spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Kesho mkimuona Mtu na Kanzu kubwa na helmet ni mimiHalafu kesho tunaanza mfungo!, si tutazimia mabarabarani...š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho mkimuona Mtu na Kanzu kubwa na helmet ni mimiHalafu kesho tunaanza mfungo!, si tutazimia mabarabarani...š¤£
Upo kwenye gari kali bro , karibu bia ya baridi tupooze koromeo hapa.unaweza kulifanya eneo lao oevu...changamsheni bongo mwenyewe niko mjini hapa na sijaona tatizo lolote
Maji yenyewe yameanza kupungua kwenye vyanzoJuzi nilipita Dodoma, Morogoro, DSM, Babati kote jua ni Kali
Dalili hizi, zinaonesha kwamba Mwaka huu kutakuwa na upungufu wa Chakula.
Niwasihi Wakulima wenzangu, tutunze chakula
Hizi sio dalili nzuri,Maji yenyewe yameanza kupungua kwenye vyanzo
Mgao mkali ndio habari ya mjini
Kama yapi toa mfanoMaovu yamezidi
Kuna mgeni wangu jana katoka songea kasema hali ni tete ya mazao. Kuna haja ya kuhifadhi nafaka.Juzi nilipita Dodoma, Morogoro, DSM, Babati kote jua ni Kali
Dalili hizi, zinaonesha kwamba Mwaka huu kutakuwa na upungufu wa Chakula.
Niwasihi Wakulima wenzangu, tutunze chakula
Hakika Mkuu, vyema kuhifadhi chakula kama Kuna nafasi ya kufanya hivyoKuna mgeni wangu jana katoka songea kasema hali ni tete ya mazao. Kuna haja ya kuhifadhi nafaka.
pombe kali huwa natumia kusafishia choo meku muda kama huu ni wakupiga mchanganyiko wa pilau sururu na matunda ya kukatakata baridiUpo kwenye gari kali bro , karibu bia ya baridi tupooze koromeo hapa.
Kidogo halafu kistaharabu ila kwa sisi tunagonga mpaka tupate zile akili za kujisaidia kichakaniššpombe kali huwa natumia kusafishia choo meku muda kama huu ni wakupiga mchanganyiko wa pilau sururu na matunda ya kukatakata baridi
Tafuta hela mkuu Jua hutalionaVp maeneo uliyopo au hali ni kawaida?
Huku vua linanyesha maji yamejaa kila sehemu tope limetapakaa hadi sio poa.Vp maeneo uliyopo au hali ni kawaida?