Oya Tusepe
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 265
- 870
Huyo dogo babake alimshindwa muda sana, nakumbuka kama miaka 2 au 3 kuna namna mzee wake aliongea akasema amemuacha afanye maisha yake, maana hakutaka shule wala kuwa chini ya usimamizi wa mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa. Na bangi huwa wanaanzia shule ya msingi au akichelewa anaanzia O - level. Mdogo wangu akiwa darasa la 3 kuna mtu alinitonya kuwa dogo wako anakula ganja nikamwona kama snitch kwa sababu dogo mtulivu na ana adabu mno nyumbani. Tumekuja kujua kuwa ni kweli dogo yuko form 3. Ilikuwa too late.Kuna wakati wazazi wanalaumiwa tu ila mtoto akiamua kuchukua njia mbaya kachukua. Na hawa watoto wanajifunza bangi na pombe shuleni huku mzazi unajua anasoma.
Mtu akianza mibangi na pombe kumuokoa labda upeleke soba na hapo uombe sana maana nimeona waliokaa soba mwaka mzima na walivyotoka wakarudia.
Na mtu akiwa stage hiyo hata umnunulie simu atauza nguo atauza ukijikoroga umpe pesa ndio umemuua kabisa atalewa huyo. Kwahiyo inafika mahali inabidi muangalie tu. Kwahiyo tusione kama hawasaidiwi bali wengi wao hawasaidiki.
Kwani huyu jamaa diamond alishindwa kumnyanyua awe chawa wakeMalezi yana mambo mengi sana. Hakunaga bingwa wa malezi. Sema Dudu naye ana kahistoria ka kutumika sana kwenye maugomvi ya watu. Ni mtu mwenye laana ndogondogo.
Kwahiyo haikua na madhara kwake? Coz umesema dogo alikua mtulivu na ana adabu.Kweli kabisa. Na bangi huwa wanaanzia shule ya msingi au akichelewa anaanzia O - level. Mdogo wangu akiwa darasa la 3 kuna mtu alinitonya kuwa dogo wako anakula ganja nikamwona kama snitch kwa sababu dogo mtulivu na ana adabu mno nyumbani. Tumekuja kujua kuwa ni kweli dogo yuko form 3. Ilikuwa too late.
Huwezi kumnyanyua mtu mwenye uraibu wa pombe, bangi, madawa au kamari. Hao ni wa kuachwa walivyo na kuwasaidia yale mahitaji muhimu sana ya kibinadamu inapobidi.Kwani huyu jamaa diamond alishindwa kumnyanyua awe chawa wake
Kwahiyo wewe Kama s. Mom unatoa ushauri gani?Kuna wakati wazazi wanalaumiwa tu ila mtoto akiamua kuchukua njia mbaya kachukua. Na hawa watoto wanajifunza bangi na pombe shuleni huku mzazi unajua anasoma.
Mtu akianza mibangi na pombe kumuokoa labda upeleke soba na hapo uombe sana maana nimeona waliokaa soba mwaka mzima na walivyotoka wakarudia.
Na mtu akiwa stage hiyo hata umnunulie simu atauza nguo atauza ukijikoroga umpe pesa ndio umemuua kabisa atalewa huyo. Kwahiyo inafika mahali inabidi muangalie tu. Kwahiyo tusione kama hawasaidiwi bali wengi wao hawasaidiki.
Mwanzoni ilikuwa ngumu kugundua. Na hadi leo dogo huwa sio mtu wa kuongea ni mkimya muda mwingi. Madhara aliyopata ni kushindwa kabisa kufanya mambo ya maendeleo zaidi ya bangi na pombe.Kwahiyo haikua na madhara kwake? Coz umesema dogo alikua mtulivu na ana adabu.
Huwezi kumbadili mtu kama yeye mwenyewe hayupo tayari kubadilika.Kwani huyu jamaa diamond alishindwa kumnyanyua awe chawa wake
Na nyie mnatumia? Mtaisha kweli.Hizi pombe Kali tutaisha
Poleni sana ila kama hajafikia stage ya kunywa hadi pombe mnaweza mkamsaidia.Kweli kabisa. Na bangi huwa wanaanzia shule ya msingi au akichelewa anaanzia O - level. Mdogo wangu akiwa darasa la 3 kuna mtu alinitonya kuwa dogo wako anakula ganja nikamwona kama snitch kwa sababu dogo mtulivu na ana adabu mno nyumbani. Tumekuja kujua kuwa ni kweli dogo yuko form 3. Ilikuwa too late.
Hiyo s mom unamaanisha nini?Kwahiyo wewe Kama s. Mom unatoa ushauri gani?
Alishafika hiyo stage ya pombe kitambo sana. Sasa hivi ni mtu mzima kashaoa single mama mwenye watoto wawili wakubwa.Poleni sana ila kama hajafikia stage ya kunywa hadi pombe mnaweza mkamsaidia.
Shule hizi ni nzuri ila watoto wanafundishana ujinga. Watoto wa shule wanakunywa hadi piwa.
Siku sio nyingi nilimkamata mwanafunzi na piwa kaweka kwenye chupa ya maji kumbe ndio anawaletea wenzake. Kuwabana vizuri wanavuta hadi bangi. Tumeita wazazi mimi nikawashauri wapelekwe kwenye matibabu kabla hali haijawa mbaya maana wakimaliza tu form four lazima wawe kama hawa tunaowaona.
Wameona watoto watapoteza muda ila wawili walielewa.
Baba yupo bize kutukanana na waliomzidi kipatoFamilia ya dudu baya (msanii) mtoto wenu anaitwa Wille Yupo analala nje coco beach amedata
Kwa kulinda privacy sitoweka Picha yake .
Huyu Kijana anatumia Bangi, Pombe , na uchafu mwingine
Amedata kiakili analala Nje , mchafu hana nguo , akili haifanyi kazi .
Unfortunately Baba yake anapitia kipindi kigumu cha kiuchumi .
Nadhani something is wrong.
Inasikitisha.Poleni sana ila kama hajafikia stage ya kunywa hadi pombe mnaweza mkamsaidia.
Shule hizi ni nzuri ila watoto wanafundishana ujinga. Watoto wa shule wanakunywa hadi piwa.
Siku sio nyingi nilimkamata mwanafunzi na piwa kaweka kwenye chupa ya maji kumbe ndio anawaletea wenzake. Kuwabana vizuri wanavuta hadi bangi. Tumeita wazazi mimi nikawashauri wapelekwe kwenye matibabu kabla hali haijawa mbaya maana wakimaliza tu form four lazima wawe kama hawa tunaowaona.
Wameona watoto watapoteza muda ila wawili walielewa.
Piwa ni nini madame?Poleni sana ila kama hajafikia stage ya kunywa hadi pombe mnaweza mkamsaidia.
Shule hizi ni nzuri ila watoto wanafundishana ujinga. Watoto wa shule wanakunywa hadi piwa.
Siku sio nyingi nilimkamata mwanafunzi na piwa kaweka kwenye chupa ya maji kumbe ndio anawaletea wenzake. Kuwabana vizuri wanavuta hadi bangi. Tumeita wazazi mimi nikawashauri wapelekwe kwenye matibabu kabla hali haijawa mbaya maana wakimaliza tu form four lazima wawe kama hawa tunaowaona.
Wameona watoto watapoteza muda ila wawili walielewa.
Wanaita pombe kali jina lingine ni gongo. Inakuwa nyeupe kama konyagi ila ni ya kienyeji.Inasikitisha.
Piwa ni nini? Pombe ya aina gani hii?
Gongo.Piwa ni nini madame?