khaligraph
JF-Expert Member
- Nov 19, 2016
- 1,141
- 1,057
Old brain.Ww ni mwenyeji wa uko? Wahaya wanakasumb ya kununuzana wao kwa wao kama niwakwenda tuu angalia izo dawa isifikie sehm ukaanza kuzinywa mwenyw
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Old brain.Ww ni mwenyeji wa uko? Wahaya wanakasumb ya kununuzana wao kwa wao kama niwakwenda tuu angalia izo dawa isifikie sehm ukaanza kuzinywa mwenyw
Mbona hiyo pesa ndogo sana.
Daa pesa ndogo sana hiyo
Mpeni majib aanze na kiasi gan sasaLaki sita ndogo sana
Frame iko tayari? Vinginevyo kama bado hujaaandaa frame basi hiyo hela itatosha kununulia dawa za asili na uchawi na siyo vinginevyo.Naomba ushauri wana jamvi nina mtaji wa hela hapo juu nina hitaji kufungua duka la dawa za binadamu mkoan kagera nina omba mwenye list ya madawa ya binadam yakuanza nayo
Maoni yako ni yamuhimu sana karibu sana
We jamaa wewe.Frame iko tayari? vinginevyo kama bado hujaaandaa frame basi hiyo hela itatosha kununulia dawa za asili na uchawi na siyo vinginevyo
Mkuu hayo uliyosema yana ukweli wowote maana nafikiria kutanua biashara zangu huko.Ww ni mwenyeji wa uko? Wahaya wanakasumb ya kununuzana wao kwa wao kama niwakwenda tuu angalia izo dawa isifikie sehm ukaanza kuzinywa mwenyw
Speaking of the SHELVES. Zinaweza cost bei gan kwa room yenye ukubwa wa kawaida. Hasa zile za vioo..
Frame iko tayari? vinginevyo kama bado hujaaandaa frame basi hiyo hela itatosha kununulia dawa za asili na uchawi na siyo vinginevyo
Laki 6 fungua genge mkuu.
Wadau washakujibu uwe na kamba yenye urefu atleast mita 2 na kuendelea.Ninatakiwa kuwa na shingap ? Nipe uzoefu wako
Usiogope nilishawahi anza na sh laki 250 kama mtaji baada ya kuandaa kila kitu lilifikia sh mil 5 cha muhimu kwasababu una sehemu ya kuanzia nenda maduka jirani au nenda pharmacy za jumla waambie nahitaji dawa za sh laki 6 ila naomba fast moving medcs wanazijua na wanakupa ushauri palepale nini cha kufanya laki 6 unapata dawa za kuanzia usisubiri uwe na kiasi kikubwa weka hizo laki 6 simamia biashara ukipata kidogo kwenye mizunguko changanya na hizo kaongeze mzigo capital yako itakua wakati unazungusha ndani y bznss usisubiri kuwa na mil wakati hata laki 6 inaweza kuanzia pia kuna maduka hutoa dawa then ukawa unarudisha pesa kila wiki au mwezi nenda kaongee nao then njoo niambie una kwama wapi.Naomba ushauri wana jamvi nina mtaji wa hela hapo juu nina hitaji kufungua duka la dawa za binadamu mkoan kagera nina omba mwenye list ya madawa ya binadam yakuanza nayo
Maoni yako ni yamuhimu sana karibu sana
Kila kitu kinawezekana usiogope upo kagera sehemu gani je una mahali pakufungulia duka lenyewe nijibu hili now.
Usiogope nilishawahi anza na sh laki 250 kama mtaji baada ya kuandaa kila kitu lilifikia sh mil 5 cha muhimu kwasababu una sehemu ya kuanzia nenda maduka jirani au nenda pharmacy za jumla waambie nahitaji dawa za sh laki 6 ila naomba fast moving medcs wanazijua na wanakupa ushauri palepale nini cha kufanya laki 6 unapata dawa za kuanzia usisubiri uwe na kiasi kikubwa weka hizo laki 6 simamia biashara ukipata kidogo kwenye mizunguko changanya na hizo kaongeze mzigo capital yako itakua wakati unazungusha ndani y bznss usisubiri kuwa na mil wakati hata laki 6 inaweza kuanzia pia kuna maduka hutoa dawa then ukawa unarudisha pesa kila wiki au mwezi nenda kaongee nao then njoo niambie una kwama wapi
Usikatishe tamaa mkuu, kuna watu walianza biashara na walianza bila hata senti, leo wako mbali.Sasa broo. Laki sita c utaweka vidawa viwili witatu na utaonekana unatania?
Ok welcome sana kuwa na amaniNimefarijika kwa maono yako natumai nitafanisha jambo ilo Mungu akujalie moyo wa kusaidia zaid zaid nimejifunza kituu hapa nitakupm zaid