Duh kama no kweli Basi Mh Rais Samia chawa wako wamevunja rekodi ya duniašŸ™Œ

Duh kama no kweli Basi Mh Rais Samia chawa wako wamevunja rekodi ya duniašŸ™Œ

feyzal

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2016
Posts
7,683
Reaction score
15,128
Sina maelezo mengi habari kwa picha
 

Attachments

  • 20250223_150843.jpg
    20250223_150843.jpg
    104.3 KB · Views: 3
Waache wahangaike na mama yao ila 2025 tunaenda na Upinzani, hatutaki kujua wataifanyia nini nchi ila tunachojua ni kwamba tumechoka fisiem, at this point tanzanians need anything but fisiem
 
Waache wahangaike na mama yao ila 2025 tunaenda na upinzani, hatutaki kujua wataifanyia nini nchi ila tunachojua ni kwamba tumeichoka fisiem, at this point tanzanians need anything but fisiem
Mmh ndoto hizi
 
Waache wahangaike na mama yao ila 2025 tunaenda na upinzani, hatutaki kujua wataifanyia nini nchi ila tunachojua ni kwamba tumeichoka fisiem, at this point tanzanians need anything but fisiem
Mtaenda naye bichi tu

Nchi hii hakuna upinzani
 
Ukiachilia mbali Toilet paper zenye sura ya Mama, pia kuna Boxer na Underwear special zenye picha ya Mama yetu mpendwa kuonesha uzalendo!
 
Back
Top Bottom