Dudu ni dudu haliwezi kuwa zuriAkijiitq Dudu Zuri mambo yatamwendea vizuri
Baba yake si alienda kuombewa kwa Mwamposa? Ampeleke na mwanaye tukaone sasa ile miujiza.Familia ya dudu baya (msanii) mtoto wenu anaitwa Wille Yupo analala nje coco beach amedata
Kwa kulinda privacy sitoweka Picha yake .
Huyu Kijana anatumia Bangi, Pombe , na uchafu mwingine
Amedata kiakili analala Nje , mchafu hana nguo , akili haifanyi kazi .
Unfortunately Baba yake anapitia kipindi kigumu cha kiuchumi .
Nadhani something is wrong.
Pamoja na nguo ila msaada wa kisaikilojia na mapenzi ya wazazi ikiwemo msamaha kama alikosea itakua tibaMpe nguo mkuu🙏
Jamii Au watoto wajawahi kuwa salama wakiwa na Babà Au mama pekee.Kila siku tunakosoa malezi ya singo mazas humu,, haya malezi ya singo fazas hayo,,
Amedata kiakili analala Nje , mchafu hana nguo , akili haifanyi kazi .😭😭😭Familia ya dudu baya (msanii) mtoto wenu anaitwa Wille Yupo analala nje coco beach amedata
Kwa kulinda privacy sitoweka Picha yake .
Huyu Kijana anatumia Bangi, Pombe , na uchafu mwingine
Amedata kiakili analala Nje , mchafu hana nguo , akili haifanyi kazi .
Unfortunately Baba yake anapitia kipindi kigumu cha kiuchumi .
Nadhani something is wrong.
Huyo alipewa sumu na Single maza,akajenga uadui na Baba yake,so hayo ni matokeo ya single maza pia.Kila siku tunakosoa malezi ya singo mazas humu,, haya malezi ya singo fazas hayo,,