Dubai tumesaini nao mikataba ya maendeleo zaidi ya 30. Watanzania wanaopenda Maendeleo tumieni fursa alizotuletea Rais Samia

Dubai tumesaini nao mikataba ya maendeleo zaidi ya 30. Watanzania wanaopenda Maendeleo tumieni fursa alizotuletea Rais Samia

Kazi kwako, nilitaka kukyfahamisha jina lako hilo zaidi ya miaka 1400 limetajwa kwenye Qur'an. Hakika Qur'an ni muuijiza.


Kama hutaki sikulazimishi, kuwa na amani
Nina amani sana bila hicho kilevi unachotumia wewe.
 
TRA hawafanyi vizuri tunapoteza makusanyo mengi sana na wezi wamezidi TUWAITE WAWEKEZAJI, TANESCO toka imetengenezwa hasara hasara WAWEKEZAJI Waje hapa,Vyuo vyetu graduates siwaelewi hata kujieleza binafsi tatizo TUWAITE WAWEKEZAJI Tunachelewa sana, TANAPA na Wizara ya Utalii na maliasili hapa hata kagame anashangaa Rwanda kuizidi Tanzania Mapato ya Utalii TUWAITE WAWEKEZAJI, Mamlaka za Maji waziri anafukuza tu wakurugenzi TUWAITE WAWEKEZAJI tumechelewa, Vipi majeshi yetu yanatija kweli tunaachwa nyuma sana ona wenzetu walipo TUWAITE WAWEKEZAJI. WAWEKEZAJI njooni
Hatyebdi hivyo, mdogo mdogo. Tunaanza kwanza patapo tuinguzia pesa. Mifymo ya bandari ikisomana ujuwe. Na TRA kuna kimbembe.



Unafikiri watu wanaopinga sana bandari kuendeshwa na DP World ni wa kutokea wapi?


Adilimia kbwaa ni waliokuwa WanafaidikaKwa mfumo kuwa hovyo hovyo kwa makusudi kabisa.

Wapo wa TRA, wapo wa TPA, wapo wafanyabiashara, wapo taasisi za dini. Wapo vigogo. Wapo nchi jirani zenye bandari. Wapo wanasiasanuchwara. Ni mlolongo wa watubwasiozidi 2,000 wenye kufaidika moja kwa moja.

Wote hao wanawaumiza Watanzani
Sijasoma andiko hilo refu uliloweka hapo, ila ninachokiona ni kuwa hutaki kuelewa ninachokieleza mimi, au unajifanya tu huelewi.

SAWA. Hata kama uwekezaji huo wote ulifanyika na kuleta manufaa Tanzania, hiyo ndiyo iwe sababu ya sisi kutojibidisha, tubadilike, nasi tufanye mambo yetu kwa ufanisi?
Hapa ndipo ninaposhindwa kukuelewa kwa nini hutaki kuliona hilo.

Ni dharau isiyokuwa na kifani, kuhitimisha kwamba Tanzania hakuna lolote tunaloweza kulifanya sisi wenyewe.
Ninamdharau yeyote mwenye mawazo ya kipumbavu namna hiyo.

Kwa mtu kama wewe, uliyeoshwa akili na kuwa nyeupe kabisa, akili isiyotaka kufikiri vingine mbali ya hizo nyimbo mnazoimbishwa huko mashuleni; hata akili ya kujua tatizo la hayo yote unayodhani waTanzania hawayawezi yanaanzia wapi, na hawa viongozi aina ya huyiu Samia ndio wamekuwa nyenzo za kueneza ujinga huu.

Badala ya kujishughulisha na kunyoosha na kuondoa uozo huo unaozuia ufanisi wa kazi za waTanzania, hawa viongozi ndio wanakuwa waenezi wa kuwakatisha tamaa wananchi wao?

Kama hujui tatizo ni nini (viongozi), siku zote utaendelea kuwalaumu waTanzania bure.
Makosa yapo kwa hao viongozi wanaoshindwa kuhakikisha kuwa juhudi za waTanzania hazihujumiwi.
In fact, ni hao hao wanaowahusudu ndio wanaohusika na hujuma kwa wananchi.

Kwani ulikatazwa kufanya mambo yako wa ufanisi? Mama si ndiyi anaziongeA fursa kwa Watanzania? Mbona Watanzania wengi wanafanya biashara kubwa kubwa.

Mama kawarudisha hata waliokimbizwa na mwendazake. Anawarudishia pesa waliobambikiwa na mwendazake. Hata wale ambao mwendazake aliwaambia wataishi kama shetani nao sasa wametulizana wanafanya biashara zao.
 
Nina amani sana bila hicho kilevi unachotumia wewe.
Ulevi ni haramu Kiislam.

Situmii chochote kinacholewesha, hata kula mpaka ukalewa Kiislaam haitakiwi.

Shika adabu yako kwa matusi ya reja reja. Tujadiliane humu kwa heshima.


Punguani wahed.
 
Unatueleza Yaleyale,mikataba 30 yote ipo humo imeanza kutekelezwa.
Uwe kidogo unapumzika we bibi
 
Nawashangaa sana Tanzania chamber of Commerce na BET ambao ndiyo wanashughulikia mambo ya biashara baina ya Tanzania na nchi za nje.

Nawashangaa zaidi waandishi wa habari wa Tanzania, hususan hawa free lancers waliojazana sasa hivi kwenye mtandao. Alziandika Mwandishi. Mmoja tu, msome chini hapa.

Walitakiwa wazitangaze sana fursa hizi. Hii siyo mikataba ya siri wala kuficha ni mikataba iliyosainiwa kihalali na vyonbo vya habari vya nje viliiandika.

Nadiriki kusema Mkataba wa bandari unaoshangiliwa na kukoromewa na kila mtu sasa hivi ni mkataba mdogo sana ukilinganisha na mikataba iliyisainiwa na fursa zilizopo. Jisomee 👇🏾

Tanzania-UAE Relations: President Samia Suluhu’s milestones

Tanzania-UAE Relations:​

By Giza MdoeMarch 4, 2022.

  • Tanzania has signed a US$7.49 billion business partnership deal with the United Arab Emirates (UAE)
  • Samia Suluhu spearheaded the signing of some 36 MoUs of which 12 were signed by government public institutions
  • Working with Tanzania, she said, the UAE will enjoy a market of 177 million people of the East African Community (EAC)
Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan is making headlines, the latest of which is an impressive US$7.49 billion business partnership deal with the United Arab Emirates (UAE).

President Samia, the first woman president of the country, attended Dubai Expo 2020 at the turn of the week. She was received by Vice President and Ruler of Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid, at the start of this month.
Among other things, Sheikh Mohammed and President Samia discussed ways to extend cooperation between their countries. The meeting was strategically held during Tanzania’s national day at the fair.

Themed, Connecting Minds, Creating The Future chimed well with her country’s own theme, Ready To Take Off, the Expo gave the two leaders the opportunity to discuss bilateral relations and open up business opportunities for both countries.

“These two themes embrace the new age of investment and trade with strategic partners like the UAE, in particular, and the Gulf in general,” President Samia commented about the Expo theme.

President Samia took the opportunity to invite UAE investors to Tanzania saying in line with the Expo theme, Tanzania is ‘Ready to take off.’

“I would like to take this opportunity to welcome you all to Tanzania, where the business and investment environment are more than conducive. Come one, come all to Tanzania,” she said.

Soma zaidi: Tanzania-UAE Relations: President Samia Suluhu's milestones

Tafsiri kwa Kiswahili itafatia chini huko.
Yaani mnasaini mkataba kwanza halafu ndio mnaombiwa kuna fursa! Huu ni uwendawazimu kwa 100%.

Inapaswa kuambiwa kuna fursa kwanza halafu mnakwenda kuzidadisi kwa kina, mkiridhika nazo ndio mnakwenda kutengeneza mkataba, mnaujadili na mwisho kabisa ndio mnausaini.
 
Hatyebdi hivyo, mdogo mdogo. Tunaanza kwanza patapo tuinguzia pesa. Mifymo ya bandari ikisomana ujuwe. Na TRA kuna kimbembe.



Unafikiri watu wanaopinga sana bandari kuendeshwa na DP World ni wa kutokea wapi?


Adilimia kbwaa ni waliokuwa WanafaidikaKwa mfumo kuwa hovyo hovyo kwa makusudi kabisa.

Wapo wa TRA, wapo wa TPA, wapo wafanyabiashara, wapo taasisi za dini. Wapo vigogo. Wapo nchi jirani zenye bandari. Wapo wanasiasanuchwara. Ni mlolongo wa watubwasiozidi 2,000 wenye kufaidika moja kwa moja.

Wote hao wanawaumiza Watanzani


Kwani ulikatazwa kufanya mambo yako wa ufanisi? Mama si ndiyi anaziongeA fursa kwa Watanzania? Mbona Watanzania wengi wanafanya biashara kubwa kubwa.

Mama kawarudisha hata waliokimbizwa na mwendazake. Anawarudishia pesa waliobambikiwa na mwendazake. Hata wale ambao mwendazake aliwaambia wataishi kama shetani nao sasa wametulizana wanafanya biashara zao.
Sasa angalia majibu kama haya.
Kazi ya huyo mama ni nini, siyo kuongoza waTanzania wawe na ufanisi katika kufanya kazi zao?
Kazi ya uongozi ni kuzunguka duniani ukitembeza bakuli na kuuza utu wa wananchi wako?

Kazi ya kwanza na muhimu kuliko zote kwa kiongozi, ni kuhakikisha hayo maTRA na matakataka yote unayoyazungumzia wewe yanafanya kazi kwa weledi.
Ni nani unayetaka asimamie kazi hiyo?

Nimekwisha kueleza mara kadhaa humu, Tanzania ni lazima ijijengee uwezo wa kufanya mambo yake kwa ufanisi, siyo kutegemea watu toka nje, ndio watufanyie kila kitu, hata yale yaliyo ndani ya uwezo wetu.
Lakini inakuwa ni kama uko'programmed'na software fulani, unabaki unarudia rudia tu hadithi za sisi "kutoweza."!

Achana na huu ushabiki unaopofusha akili. Kuna mambo ambayo ukiyaona/yasikia jaribu kufikiri kwa nini wengine wanaona tofauti na wewe.

Haya mambo ya nchi yetu siyo ya kufanyia ushabiki, hata kama hao unaowashabikia mnalewa pombe hiyo hiyo moja ndani ya klabu zenu.

Nadhani imetosha.

Lakini kama ukiendelea kuniwekea takataka, nitazijibu kadri nitakavyoona inafaa.
 
L

Lllll
Weka wewe wako ulionao kama unaona waangu siyo sahihi. Unangoja nini? Upinge wewe ushahidi nikupe mimi?


Hakika shule mlienda kusomea ujinga.
Kwamba wewe umesoma??ndo elimu yako hii??afadhali hata mbunge Msukuma ana phd uchwara
 
Nawashangaa sana Tanzania chamber of Commerce na BET ambao ndiyo wanashughulikia mambo ya biashara baina ya Tanzania na nchi za nje.

Nawashangaa zaidi waandishi wa habari wa Tanzania, hususan hawa free lancers waliojazana sasa hivi kwenye mtandao. Alziandika Mwandishi. Mmoja tu, msome chini hapa.

Walitakiwa wazitangaze sana fursa hizi. Hii siyo mikataba ya siri wala kuficha ni mikataba iliyosainiwa kihalali na vyonbo vya habari vya nje viliiandika.

Nadiriki kusema Mkataba wa bandari unaoshangiliwa na kukoromewa na kila mtu sasa hivi ni mkataba mdogo sana ukilinganisha na mikataba iliyisainiwa na fursa zilizopo. Jisomee 👇🏾

Tanzania-UAE Relations: President Samia Suluhu’s milestones

Tanzania-UAE Relations:​

By Giza MdoeMarch 4, 2022.

  • Tanzania has signed a US$7.49 billion business partnership deal with the United Arab Emirates (UAE)
  • Samia Suluhu spearheaded the signing of some 36 MoUs of which 12 were signed by government public institutions
  • Working with Tanzania, she said, the UAE will enjoy a market of 177 million people of the East African Community (EAC)
Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan is making headlines, the latest of which is an impressive US$7.49 billion business partnership deal with the United Arab Emirates (UAE).

President Samia, the first woman president of the country, attended Dubai Expo 2020 at the turn of the week. She was received by Vice President and Ruler of Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid, at the start of this month.
Among other things, Sheikh Mohammed and President Samia discussed ways to extend cooperation between their countries. The meeting was strategically held during Tanzania’s national day at the fair.

Themed, Connecting Minds, Creating The Future chimed well with her country’s own theme, Ready To Take Off, the Expo gave the two leaders the opportunity to discuss bilateral relations and open up business opportunities for both countries.

“These two themes embrace the new age of investment and trade with strategic partners like the UAE, in particular, and the Gulf in general,” President Samia commented about the Expo theme.

President Samia took the opportunity to invite UAE investors to Tanzania saying in line with the Expo theme, Tanzania is ‘Ready to take off.’

“I would like to take this opportunity to welcome you all to Tanzania, where the business and investment environment are more than conducive. Come one, come all to Tanzania,” she said.

Soma zaidi: Tanzania-UAE Relations: President Samia Suluhu's milestones

Tafsiri kwa Kiswahili itafatia chini huko.
Nyie wazanzibari mnauza nchi yetu acheni mara moja!
 
Hiyo hatujawahi kuiona, hatuna comments..

Huu wenyewe uko wazi, Kila mtu kauona. Ni mkataba wa hovyo, mbaya, wa kijinga na hautufai sisi Watanganyika..

Pelekeni takataka hiyo kwenu Zanzibar..!

Ujinga wenu ni mmoja tu. Kuuweka nyeti zenu wazi..

Laiti mngefanya kimya kimya tu, tungehisi maumivu kwa matokeo yake tu..

Lakini mmetuonesha ujinga wenu halafu tuwaache kimya kimya tu???

No way!!!

Wewe ni mmoja katika wapigaji pale bandarini? Mbona imekunyima rahii hii Dp!
 
Nyie wazanzibari mnauza nchi yetu acheni mara moja!

Una ushahidi gani kama wanauza! Wewe kusikia tu waarabu akili yako ikakutuma kufikiria hilo!

Kuna watu akili zao zimejikita kwenye
1 UDINI
2 UCHAMA
3 UBAGUZI/UTAIFA
4 UMAGUFULI

Hili gonjwa baya sana
 
Nyie wazanzibari mnauza nchi yetu acheni mara moja!
Sema kweli bana, Nyerere ndiye alianza kuiuza👇🏾

IMG-20230621-WA0052.jpg
 
Mwaka 1985 Nyerere alishastaafu. Hapo alikuwepo Mwinyi ndio muasisi wa uuzwaji wa Tanganyika kwa waarabu.
Hiyo picha anaeonekana ni Mwinyi au sio? Au alieda kuaga jwa Qaboos?


Macho mnayo kakini hayaoni. Masikio mnayo lakini hayasikii.
 
Mleta mada naomba nikuulize maswali 3 nione kama unaweza kuyajibu kwa ufasaha!
Huenda wewe ni 'mnufaika' kwa mkataba huu wa hovyo kabisa inayoingiwa na CCM
 
Hiyi picha anaeonekana ni Mwinyi au sio?
Nyerere aliitwa ikulu kumsalimia mwarabu wakati huo ndio Mwinyi anaanza kupiga mnada mali za Tanganyika akianzia na msitu wa Loliondo.

Hata sasa mawaziri wote wanaopiga mnada Tanganyika ni either wazanzibari au waislamu: Suleiman Jafo, juzi kawapa waarabu misitu, Makamba kawapa upakuaji mafuta, Mbarawa kawapa bandari, Kinana wa CCM anauza nyara za serikali kwa mfalme wa uarabuni, nk. Tumechoka!
 
Back
Top Bottom