Dube: Viongozi wa Azam wanashabikia timu mnayocheza nayo

Usimba na uyanga uko kila mahali.hadi tutakapovunja hiyo hali kwenye timu zetu nyingine kwenye ligi ndipo zitakapoleta ushindani wa kweli.Alichokisema bude inawezekana kabisa kwasababu azam sio timu yenye njaa lakini haina ushindani wakuzisumbua simba na yanga kwenye mbio za ubingwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…