Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
MR BEN wewe kijana wa juzi umeyajulia wapi hayo
Hata mzee Mwinyi alifanya kazi kubwa awamu ya pili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mzee Mwinyi alifanya kazi kubwa awamu ya pili.
Siundoi.Uondoe, sio wa uzi huu. Nauweka kwingine
Zimbwabe hawakuondoka,walifukuzwa.Ni kama Idi Amin,alivyowafukuza wawaekezaji,Mseven akawarudisha.Kwa kutumia tu mfano wa Zimbabwe kuhalalisha wawekezaji inaonyesha ulivyo na upeo mdogo kuhusu maendeleo ya nchi. BTW unaona unavyokinganya mwenyewe kuwa waliondoka na Zimbambwe ikafa? Huoni hii ni sababu ya msingi kabisa ya kuona kuwa nchi inatakiwa ijijenge yenyewe ili isitegemee wageni wanaoweza kuondoka muda wowote?
Hata hiyo Dubai,imeendelea kwa wageni,ndio maana expo 20,wameita nchi zaidi ya 190,kushiriki,hawakufanya peke yao.Nchi gani duniani imeendelea bila foreign investors?
Umeelewa nilichoandika?Zimbwabe hawakuondoka,walifukuzwa.Ni kama Idi Amin,alivyowafukuza wawaekezaji,Mseven akawarudisha.
Wewe mpumbavu tu,takwimu zipi zilizosema Magufuli aliua uchumi? Kwa mala ya kwanza kipindi cha Magufuri ndio Nchi hii iliingia uchumi wa kati kutoka chini kabisa, Magufuli ndiye alipereka Tanzania kuwa ktk Nchi 10 bora Africa,tena Magufuli kafanya kazi hiyo ktk kipindi kigumu cha corona, Wakati mataifa Mengi uchumi wao uliyumba.Wewe naona baba ya Yako alikuwa fisadi akatumbuliwa na Magufuli ndiomaana ulikuwa na chuki sana naeKwa ujumla Samia anafanya vema katika uwekezaji. Hakuna nchi iliwahi kuendelea bila kuvutia mitaji toka mataifa mengine.
China ilikiwa hohe hahewakati wa Mao na sera zao za kujifungia. Walipoamua kufungua milango kwa wageni kuwekeza China, uchumi wa China ulikua kwa kasi hadi kufikia 12% kwa mwaka. Mpaka leo China ndiyo inayoongoza kwa kuvutia uwekezaji mkubwa toka Ulaya Magharibi na America.
Kipindi cha miaka 6 ya awamu ya 5 ilikuwa miaka ya hasara kubwa kwa Taifa katika nyanja zote. Tunaomba Mungu alilinde Taifa letu isije kutokea hata mara moja tena kupata mtawala katili na primitive, muuaji wa uchumi kama Rais wa awamu ya 5.
Hili eneo wangeachiwa wananchi na graduates wa SUA na vyuo vingine vya kilimo na wawezeshwe mitaji ili wawaajiri watanzania wenzao badala ya wageni ambao wengi wamelalamikiwa kwa utoaji mishahara duniMikataba iyo inahusu maeneo ya Kilimo, Madini, Biashara, Utalii na Uzalishaji wa Viwanda
Hakuna tija bila competition. Wananchi wanatakiwa kujifunza kupitia ushindani namna ya kulima kwa ubora na kuongeza thamani ya mazao yao kwa ajiri ya kuuza kwa faida na kujiongezea kipatoHili eneo wangeachiwa wananchi ila wawezeshwe mitaji
Mikataba ingekuwa inawekwa wazi ili wenye nchi na kiulipa kodi waione na kutoa mawazo yao kuiboreshaJamani amkeni amkeni
Huko Dubai mambo ni moto balaa! Leo hii Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba zaidi ya 30 ya uwekezaji Tanzania yenye thamani ya fedha za Tanzania zaidi ya Trilioni 17 na itakayotoa ajira kwa Watanzania za moja kwa moja zaidi ya laki 2.
Mikataba iyo inahusu maeneo ya Kilimo, Madini, Biashara, Utalii na Uzalishaji wa Viwanda
Hongera sana Mhe. Rais kwa jitihada hizi. Mungu akubariki kwa kweli. Haya ndo maendeleo tunayotaka Watanzania
Kutoka Nyasa, ziwani
Lord denning
Bunge ndo wawakilishi wa wananchi! Mikataba ikihitajika itaenda BungeniMikataba ingekuwa inawekwa wazi ili wenye nchi na kiulipa kodi waione na kutoa mawazo yao kuiboresha
Wabunge std II🤣Bunge ndo wawakilishi wa wananchi! Mikataba ikihitajika itaenda Bungeni
Biashara akiimiliki mzalendo ndio mshahara utakuwa mkubwa?. Umedanganywa miaka mingi juu ya sera za uzawa mpaka umeona ni kweli.Hili eneo wangeachiwa wananchi na graduates wa SUA na vyuo vingine vya kilimo na wawezeshwe mitaji ili wawaajiri watanzania wenzao badala ya wageni ambao wengi wamelalamikiwa kwa utoaji mishahara duni
Mkataba kuibadilisha Tanzania ni matokeo ya juhudi zetu pia. Ukiwa una nia ya kuiba au ya kuhujumu ufanisi wa shirika, usitegemee kuona maendeleo.Sawa ila tunaomba utukumbushe ile mikataba ya kikwete na raisi wa china ni upi umetekelezwa maana nasikia ilikua ishirini na zaidina tuakaambiwa itaibadilisha tanzania lakina maisha ndo yanazidi kua magumu.
Hata mzee Mwinyi alifanya kazi kubwa awamu ya pili.
umejiweka zaidi kisiasa bila ya kuangalia uhalisia wa nchi yetu ilipo na inakusudia kufika wapi
Ndiyo maana nikasema wawezeshwe kwamfano kule Mbarali kwenye kilimo cha mpunga, Njombe kilimo cha parachichi na mbao nkBiashara akiimiliki mzalendo ndio mshahara utakuwa mkubwa?. Umedanganywa miaka mingi juu ya sera za uzawa mpaka umeona ni kweli.
Ndicho kilichopoUsije ukajikuta unawapa mchwa gunia la nafaka!!!!
Nchi inauzwa mazuzu yanashangiliaJamani amkeni amkeni
Huko Dubai mambo ni moto balaa! Leo hii Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba zaidi ya 30 ya uwekezaji Tanzania yenye thamani ya fedha za Tanzania zaidi ya Trilioni 17 na itakayotoa ajira kwa Watanzania za moja kwa moja zaidi ya laki 2.
Mikataba iyo inahusu maeneo ya Kilimo, Madini, Biashara, Utalii na Uzalishaji wa Viwanda
Hongera sana Mhe. Rais kwa jitihada hizi. Mungu akubariki kwa kweli. Haya ndo maendeleo tunayotaka Watanzania
Kutoka Nyasa, ziwani
Lord denning
Stress ndizo zilizoifanya Urusi kuwa tishio Kwa usalama wa mabwanyenye Wanyonyaji wa nchi za magharibi.Unaonekana una stress sana za maisha! Ondoka kwenye iyo saccos Chadema
Kamba ya mtu ndiyo itakayodetermine kiwango Cha ulaji.KWELI VIONGOZI WETU HAWANA VISION!!! Kweli wanakwenda kukopa huko nje na wanafanikiwa; mfano ni hayo mamillions waliyoleta TADB[ benki ya wakulima] je mama amefanya due diligence ya hiyo taasisi na kuona kama hao aliowakabidhi hayo mabilioni wana INTERGRITY na capacity ya kuweza kumanage hizo fecha mpaka yakapatikana matokeo yanayotarajiwa?
Hapo ndipo tunaposhindwa kutokuwa makini na matumizi ya rasilimali tulizokuwa nazo halafu tunapiga kelele kulalamika. Pale TADB mama anatakiwa afanye due diligence ya kina kuona kama historia na utendaji ya wale waliopo inakidhi matarajio yake!!! Je wameajiri financial analysts wakutosha wenye weledi na sio wa upendeleo? Usije ukajikuta unawapa mchwa gunia la nafaka!!!!