Duh! Rais Samia amkataa mama mnyonge aliyetaka kumlilia kama Magufuli. Nenda kakae…

kwani Kuna sheria yoyote imevunjwa?
 
Huyu ni katili haswa
 
Kama hizo delegation of power, specialization of labor zingekuwa zinafanya kazi kwa weledi hao watu wasingekuwa wanafika kuanika mabango kwenye hafla na hotuba za raisi
Hapo sasa ndiyo pa kufanyia kazi lakini siyo kazi ya Rais wa Nchi yenye watu 60 Milioni kumjibu Mtanzania mmoja mmoja.

Ule UJINGA wa Magufuli tumeuzika naye Chato March 2021
 

Kwahiyo mlishajipangia vyeo kama nchi yenu vile
 
Ule ujinga wa maigizo hatutaki,safi Sana Rais..

Haiwezekani kila mwenye tatizo amtafute Rais.
Nikweli unalosema ila haijawahi kukutokea ukapitia changamoto,wajanja wanawapiga makofi ya nyani watu wote hadi RC.na Mahakama.....Utaenda wapi? Nchi hii dhulma ni waziwazi, inawezekana nikweli JPM kulikuwa na kasoro hizo,ila Kuna machozi ya watu wengi na hakuna pa kupata haki yao
 
Mjomba hayajakusibu
 
Azibaye masikio yake asisikie kilio cha masikini,yeye naye atalia,lakini hatasikiwa. MITHALI 21:13
 
This is TZ, mkuu! Kitendo cha yeye kukimbikilia kwa Rais tayari kimeshawachukiza wale wadogo wote. Akiwarudia watamuambia apeleke shida zake kwa Rais. Kwa maneno mengine, if her situation was bad, it’s going to be worse!
Dawa ni katiba mpya, hakuna nchi inayojielewa ambayo Rais anatatua migogoro ya mashamba na ndoa kwa mwananchi mmoja mmoja.
 
Rais anashugulika na bifu za Wasafi na Konde boy![emoji1787]
 
Wewe ndo unajitoa ufahamu. Unajifanya hujawahi ona Samia anasikiliza kero ya mtu mmoja mmoja?

Sema Rais hana uwezo na mambo Magumu, anayaogopa hatari.

Kimsingi anakwepa jukumu lake la kuwahudumia wananchi.
 
Rais amekosea kutomsikiliza ila mwenye shida amekosea zaidi kulazimisha kukatisha hotuba.

Mama Samia anatoa hutuba unamkatisha ili useme shida yako. Why usumsubiri amalize hotuba yake kwanza?
Ndo usemi wake ukinizingua ntakuzingua
 
Hakika.

Kama wananchi wanakosa msaada kuanzia chini huko hadi kwa Rais basi tumekwisha.
 
Utalionaje kosa la Rais wakati kakutia limbwata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…