Dudu baya, Mtoto wako Wile yupo na hali mbaya jaribu kumuokoa anateketea .

Dudu baya, Mtoto wako Wile yupo na hali mbaya jaribu kumuokoa anateketea .

Kuna wakati wazazi wanalaumiwa tu ila mtoto akiamua kuchukua njia mbaya kachukua. Na hawa watoto wanajifunza bangi na pombe shuleni huku mzazi unajua anasoma.

Mtu akianza mibangi na pombe kumuokoa labda upeleke soba na hapo uombe sana maana nimeona waliokaa soba mwaka mzima na walivyotoka wakarudia.

Na mtu akiwa stage hiyo hata umnunulie simu atauza nguo atauza ukijikoroga umpe pesa ndio umemuua kabisa atalewa huyo. Kwahiyo inafika mahali inabidi muangalie tu. Kwahiyo tusione kama hawasaidiwi bali wengi wao hawasaidiki.
 
Kuna wakati wazazi wanalaumiwa tu ila mtoto akiamua kuchukua njia mbaya kachukua. Na hawa watoto wanajifunza bangi na pombe shuleni huku mzazi unajua anasoma.

Mtu akianza mibangi na pombe kumuokoa labda upeleke soba na hapo uombe sana maana nimeona waliokaa soba mwaka mzima na walivyotoka wakarudia.

Na mtu akiwa stage hiyo hata umnunulie simu atauza nguo atauza ukijikoroga umpe pesa ndio umemuua kabisa atalewa huyo. Kwahiyo inafika mahali inabidi muangalie tu. Kwahiyo tusione kama hawasaidiwi bali wengi wao hawasaidiki.
Kweli kabisa. Na bangi huwa wanaanzia shule ya msingi au akichelewa anaanzia O - level. Mdogo wangu akiwa darasa la 3 kuna mtu alinitonya kuwa dogo wako anakula ganja nikamwona kama snitch kwa sababu dogo mtulivu na ana adabu mno nyumbani. Tumekuja kujua kuwa ni kweli dogo yuko form 3. Ilikuwa too late.
 
Kweli kabisa. Na bangi huwa wanaanzia shule ya msingi au akichelewa anaanzia O - level. Mdogo wangu akiwa darasa la 3 kuna mtu alinitonya kuwa dogo wako anakula ganja nikamwona kama snitch kwa sababu dogo mtulivu na ana adabu mno nyumbani. Tumekuja kujua kuwa ni kweli dogo yuko form 3. Ilikuwa too late.
Kwahiyo haikua na madhara kwake? Coz umesema dogo alikua mtulivu na ana adabu.
 
Kuna wakati wazazi wanalaumiwa tu ila mtoto akiamua kuchukua njia mbaya kachukua. Na hawa watoto wanajifunza bangi na pombe shuleni huku mzazi unajua anasoma.

Mtu akianza mibangi na pombe kumuokoa labda upeleke soba na hapo uombe sana maana nimeona waliokaa soba mwaka mzima na walivyotoka wakarudia.

Na mtu akiwa stage hiyo hata umnunulie simu atauza nguo atauza ukijikoroga umpe pesa ndio umemuua kabisa atalewa huyo. Kwahiyo inafika mahali inabidi muangalie tu. Kwahiyo tusione kama hawasaidiwi bali wengi wao hawasaidiki.
Kwahiyo wewe Kama s. Mom unatoa ushauri gani?
 
Kweli kabisa. Na bangi huwa wanaanzia shule ya msingi au akichelewa anaanzia O - level. Mdogo wangu akiwa darasa la 3 kuna mtu alinitonya kuwa dogo wako anakula ganja nikamwona kama snitch kwa sababu dogo mtulivu na ana adabu mno nyumbani. Tumekuja kujua kuwa ni kweli dogo yuko form 3. Ilikuwa too late.
Poleni sana ila kama hajafikia stage ya kunywa hadi pombe mnaweza mkamsaidia.

Shule hizi ni nzuri ila watoto wanafundishana ujinga. Watoto wa shule wanakunywa hadi piwa.

Siku sio nyingi nilimkamata mwanafunzi na piwa kaweka kwenye chupa ya maji kumbe ndio anawaletea wenzake. Kuwabana vizuri wanavuta hadi bangi. Tumeita wazazi mimi nikawashauri wapelekwe kwenye matibabu kabla hali haijawa mbaya maana wakimaliza tu form four lazima wawe kama hawa tunaowaona.

Wameona watoto watapoteza muda ila wawili walielewa.
 
Poleni sana ila kama hajafikia stage ya kunywa hadi pombe mnaweza mkamsaidia.

Shule hizi ni nzuri ila watoto wanafundishana ujinga. Watoto wa shule wanakunywa hadi piwa.

Siku sio nyingi nilimkamata mwanafunzi na piwa kaweka kwenye chupa ya maji kumbe ndio anawaletea wenzake. Kuwabana vizuri wanavuta hadi bangi. Tumeita wazazi mimi nikawashauri wapelekwe kwenye matibabu kabla hali haijawa mbaya maana wakimaliza tu form four lazima wawe kama hawa tunaowaona.

Wameona watoto watapoteza muda ila wawili walielewa.
Alishafika hiyo stage ya pombe kitambo sana. Sasa hivi ni mtu mzima kashaoa single mama mwenye watoto wawili wakubwa.
 
Familia ya dudu baya (msanii) mtoto wenu anaitwa Wille Yupo analala nje coco beach amedata

Kwa kulinda privacy sitoweka Picha yake .

Huyu Kijana anatumia Bangi, Pombe , na uchafu mwingine

Amedata kiakili analala Nje , mchafu hana nguo , akili haifanyi kazi .

Unfortunately Baba yake anapitia kipindi kigumu cha kiuchumi .

Nadhani something is wrong.
Baba yupo bize kutukanana na waliomzidi kipato
 
Poleni sana ila kama hajafikia stage ya kunywa hadi pombe mnaweza mkamsaidia.

Shule hizi ni nzuri ila watoto wanafundishana ujinga. Watoto wa shule wanakunywa hadi piwa.

Siku sio nyingi nilimkamata mwanafunzi na piwa kaweka kwenye chupa ya maji kumbe ndio anawaletea wenzake. Kuwabana vizuri wanavuta hadi bangi. Tumeita wazazi mimi nikawashauri wapelekwe kwenye matibabu kabla hali haijawa mbaya maana wakimaliza tu form four lazima wawe kama hawa tunaowaona.

Wameona watoto watapoteza muda ila wawili walielewa.
Inasikitisha.

Piwa ni nini? Pombe ya aina gani hii?
 
Poleni sana ila kama hajafikia stage ya kunywa hadi pombe mnaweza mkamsaidia.

Shule hizi ni nzuri ila watoto wanafundishana ujinga. Watoto wa shule wanakunywa hadi piwa.

Siku sio nyingi nilimkamata mwanafunzi na piwa kaweka kwenye chupa ya maji kumbe ndio anawaletea wenzake. Kuwabana vizuri wanavuta hadi bangi. Tumeita wazazi mimi nikawashauri wapelekwe kwenye matibabu kabla hali haijawa mbaya maana wakimaliza tu form four lazima wawe kama hawa tunaowaona.

Wameona watoto watapoteza muda ila wawili walielewa.
Piwa ni nini madame?
 
Back
Top Bottom