Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 16,078
- 77,186
Shukrani.Gongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani.Gongo.
Shukurani kwa kunijuza.Wanaita pombe kali jina lingine ni gongo. Inakuwa nyeupe kama konyagi ila ni ya kienyeji.
Teacher vp upo wapi nmlete mwanangu...!!?Poleni sana ila kama hajafikia stage ya kunywa hadi pombe mnaweza mkamsaidia.
Shule hizi ni nzuri ila watoto wanafundishana ujinga. Watoto wa shule wanakunywa hadi piwa.
Siku sio nyingi nilimkamata mwanafunzi na piwa kaweka kwenye chupa ya maji kumbe ndio anawaletea wenzake. Kuwabana vizuri wanavuta hadi bangi. Tumeita wazazi mimi nikawashauri wapelekwe kwenye matibabu kabla hali haijawa mbaya maana wakimaliza tu form four lazima wawe kama hawa tunaowaona.
Wameona watoto watapoteza muda ila wawili walielewa.
Mbona nililobeba ni zuri..au Hawa watoto wa mama mkwe wananidanganya?Dudu ni dudu haliwezi kuwa zuri
Nakunukuu,Kuna wakati wazazi wanalaumiwa tu ila mtoto akiamua kuchukua njia mbaya kachukua. Na hawa watoto wanajifunza bangi na pombe shuleni huku mzazi unajua anasoma.
Mtu akianza mibangi na pombe kumuokoa labda upeleke soba na hapo uombe sana maana nimeona waliokaa soba mwaka mzima na walivyotoka wakarudia.
Na mtu akiwa stage hiyo hata umnunulie simu atauza nguo atauza ukijikoroga umpe pesa ndio umemuua kabisa atalewa huyo. Kwahiyo inafika mahali inabidi muangalie tu. Kwahiyo tusione kama hawasaidiwi bali wengi wao hawasaidiki.
Inasikitisha Sanaa...Dudu baya yupo broke na Afya yake inashida
Mke wake au baby mama wake the same .
Mtoto wake the same hayupo sober sound.
Dudu anatoka familia masikini na mwanamke aliyemzalisha anatoka broke family
Labda Kama wasanjj wataguswa wamsaidie kumuinua kiuchumi na matibabu pia.
Ila yeye binafsi sifikirii Kama ataweza kumuokoa Wille.
I'm OK , nashukuru mkuuInasikitisha Sanaa...
Mambo vp..? Upo powaa Issue yetu still naifanyia kazi.
Gongo au chang'aaInasikitisha.
Piwa ni nini? Pombe ya aina gani hii?
Mlete😂Teacher vp upo wapi nmlete mwanangu...!!?
Madhara ya Kataa Ndoa haya. Lakini wanazaa njeHuyo dogo babake alimshindwa muda sana, nakumbuka kama miaka 2 au 3 kuna namna mzee wake aliongea akasema amemuacha afanye maisha yake, maana hakutaka shule wala kuwa chini ya usimamizi wa mtu.
Vijana wengi wanapuyanga hapa. Wakiwa bado vijana na michepuko kibao wanakwambia Ndoa ni ScamPole Sana Dudu Baya Familia ni muhimu maana ujana ukiisha na familia Stable hauna , inakuacha maumivu Mara 2
Umeninukuu vibaya.Nakunukuu,
""Mtu akianza mibangi na pombe kumuokoa labda upeleke soba na hapo uombe sana""
View attachment 3180939View attachment 3180940View attachment 3180941
Watu wengi for years wanakunywa na hawafanyi mambo ya ajabu..
NB.
Tatizo sio pombe au ulevi tatizo ni mtu mwenyewe ndio tatizo ku misuse drugs/ alcohol
Nimemuona dudu baya anahojiwa huko online TV analia anasema ndugu wanamloga
Hahahah.....Msukuma hata aende ulaya akaishi miaka 50 haachi usukuma wakeNimemuona dudu baya anahojiwa huko online TV analia anasema ndugu wanamloga
piwa ni gongo isiyo changanywa na majiInasikitisha.
Piwa ni nini? Pombe ya aina gani hii?