Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unakuta kijana hata mguu wake sijui lini kakumbuka kupitishia brashi ausugue na pombe unambiwa kila siku anakunywaDah ila ila moshi ni kwetu ila kuna vijana wanatakiwa watembezewe bakora , miaka ya 80 hakukua na wapumbavu wa pombe kiasi kile๐ค
hatari sana๐๐๐๐
hujambo AtotoHili jua linawaka kama limeshuka aisee๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Mazao mengi yanayostawi Kwa hili jua ni Alizeti na Ufuta.Upungufu wa chakula na wakati kuna mazao yanastawi sana kwa jua kali
Jambo ninalo kwakweli mkuu!hujambo Atoto
Kaka now nakuunga mkono kupinga ulevi wa kipumbavu , wanatuaibisha sana sisi walevi wengine ๐คฃunakuta kijana hata mguu wake sijui lini kakumbuka kupitishia brashi ausugue na pombe unambiwa kila siku anakunywa
Hela ya zaka mnahongea hakuna rangi tutaacha kuona, ila kuanzia trehe 2 zitaanza kunyeshaVp maeneo uliyopo au hali ni kawaida?
ni jambo jema kwa kweliJambo ninalo kwakweli mkuu!
Usianze kutafuta sababu kesho ufunge.Halafu kesho tunaanza mfungo!, si tutazimia mabarabarani...๐คฃ
sasa fikiria mtu hata kuosha mguu wake unaompeleka bar anasahau kunawa mtu atacha kuwazarau walevi kwa mtaji huoKaka now nakuunga mkono kupinga ulevi wa kipumbavu , wanatuaibisha sana sisi walevi wengine ๐คฃ
LAANA YA SAMIA BUSHIRI ...AMELAANIWA NA ABDUL MZAWA WA TUMBO LAKE KALAANIWAVp maeneo uliyopo au hali ni kawaida?
Si mnakula hadi asubuhi, iweje mzimie?Halafu kesho tunaanza mfungo!, si tutazimia mabarabarani...๐คฃ
Ndio maana baada ya kujua hilo sikupingi kaka๐๐sasa fikiria mtu hata kuosha mguu wake unaompeleka bar anasahau kunawa mtu atacha kuwazarau walevi kwa mtaji huo
๐๐๐๐LAANA YA SAMIA BUSHIRI ...AMELAANIWA NA ABDUL MZAWA WA TUMBO LAKE KALAANIWA
jua la utosiVp maeneo uliyopo au hali ni kawaida?