania 2023

Yaan mtu kama siyo mkulima bhana unaeza ongea vyovyote lakin fikiria uyo mkulima unamfungia mipaka ili akuuzie chakula bei powaaa na ndo tegemeo la kipato ccha

Mahindi yatatoka Zambia no more
Congo hakuna kilimo tunawa uzia pale kasumba resa viazi mviringo,dagaa,maharage,karanga,vitunguu,Michele,kwa Bei za Doral Tena za juu jiandaeni kuwatafutia soko wakulima wenu
 
Tujenge viwanda, uchumi wa kutegemea kuuza mazao umepitwa na wakati
Hadi Marekani wenyewe wanauza mahindi ghafi, sio unga
Mahindi ni rahisi na salama kusafirisha kuliko unga, pia kuhifadhi mahindi ni rahisi na salama kuliko unga

Mahindi yanazalisha vitu vingi tofauti na unga, kuna pumba, makande, popcorn, sembe na dona
Ndio maana biashara hufanyika ya mahindi zaidi kuliko products za mahindi
Ndio maana wafanyabishara wanachagua kununua mahindi zaidi kuliko
 
Kwa watu wenye akili na wenye uchungu na uchumi wa nchi hii, ni jambo la kuhuzunisha Sana kupoteza soko kubwa namna hii,
Tulipaswa kuongeza nguvu kwenye kilimo Cha umwagiliaji tuzalishe mara 3 , Kwa mwaka Ili kukidhi soko la chakula kenya na kulishikilia Kwa nguvu zote,
Pia kutafuta na masoko mengine kama Ethiopia Sudan somalia nk.
Cha kusikitisha Kuna watu wenye fikra za kipumbavu kabisa watafurahia na kutamani kufungwa mipaka yote,
Hutupaswi kuwapa nafasi hata kidogo
 
Naona hujafikiri vizuri hatukatai biashara lakini huwezi uza kwa jirani wakati kwako hakitoshi utakuwa punguwani.
Hizi ni fikra duni za kufikiria familia Yako , hapa tunaongelea kilimo biashara Kwa manufaa ya taifa na kuongeza kipato Cha taifa,
Demand ikiwa kubwa hiyo ni fursa ya kuongezeka uzalishaji,
Sio kufunga soko huo ni utaahira
 
Hizi ni fikra duni za kufikiria familia Yako , hapa tunaongelea kilimo biashara Kwa manufaa ya taifa na kuongeza kipato Cha taifa,
Demand ikiwa kubwa hiyo ni fursa ya kuongezeka uzalishaji,
Sio kufunga soko huo ni utaahira
Sasa kama uzalishaji hautoshelezi soko la ndani utauzaje chote nje ya nchi? Kuna kitu kinaitwa protectionism hata mataifa yaliyoendelea yanafanya ili kulinda usalama wa ndani. Soma soma uelimike..
 
Kwanini nafaka? kwanini tusiuze product kutoka viwandani?

Yaani tuuze packed rise na sembe na unga wa lishe

Uoni tunapoteza ajira nyingi?
 
Wapi waliposema hawataagiza kutoka Tanzania?
 
Wameagiza tani 900,000 kufidia uzalishaji wa ndani
Hizo tani laki 9 plus mahindi watakayovuna wao, unafikiri watahitaji mahindi yenu tena?
Umejibu swali langu? Kwani wameaema hizo Tani 900,000 zitatoka Ulaya pekee au?

Hata Tanzania Ni ng'ambo
 
Mahindi yatatoka Zambia no more
Congo hakuna kilimo tunawa uzia pale kasumba resa viazi mviringo,dagaa,maharage,karanga,vitunguu,Michele,kwa Bei za Doral Tena za juu jiandaeni kuwatafutia soko wakulima wenu
Somalia, Ethiopia na Susan Kusini kote huko Kuna soko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…