Dudu baya, Mtoto wako Wile yupo na hali mbaya jaribu kumuokoa anateketea .

Dudu baya, Mtoto wako Wile yupo na hali mbaya jaribu kumuokoa anateketea .

Poleni sana ila kama hajafikia stage ya kunywa hadi pombe mnaweza mkamsaidia.

Shule hizi ni nzuri ila watoto wanafundishana ujinga. Watoto wa shule wanakunywa hadi piwa.

Siku sio nyingi nilimkamata mwanafunzi na piwa kaweka kwenye chupa ya maji kumbe ndio anawaletea wenzake. Kuwabana vizuri wanavuta hadi bangi. Tumeita wazazi mimi nikawashauri wapelekwe kwenye matibabu kabla hali haijawa mbaya maana wakimaliza tu form four lazima wawe kama hawa tunaowaona.

Wameona watoto watapoteza muda ila wawili walielewa.
Teacher vp upo wapi nmlete mwanangu...!!?
 
Dudu Baya mbona kama life yake pia sio nzuri, ataweza kweli kumuokoa huyu dogo
 
Dudu baya yupo broke na Afya yake inashida

Mke wake au baby mama wake the same .

Mtoto wake the same hayupo sober sound.

Dudu anatoka familia masikini na mwanamke aliyemzalisha anatoka broke family


Labda Kama wasanjj wataguswa wamsaidie kumuinua kiuchumi na matibabu pia.

Ila yeye binafsi sifikirii Kama ataweza kumuokoa Wille.
 
Kuna wakati wazazi wanalaumiwa tu ila mtoto akiamua kuchukua njia mbaya kachukua. Na hawa watoto wanajifunza bangi na pombe shuleni huku mzazi unajua anasoma.

Mtu akianza mibangi na pombe kumuokoa labda upeleke soba na hapo uombe sana maana nimeona waliokaa soba mwaka mzima na walivyotoka wakarudia.

Na mtu akiwa stage hiyo hata umnunulie simu atauza nguo atauza ukijikoroga umpe pesa ndio umemuua kabisa atalewa huyo. Kwahiyo inafika mahali inabidi muangalie tu. Kwahiyo tusione kama hawasaidiwi bali wengi wao hawasaidiki.
Nakunukuu,

""Mtu akianza mibangi na pombe kumuokoa labda upeleke soba na hapo uombe sana""

Screenshot_20241112-171424.png
Screenshot_20241112-171957.png
Screenshot_20241130-191812.png


Watu wengi for years wanakunywa na hawafanyi mambo ya ajabu..

NB.
Tatizo sio pombe au ulevi tatizo ni mtu mwenyewe ndio tatizo ku misuse drugs/ alcohol
 
Dudu baya yupo broke na Afya yake inashida

Mke wake au baby mama wake the same .

Mtoto wake the same hayupo sober sound.

Dudu anatoka familia masikini na mwanamke aliyemzalisha anatoka broke family


Labda Kama wasanjj wataguswa wamsaidie kumuinua kiuchumi na matibabu pia.

Ila yeye binafsi sifikirii Kama ataweza kumuokoa Wille.
Inasikitisha Sanaa...

Mambo vp..? Upo powaa Issue yetu still naifanyia kazi.
 
Nakunukuu,

""Mtu akianza mibangi na pombe kumuokoa labda upeleke soba na hapo uombe sana""

View attachment 3180939View attachment 3180940View attachment 3180941

Watu wengi for years wanakunywa na hawafanyi mambo ya ajabu..

NB.
Tatizo sio pombe au ulevi tatizo ni mtu mwenyewe ndio tatizo ku misuse drugs/ alcohol
Umeninukuu vibaya.
Nilichomaanisha hawa watoto ukute kaanza bangi na hapo hapo anakunywa pombe . Sijasema pombe ni mbaya boss japo ni mbaya kweli😂
 
Back
Top Bottom