Duh kama no kweli Basi Mh Rais Samia chawa wako wamevunja rekodi ya dunia🙌

Waache wahangaike na mama yao ila 2025 tunaenda na Upinzani, hatutaki kujua wataifanyia nini nchi ila tunachojua ni kwamba tumechoka fisiem, at this point tanzanians need anything but fisiem
 
Waache wahangaike na mama yao ila 2025 tunaenda na upinzani, hatutaki kujua wataifanyia nini nchi ila tunachojua ni kwamba tumeichoka fisiem, at this point tanzanians need anything but fisiem
Mmh ndoto hizi
 
Waache wahangaike na mama yao ila 2025 tunaenda na upinzani, hatutaki kujua wataifanyia nini nchi ila tunachojua ni kwamba tumeichoka fisiem, at this point tanzanians need anything but fisiem
Mtaenda naye bichi tu

Nchi hii hakuna upinzani
 
Ukiachilia mbali Toilet paper zenye sura ya Mama, pia kuna Boxer na Underwear special zenye picha ya Mama yetu mpendwa kuonesha uzalendo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…