Weeeeh tena๐โโ๏ธ๐โโ๏ธni jambo jema kwa kweli
Shindikanaa kaka ako atupinga walevi etiWeeeeh tena๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Walevi kwani waliwakosea nini!! Hawajui nchi inaendeshwa na walevi๐คฃ๐คฃShindikanaa kaka ako atupinga walevi eti
labda nifunge mlango!๐Usianze kutafuta sababu kesho ufunge.
Shindikanaa uje tulewe zetuWalevi kwani waliwakosea nini!! Hawajui nchi inaendeshwa na walevi๐คฃ๐คฃ
jua linalopiga kwenye shingo ulishawahi kukutana nalo..?Si mnakula hadi asubuhi, iweje mzimie?
Halafu mvua zinatarajiwa kuanza katikati mwa mwezi ujaoMazao mengi yanayostawi Kwa hili jua ni Alizeti na Ufuta.
Kuna maeneo nimepita hata Mahindi yamestawi
Japo upungufu wa Chakula utakwepo, maana sio wote waliwahi zile mvua za mwanzoni
Kabisa, week end ishaanza.Shindikanaa uje tulewe zetu
naona mnanishambuliaShindikanaa kaka ako atupinga walevi eti
Sio kwel bro ๐คฃnaona mnanishambulia
Hapana. Haivuki 35C, vinginevyo itaingia kwenye rekodi za joto hapa Tanzania.Huku Geita kuna joto la hatari kwa kukadiria ni zaid ya 45ยฐC
Ndan joto kali nje joto kali!
Ila Zakayo amefanya maisha ya wakenya yawe magumu sanaHiyo sababu ya Zakayo
Yah i know nimeongea tu kuonyesha joto kalii ila halijafikia nyuzi hizo mkuu!Hapana. Haivuki 35C, vinginevyo itaingia kwenye rekodi za joto hapa Tanzania.
Hapo ni busara Wakulima wetu wakaelekezwa aina ya mazao ya kulima yatakayostawi katika muda mfupi.Halafu mvua zinatarajiwa kuanza katikati mwa mwezi ujao
Mazao gani hayo ya mda mfupi nianze kulima sasa hiviHapo ni busara Wakulima wetu wakaelekezwa aina ya mazao ya kulima yatakayostawi katika muda mfupi.
Kwa maana mvua ikinyesha Mwezi March hadi April zinakuwa zimeshakata
Yapo Mazao ya muda mfupi MkuuMazao gani hayo ya mda mfupi nianze kulima sasa hivi