Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesuuu a leka shindo shoo na hiyo😁Tafuta hela mkuu Jua hutaliona
MaybeMaovu yamezidi
Ngoja jioni nione naingiza kiasi gani leo 😅 maana nimeuza mzigo ila pesa sizielewi😂😂😂😂
Hakika
Nitoe buku2 bali mamii wa ukwee!!!
Goba huku kuna bonge la mvua watu hatujatoka nje leo imeanza saa sita usikuDuh maeneo gani mkuu wangu
Upungufu wa chakula na wakati kuna mazao yanastawi sana kwa jua kaliJuzi nilipita Dodoma, Morogoro, DSM, Babati kote jua ni Kali
Dalili hizi, zinaonesha kwamba Mwaka huu kutakuwa na upungufu wa Chakula.
Niwasihi Wakulima wenzangu, tutunze chakula
Mndumi yesu , ruwa oko mtonga😄😄😄NNDUMI yESU
juma lililopita nilikua moshi uko walevi wanapigwa kelebu na waudumu eti wakalale walevi banaKidogo halafu kistaharabu ila kwa sisi tunagonga mpaka tupate zile akili za kujisaidia kichakani😄😄
Hakika mkuuMaovu yamezidi halafu viongozi wa dini na manabii wamekuwa machawa. Hakuna wa kumsaidia mwenzake.
Mimi asili yangu ni moto naona sawa tu joto kuongezeka. Hofu yangu ni kwamba ukame unaweza sababisha upungufu wa vyakula.
Hiyo sababu ya ZakayoHuku Kenya Napo Hali ni hiyo Tu,jua linawaka kisenge sana
Dah ila ila moshi ni kwetu ila kuna vijana wanatakiwa watembezewe bakora , miaka ya 80 hakukua na wapumbavu wa pombe kiasi kile🤔juma lililopita nilikua moshi uko walevi wanapigwa kelebu na waudumu eti wakalale izi walevi bana
HakikaDah ila ila moshi ni kwetu ila kuna vijana wanatakiwa watembezewe bakora , miaka ya 80 hakukua na wapumbavu wa pombe kiasi kile🤔
Hao ni wapuuzi tu , asilimia kubwa sasa hivi huko uchagani hawaishi wachaga.Hakika
Niliiikuwepo moshi wakati wa banana ilivyoanza kunyweka , aisee watu hadi walikuwa wanajinyea