[emoji3][emoji3]Akihojiwa Dube ameeleza kwamba ndani ya timu wapo viongozi wanaoshabikia timu zingine mnaocheza nao nje ya Azam
Anaeleza kwamba mnapocheza viongozi wanasupport timu mnayocheza nayo, anasema bora aende sehemu ambayo watu wote ndani ya timu wanafikiria na kuwaza kitu kimoja.
NB: Azam kwa mtindo huu wasahau mafanikio makubwa.
Sio TFF tu. Ni utamaduni wetu nchi hii, usipokuwa Simba basi utaipenda Yanga.Hata TFF ni hivyo hivyo.
afadhali dube katema ukweli...ni muda sasa mzee bakhresa kuuza hii timu,biashara ya mpira mbele ya simba na yanga ni ngumu mnoAkihojiwa Dube ameeleza kwamba ndani ya timu wapo viongozi wanaoshabikia timu zingine mnaocheza nao nje ya Azam
Anaeleza kwamba mnapocheza viongozi wanasupport timu mnayocheza nayo, anasema bora aende sehemu ambayo watu wote ndani ya timu wanafikiria na kuwaza kitu kimoja.
NB: Azam kwa mtindo huu wasahau mafanikio makubwa.
Hebu fikiria,watu wanajituma uwanjani ila viongozi hawapo na nye wanashabikia kwingine nye mpo na kocha tu,viongozi wa azam wapo tu pale kupiga helaafadhali dube katema ukweli...ni muda sasa mzee bakhresa kuuza hii timu,biashara ya mpira mbele ya simba na yanga ni ngumu mno
Akihojiwa Dube ameeleza kwamba ndani ya timu wapo viongozi wanaoshabikia timu zingine mnaocheza nao nje ya Azam
Anaeleza kwamba mnapocheza viongozi wanasupport timu mnayocheza nayo, anasema bora aende sehemu ambayo watu wote ndani ya timu wanafikiria na kuwaza kitu kimoja.
NB: Azam kwa mtindo huu wasahau mafanikio makubwa.
KumbeAkihojiwa Dube ameeleza kwamba ndani ya timu wapo viongozi wanaoshabikia timu zingine mnaocheza nao nje ya Azam
Anaeleza kwamba mnapocheza viongozi wanasupport timu mnayocheza nayo, anasema bora aende sehemu ambayo watu wote ndani ya timu wanafikiria na kuwaza kitu kimoja.
NB: Azam kwa mtindo huu wasahau mafanikio makubwa.
Mboni Ahmed Ally ni Yanga Ila yupo Simba? Anachekea CHOONI Jana ulifikiri analia hapo hio inaitwa anachekea CHOONIDube aache ushamba,mbona haj8 manara ni mnyama ila yupo yanga