Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

Hela ndogo sana hiyo mkuu .... Dukani lazima kiwepo cheti cha mpharmasia ambaye utamlipa Million 1 mpaka million 1.5 kwa mkataba wa miezi 6....

Bado hujalipa kodi ya chumba ambayo umesema ni laki 5 kwa mwezi....

Bado ukarabati wa chumba vinatakiwa viwepo vyumba viwili vikubwa na ufunge Air condition ... Bado Manunuzi ya mzigo dawa,
Ongeza ifike hata Mill 25

Au nakushauri uanze na duka la Dawa Muhimu ambalo gharama yake haizidi Mill 5
Mfamasia gani bongo saivi utamlipa hayo mamilioni!mtaani graduate wamejaa hawana kazi
 
Milioni 6 kwa mwaka... huu pekee ni mtaji tosha wa biashara kwa karne hii ya biashara na digital marketing

.Sijajua uelewa wako katika masuala ya biashara yako vp?
1.kwann umechagua pharmacy, una ujuzi wa masuala ya madawa au una uzoefu tu wa hiyo biashara.

2.Tulia...fanya utafiti kabla ya kuamua biashara gani ya kuifanya... epuka kuanza biashara ambayo inachukua kiasi chote cha pesa..ulichonacho kw wakati mmoja..

mfano: kwa kiasi hicho cha pesa anza na biashara ambayo itakugharimu si zaidi ya milioni 7...hapo utakuwa na amani..hata biashara ikiyumba hutokuwa na was was..
imaginr unaanzisha biashara ambayo inaxhukua pesa hiyo yote...itakapoyumba utapanic na biashara inaweza kufa..

My advice fanya research ya biashara ambayo haito kuhitaji makodi yote hayo (milioni 6)...

kwa mfano watu siku hizi wanafanya food delivery ila unakuta hawana ofisi / pango linalowakata pesa nying kiasi hicho...huo ni mfano tu.. simaanishi ufanye hii biashara

Usiwaze kuhusu masoko soma uzi wangu huu kuhsu digital marketing

Kuelekea 2020: Siri ya kunasa wateja ambayo kila mmiliki wa biashara anatakiwa aifahamu

Dunia ya sasa ni ya kidigitali..huhitaji ofisi..ni kuipambanua tu bidhaa au huduma yako..mtu aweze kuihitaji..na hakikisha bidhaa yako ina tija kwa mtumiaji..

Huu ni mtazamo wangu tu.
Kwenye huo uzi wako mwenyewe maswali ya msingi ya wadau umeyakimbia tangu 2019 mpk leo.
 
Mkuu chapa kazi achana na maneno ya wanafunzi wa chuo humu... Nina rafiki yangu alianza duka la Dawa kea mtaji milion 3... Mambo mengine alijua mbele kwa mbele...

Nchi hii ukitaka uanze Kitu kwa kukamikisha taratibu zote hutakuja kuanzisha Kitu , hata kujenga Nyumba tunaambiwa mpaka upitie ofisi za mipango miji mkoa na wilaya ila watu tunajenga Kama kawaida.

Cha msingi tafuta wenye hayo maduka wakupe siasa za huko then Zama mazima utaji-adjust humo humo ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hio ndio pont ya msingi.Safi sana.
 
Hela hii bro kufungua pharmacy ni mtihan bora duka la dawa....pharmacy ina mashart na vigezo vikubwa zaidi mfano..lazima uwe na cheti cha mpharmacia ambae ana degree na mshahara wake si chini ya 1m...

Huu unapangwa na baraza la pharmacia hapo ukiongeza kodi ya nyumba....leseni na tra bado hujaajir wafanyakaz kama mpharmacia mwenye diploma hawa salary inafika 600k+ na nurse mana hawa wa degree anaweka cheti tu dukan ila humkuti kukaa dukan kwako hata
Hapo 17m inakata na hujaweka mzigo wowote...

Nakushauri fungua Dldm tu hii inahitaj nurse mwenye cheti cha ADO tu hata ukiwa na laki 5 unaanza na mzigo fresh nishafanya kaz na watu walioanza DLDM na mitaji ya 300k had 700k

Pia kodi ya 500k kwa biashara unayoanza changa ni kisanga mkuu.....jaribu kuchakata upya swala hili

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko very honest and positive sana thank you very much again
 
Huyo mphamasia anatakiwa alipwe mwisho wa mwezi. Tuseme 1m
Efd mashine laki4
Cheti cha dispensary???

Ngoja nione itakuaje huko mbele
Nashukuru

Sent using Jamii Forums mobile app
Haiko hivyo ushauri anza hiyo biashara story za kumpa mphamasia 1.5m sijui laki 8 ni ngonjera unampa hata laki 2 kulingana na mauzopia mnaweza mkaingia mkataba ama partnership unamlipa % fulani ya faida

Phamacy zipo za jumla na rejareja so kwa visenti vyako utakuwa na pharmacy ya rejareja natumaini unatambua tofauti ya DLDM na pharmacy.

Unaweza kuanza na DLDM baadae uka upgrade kuwa pharmacy muhimu uwe forecast. Industry ya Dawa ni ngumu kama zilivyo biashara zingine na usipokuwa makini hii ni ngumu sana ina mambo mengi na ujanja kama biashara zingine.

Uzoefu ni 30% ya mtaji mtu ambaye tayari anamiliki Duka la Dawa muhimu kwa pesa yako anaweza kufanya kazi ya 24m hizo display cases nunua materials fundi akutengenezee. Anza na displays 4
Kubwa moja upana 6ft na urefu 6ft kila ngazi iwe na 33cm ni nzuri zaidi

Counter display 6ft by 3ft but ngazi ziwe pana 33cm
Na mbili ndogo za ukutani 3ft by 3ft .
Kununua Dawa nako ni Shida nyingine tegemea na distributors muhimu kuwa na taarifa sahihi na uwe na muda wa usimamizi by the way kupata pesa za kurun vizuri daily sales inabid iwe kuanzia 100k na ukianza vibaya miezi 6 ya mwanzo tayari unakuwa ushafilisika.

Pharmacy rejareja na DLDM huitaji EFD mashine unalipia tu mapato
Leseni ni 200k kwa 100k vingine utajifunzia mbele kwa mbele wauzaji malipo ni 150-200k including meals and transport wazoefu ni wazuri na ni wezi wabobezi wanacheza na logbook na sales book too.

Kugundua tofauti ni kazi kupata muuzaji mwaminifu na mchangamfu anaependa anachokifanya pia ni mtaji hasa kwa wanaoanza. Kwa sasa usipende kuzijua changamoto sana ukijua ya ndani zaidi hutofanya biashara yeyote
 
Hela hii bro kufungua pharmacy ni mtihan bora duka la dawa....pharmacy ina mashart na vigezo vikubwa zaidi mfano..lazima uwe na cheti cha mpharmacia ambae ana degree na mshahara wake si chini ya 1m...

Huu unapangwa na baraza la pharmacia hapo ukiongeza kodi ya nyumba....leseni na tra bado hujaajir wafanyakaz kama mpharmacia mwenye diploma hawa salary inafika 600k+ na nurse mana hawa wa degree anaweka cheti tu dukan ila humkuti kukaa dukan kwako hata
Hapo 17m inakata na hujaweka mzigo wowote...

Nakushauri fungua Dldm tu hii inahitaj nurse mwenye cheti cha ADO tu hata ukiwa na laki 5 unaanza na mzigo fresh nishafanya kaz na watu walioanza DLDM na mitaji ya 300k had 700k

Pia kodi ya 500k kwa biashara unayoanza changa ni kisanga mkuu.....jaribu kuchakata upya swala hili

Sent using Jamii Forums mobile app

Umeshauri vizuri na kiuzoefu
 
Haiko hivyo ushauri anza hiyo biashara story za kumpa mphamasia 1.5m sijui laki 8 ni ngonjera unampa hata laki 2 kulingana na mauzopia mnaweza mkaingia mkataba ama partnership unamlipa % fulani ya faida

Phamacy zipo za jumla na rejareja so kwa visenti vyako utakuwa na pharmacy ya rejareja natumaini unatambua tofauti ya DLDM na pharmacy.

Unaweza kuanza na DLDM baadae uka upgrade kuwa pharmacy muhimu uwe forecast. Industry ya Dawa ni ngumu kama zilivyo biashara zingine na usipokuwa makini hii ni ngumu sana ina mambo mengi na ujanja kama biashara zingine.

Uzoefu ni 30% ya mtaji mtu ambaye tayari anamiliki Duka la Dawa muhimu kwa pesa yako anaweza kufanya kazi ya 24m hizo display cases nunua materials fundi akutengenezee. Anza na displays 4
Kubwa moja upana 6ft na urefu 6ft kila ngazi iwe na 33cm ni nzuri zaidi

Counter display 6ft by 3ft but ngazi ziwe pana 33cm
Na mbili ndogo za ukutani 3ft by 3ft .
Kununua Dawa nako ni Shida nyingine tegemea na distributors muhimu kuwa na taarifa sahihi na uwe na muda wa usimamizi by the way kupata pesa za kurun vizuri daily sales inabid iwe kuanzia 100k na ukianza vibaya miezi 6 ya mwanzo tayari unakuwa ushafilisika.

Pharmacy rejareja na DLDM huitaji EFD mashine unalipia tu mapato
Leseni ni 200k kwa 100k vingine utajifunzia mbele kwa mbele wauzaji malipo ni 150-200k including meals and transport wazoefu ni wazuri na ni wezi wabobezi wanacheza na logbook na sales book too.

Kugundua tofauti ni kazi kupata muuzaji mwaminifu na mchangamfu anaependa anachokifanya pia ni mtaji hasa kwa wanaoanza. Kwa sasa usipende kuzijua changamoto sana ukijua ya ndani zaidi hutofanya biashara yeyote
Aiseeee naambiwaga phamarcy zinalipa sana kumbe nazo zinachangamoto zake za kutosha.
 
Habari zenu ndugu zangu. Mimi nimejipigapiga nimepata Tsh 20M. Nataka nifungue duka la Pharmacy. Vipi pesa itatosha au nimebugi. Ushauri wa kushiba tafadhali
 
Ni kubwa mno aisee ni mtaji mkubwa sana kwa ufunguaji wa pharmacy.
Kwa hiyo pesa anafungu pharmacy na kanoa keupe juu hiyo ni pesa toshelevu kabisa

Labda kama anataka ndio lwe more expensive pharmacy hapo mtaani kwake na mjinga yeyote asilete
fyokofyoko pia akifungua asinisahau
hata ka kazi kakufagia.
 
Habari zenu ndugu zangu. Mimi nimejipigapiga nimepata Tsh 20M. Nataka nifungue duka la Pharmacy. Vipi pesa itatosha au nimebugi. Ushauri wa kushiba tafadhali
Inaweza kutosha au isitoshe kufungua famasi pia itategemeana unapata wapi mfamasia kama utakuwa wamlipa jiandae si chini ya laki 7 kwa mwezi hapo bado wale assistance au tecnicians wengine, ili uwe na famasi wahitaji store iwe na AC na vigezo vinginevyo plus duka lenye AC na vigezo vingine ambavyo watu wa pharmacy council watakupa, usisahau ghalama kubwa iko kwenye kufata mzigo utahitaji pengine mzigo wa zaidi ya mill 10 bila shaka utahitaji usafir maalumu wa dawa zako toka kwa supplier kuja ofisin kwako dawa nyingi za pharmacy hazihitaji joto, vumbi wala maji hivyo utahitaji gari maalumu zinazohurusiwa hutobeba tu kwenye sijui canter yenye turubai.... All the best
 
Inaweza kutosha au isitoshe kufungua famasi pia itategemeana unapata wapi mfamasia kama utakuwa wamlipa jiandae si chini ya laki 7 kwa mwezi hapo bado wale assistance au tecnicians wengine, ili uwe na famasi wahitaji store iwe na AC na vigezo vinginevyo plus duka lenye AC na vigezo vingine ambavyo watu wa pharmacy council watakupa, usisahau ghalama kubwa iko kwenye kufata mzigo utahitaji pengine mzigo wa zaidi ya mill 10 bila shaka utahitaji usafir maalumu wa dawa zako toka kwa supplier kuja ofisin kwako dawa nyingi za pharmacy hazihitaji joto, vumbi wala maji hivyo utahitaji gari maalumu zinazohurusiwa hutobeba tu kwenye sijui canter yenye turubai.... All the best
Asante xana mkuu
 
Habari Wakuu

Baada ya kufanya research kidogo nimegundua maduka ya Pharmacy yameongezeka sana na yanazidi kufunguliwa, nahisi hii biashara ina faida nzuri japo sijapata mtu wa kunieleza kiundani sababu wanaoifanya wengi wanakuwa wasiri.

Je,
1. Ni kweli hii biashara inalipa?
2. Ni vigezo gani unatakiwa kutimiza ili uifanye?
3. Gharama zake zikoje ukiachana na kodi ya pango?
4. Kwa duka la Rejereja unatakiwa angalau uwe na mtaji wa kuanzia shilingi ngapi?, kwa jumla je?
5.Changamoto zake ni zipi?

Mwenye majibu angalau hata ya swali moja naomba anieleze.
Natakungliza Shukurani!
 
Back
Top Bottom