Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Weeeeh tena🙆♂️🙆♂️ni jambo jema kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeeeh tena🙆♂️🙆♂️ni jambo jema kwa kweli
Shindikanaa kaka ako atupinga walevi etiWeeeeh tena🙆♂️🙆♂️
Walevi kwani waliwakosea nini!! Hawajui nchi inaendeshwa na walevi🤣🤣Shindikanaa kaka ako atupinga walevi eti
labda nifunge mlango!😅Usianze kutafuta sababu kesho ufunge.
Shindikanaa uje tulewe zetuWalevi kwani waliwakosea nini!! Hawajui nchi inaendeshwa na walevi🤣🤣
jua linalopiga kwenye shingo ulishawahi kukutana nalo..?Si mnakula hadi asubuhi, iweje mzimie?
Halafu mvua zinatarajiwa kuanza katikati mwa mwezi ujaoMazao mengi yanayostawi Kwa hili jua ni Alizeti na Ufuta.
Kuna maeneo nimepita hata Mahindi yamestawi
Japo upungufu wa Chakula utakwepo, maana sio wote waliwahi zile mvua za mwanzoni
Kabisa, week end ishaanza.Shindikanaa uje tulewe zetu
naona mnanishambuliaShindikanaa kaka ako atupinga walevi eti
Sio kwel bro 🤣naona mnanishambulia
Hapana. Haivuki 35C, vinginevyo itaingia kwenye rekodi za joto hapa Tanzania.Huku Geita kuna joto la hatari kwa kukadiria ni zaid ya 45°C
Ndan joto kali nje joto kali!
Ila Zakayo amefanya maisha ya wakenya yawe magumu sanaHiyo sababu ya Zakayo
Yah i know nimeongea tu kuonyesha joto kalii ila halijafikia nyuzi hizo mkuu!Hapana. Haivuki 35C, vinginevyo itaingia kwenye rekodi za joto hapa Tanzania.
Hapo ni busara Wakulima wetu wakaelekezwa aina ya mazao ya kulima yatakayostawi katika muda mfupi.Halafu mvua zinatarajiwa kuanza katikati mwa mwezi ujao
Mazao gani hayo ya mda mfupi nianze kulima sasa hiviHapo ni busara Wakulima wetu wakaelekezwa aina ya mazao ya kulima yatakayostawi katika muda mfupi.
Kwa maana mvua ikinyesha Mwezi March hadi April zinakuwa zimeshakata
Yapo Mazao ya muda mfupi MkuuMazao gani hayo ya mda mfupi nianze kulima sasa hivi