Kuna post match interview yake dhidi TZ Prisons hii hapa chini nimeambatanisha, hii kauli yako kuna doubts nilikuwa nazo kichwani kwangu body language yake na anachozungumza ni vitu viwili tofauti kabisa.Nikweli ahmed kiasili ni shabiki wa yanga ila kwasasa sidhani kama anaweza kuwa anaihujumu simba kwasababu anapata pesa
Wazo lako la kitoto,. Vilabu vyote nchini viongozi wake, mashabiki wake na wachezaji wake wote washabiki wa Simba na Yanga na wengine wanachama kabisa.afadhali dube katema ukweli...ni muda sasa mzee bakhresa kuuza hii timu,biashara ya mpira mbele ya simba na yanga ni ngumu mno
Dube siyo mtanzania, kaja kufanya kazi tu hapa. Wewe ukiona mwaafrika tu unajua ni mtanzania wa Simba na Yanga?Yeye mwenyewe Dube kuna upande yupo kati ya simba na Yanga.
For once msema kweli kwa mara ya kwanza kuhusu ligi yetu .....Akihojiwa Dube ameeleza kwamba ndani ya timu wapo viongozi wanaoshabikia timu zingine mnaocheza nao nje ya Azam
Anaeleza kwamba mnapocheza viongozi wanasupport timu mnayocheza nayo, anasema bora aende sehemu ambayo watu wote ndani ya timu wanafikiria na kuwaza kitu kimoja.
NB: Azam kwa mtindo huu wasahau mafanikio makubwa.
Kasema ukweliAache unafiki kama ameichoka team yetu aondoke,fadhila zote tulizompa na vipaumbele kibao leo amegeuka punda
Pia nimeona sehemu anasema "Alikuwa analazimishwa kwenda madrasa kujifunza quran"Aache unafiki kama ameichoka team yetu aondoke,fadhila zote tulizompa na vipaumbele kibao leo amegeuka punda
Hilo halina shaka kuhusu asili ya huyo na Yanga kwasababu hata Nadir Canavaro kiasili alikuwa mshabiki wa simba,mkude nae hivyohivyo ni yanga lialia na wengine wengi tu ila sasa malisho yakiwa mazuri iweje uihujumu hiyo timu inayokupa hayo malisho?Kuna post match interview yake dhidi TZ Prisons hii hapa chini nimeambatanisha, hii kauli yako kuna doubts nilikuwa nazo kichwani kwangu body language yake na anachozungumza ni vitu viwili tofauti kabisa.
View: https://www.youtube.com/watch?v=G54wwiyUM2A&t=165s
Kama Faisal na Mayele..Huyu nae mpumbavu. Huwezi kuondoka kimya kimya na kuongelea mazuri ulipotoka?
Fala tu nae
Usichokijua ni kua kwa sasa hivi Azam limekua tawi la Yanga,Azam ilifanya ujinga kuwa tawi la Simba muda mrefu
Waliwapa wachezaji 5 wa team ya kwanza Boko, Manura, Kapombe, Nyoni
Waliwapa Ngasa
Na uhuni wa kijinga
Fikiria team makini wakaenda kumshawishi feitoto atoke Yanga aende azam baadae watampeleka simba
Azam waache undugu usio na faida na Simba
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hujui kitu heri utulieUsichokijua ni kua kwa sasa hivi Azam limekua tawi la Yanga,
CEO
Msemaji
Zakazakazi
Hao ni yanga lialia, wakikutana na simba wanakaza kwa yanga wanalegeza
Msimkane Manara yule .ni yanga pure.Dube aache ushamba,mbona haj8 manara ni mnyama ila yupo yanga
Uzuri watu wa karibu waliokua nae kariakoo wanajua yule ni mnyama pureMsimkane Manara yule .ni yanga pure.
Wewe unamtukana mwajiri wako ehh,utakoswa mafao😁.sharing yakoo😅Akihojiwa Dube ameeleza kwamba ndani ya timu wapo viongozi wanaoshabikia timu zingine mnaocheza nao nje ya Azam
Anaeleza kwamba mnapocheza viongozi wanasupport timu mnayocheza nayo, anasema bora aende sehemu ambayo watu wote ndani ya timu wanafikiria na kuwaza kitu kimoja.
NB: Azam kwa mtindo huu wasahau mafanikio makubwa.
🚮🚮🚮Azam ilifanya ujinga kuwa tawi la Simba muda mrefu
Waliwapa wachezaji 5 wa team ya kwanza Boko, Manura, Kapombe, Nyoni
Waliwapa Ngasa
Na uhuni wa kijinga
Fikiria team makini wakaenda kumshawishi feitoto atoke Yanga aende azam baadae watampeleka simba
Azam waache undugu usio na faida na Simba
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu wenu hakuna shabiki wa kweli Simba au yanga anaweza kuhama timuUzuri watu wa karibu waliokua nae kariakoo wanajua yule ni mnyama pure