Usimba na uyanga uko kila mahali.hadi tutakapovunja hiyo hali kwenye timu zetu nyingine kwenye ligi ndipo zitakapoleta ushindani wa kweli.Alichokisema bude inawezekana kabisa kwasababu azam sio timu yenye njaa lakini haina ushindani wakuzisumbua simba na yanga kwenye mbio za ubingwa.