Duka la waarabu Alwasif lanunua kipande cha lami Kariakoo, parking system wamuuzia parking 3 ila hapaki hata gari

Duka la waarabu Alwasif lanunua kipande cha lami Kariakoo, parking system wamuuzia parking 3 ila hapaki hata gari

Bila amini kuwafukuza waganda leo huo Uganda ingekuwa imegawanyika kama Sudani .

Iddi hakuna jambo kubwa kama wananchi kushika 80% ya uchumi wa nchi yao wenyewe na ardhi yao .

Huu ujinga wa kusifia wanyonyaji ni wa kupuuzwa sana .

Hivi unawezaje kuwaleta waarabu kuja kulima mpunga Tanganyika ?
Unagawa ardhi kwa waarabu walime mkonge ni akili kweli au ni kuhujumu Taifa lako ?
Kuna mjordan amepewa elari elfu sita alime ufuta halafu akashindwa kuzuia ndege sasa amekimbilia kwenye mkonge maana ni rahisi kulima wakati huo huo wananchi waliomba hata Hekari tanotano walime mkonge wananyimwa sasa hapo unataka waende China wakauze midoli wakati mipango mibovu ya watawala inawakosesha hata fursa za nyumbani?
Akili kama za kwako ndo zimefanya waafrica kuwa wapumbavu na masikini.
Hizo hekari unazo lalamika kupewa huyo mjordani hazikuwepo siku zote ila zilidondoka kutoka mbinguni baada ya kuja huyo mjordani?
Na je kama zilikuwepo miaka yote ww kama mzawa ulisha enda kutaka kuwekeza hapo serikali ikakutalia alafu wakampa huyo mjordani?

Hata ukienda Marekani ,Ulaya ukataka ardhi kwa ajili ya uwekezaji wa kilimo watakupa lamsingi ni hela.

Alafu acheni hizo lugha zenu za kibaguzi mtu kuwa muarabu au muhindi hakumuondolei halali ya kuwa mTz a ww huo weusi wako haukupi uhalali wa kuwa mTz kila raia wa Tz ana haki sawa bila kujali dini asili wala kabila.
 
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
yaani unaongea as if na yeye si mtanzania

nyie kawasinda biashara ondoeni njaa zenu hapo ni mali yake

kipato katafutie uliponunua sio sehem za watu

matanzania kama matoto,mategemezi majitu ya kulia lia sana,yanataka vitu vya bure tu

kanunueni kwenu mfanye mnavyotaka

hapo anataka kuililia serikali iende imnyang'anye mtu mali zake kanunua kwa pesa yake kuleta uzulumati

poor people are such evil people.....i wish mfe wote washenzi nyie

mnataka kutumia serikali kuleta uzulumu wa mtu na mali zake,kanunua kwa jasho lake,atumie asitumie ni zake

tujifunze kuheshimu private property ni haki ya binadamu na sio nyie ambao hamna mje na maserikali yenu na wanasiasa vichaa kudhulumu mtu

Heshimu private property doctrine!

Takataka nyie masikini
 
Sio waoga mkuu .
Fursa zinatafutwa na serikali kwa niaba ya wananchi wake.

Tuna viongozi wachuuzi wa rasilimali za nchi sio kuwainua wananchi .

China wanakuja mpaka wafungwa kufanya kazi bongo na wa anafadhili wa na nchi zao.

Jiulize nani alifungua geti kwa wachina kuja kuchoma mpaka mahindi.

Watoto wa wakubwa badala ya kusafirisha tangawizi kwenda Dubai wanaosafirisha unga wa kubwia.

Badala ya Waziri wa kilimo kwenda Vietinam na wakulima kutoka mbalizi kujifunza kilimo cha kisasa katika mazingira ya wakulima wa chini anasafiri na wachekeshaji wakajifunza na wasanii wa kupamba.
Mkuu wa nchi anaonoka na umati wa wasanii waandishi wa habari na machawa kwenda Thailand badala ya kuondoka na wamachinga hamsini wakapate connection na uzoefu wa safari za nje na ujasiri.
Mpaka leo kuna watu hawana hata kitambulisho cha Taifa achilia mbali Passport .

Mikopo yenye riba nafuu inatolewa kwa machawa wa 5 tena, badala ya wafanyabiashara wadogo.
Take masoko ya Mipakani yako wapi?
Angalia jinsi wafanyabiashara wa kibongo wanavyosumbiliwa mipakani tena zaidi wanasumbuliwa na watanzania wenzetu wa uhamiaji?

Kama Dubai wananunua Wanyama hai kwa nini watanzania wasipewe vibali vya kubeba swala na kwenda kuuza wenyewe kwa bei ya kule au ni Waarabu wanaopewa mbuga nzima wahamishie wanyama uarabuni kisha waje waturithishe misikiti ambayo tungeku na fedha tungejenga wenyewe.

Wanafunzi wa vyuo vikuu vya kilimo wanwezeshwaje kutumia elimu yao ? Ardhi yote wanapewa wageni kwa rushwa ili walime wao na kusafirisha wao sawa mtanzania ataenda wapi na atapeleka nini huko ugenini ?
Hao watanzania wenye mitaji ya kwenda China na Thailand mbona wengi ni wale wale wake na waume na mahawara wao tu. Watanzania Watangayika walipotaka kuifanya kariakoo kuwa Soko kubwa la bidhaa kwa nchi za Kongo na Ukanda wote wa maziwa makuu walikuja madalali wakauza mpaka bandari ziwe mali ya Waarabu ili wapate pesa wakajenge Kwao Dubai wabongo wabaki kupiga kura za marehemu mana waliopo hai hawahitajiki kwenye hii nchi.

Kama wetu wanahujumiwa kwenye kuchagua viongozi wao itakuaje kwenye mali zinazosimamiwa na hao hao wanaonunua uongozi ?

Bila kuondoa hili janga linaloitwa CCM watanzania watabagi kama walivyo na nchi na uchumi wake utatawaliwa na Wachina ,wahindi na waarabu huku wakisingiziwa kuwa ni wavivu na waoga kumbe kuna kundi dogo limeamua kuigeuza nchi kuwa ya wasanii ,waandishi wa habari wa online TVs na wachekeshaji ili baadae nchi iwe kama Kongo na muziki na ushirikina huku rasilimali zikiwa zinachotwa kwenda Ulaya na Uarabuni.
Mitano tena lakini hatujui ni ya nini kama sio ya kumaiza kuwakabidhi na hati ya Muungano wawekezaji😂😂😂😂😂😂😂😂
Mkuu tunapaswa kupambana kwa kadri ya uwezo wetu, tukilaumu watu tutaishia kulaumu milele.
 
yaani unaongea as if na yeye si mtanzania

nyie kawasinda biashara ondoeni njaa zenu hapo ni mali yake

kipato katafutie uliponunua sio sehem za watu

matanzania kama matoto,mategemezi majitu ya kulia lia sana,yanataka vitu vya bure tu

kanunueni kwenu mfanye mnavyotaka

hapo anataka kuililia serikali iende imnyang'anye mtu mali zake kanunua kwa pesa yake kuleta uzulumati

poor people are such evil people.....i wish mfe wote washenzi nyie

mnataka kutumia serikali kuleta uzulumu wa mtu na mali zake,kanunua kwa jasho lake,atumie asitumie ni zake

tujifunze kuheshimu private property ni haki ya binadamu na sio nyie ambao hamna mje na maserikali yenu na wanasiasa vichaa kudhulumu mtu

Heshimu private property doctrine!

Takataka nyie masikini
Mjomba mbona umepanic?
Umeelewa nilicholalamikia lakini?
Kwanza sio mtanzania, pili kanunua parking za maduka mengine, tatu hazitumii hizo parking kwa kuweka magari, inne unaweza kufika pale ndanda/ narungombe kama upo dar es salaam ujionee mwenyewe, tano mimi sijatukana mtu kwanini wewe unitukane? Sita waarabu wote warudi kwao, hii inchi ni ya wabantu
 
Mjomba mbona umepanic?
Umeelewa nilicholalamikia lakini?
Kwanza sio mtanzania, pili kanunua parking za maduka mengine, tatu hazitumii hizo parking kwa kuweka magari, inne unaweza kufika pale ndanda/ narungombe kama upo dar es salaam ujionee mwenyewe, tano mimi sijatukana mtu kwanini wewe unitukane? Sita waarabu wote warudi kwao, hii inchi ni ya wabantu
Hajakutukana popote bali ni kweli kuwa ww huna akili.
Hizo lawama unazo mpa huyo jamaa ungeipa serikali yako iliyo muuzia hizo packing ,yeye hajanunua hapo kuwakomoa bali amepanunua kwa masilahi yake ya kibiashara na wala si dhani kama ni wajibu wake kuwafurahisha nyinyi.

Nioneshe kifungu cha katiba kinacho sema kigezo cha kuwa Mtz ni kuwa mbantu au mweusi?
Ya kwamba hii ardhi umeiumba ww mpaka uje ujimilikishe sehemu useme ni ya watu fulani na watu wengine haiwahusu?
Vip na ww kwanini isiondoke hapo Dar urudi nyumbani kwenu maana Dar ni mkoa wa wazaramo?
Nimesha kuhelimisha ya kuwa mtu kuwa mwarabu ,mzungu,muhindi ,mchina hakumuondolei uhalali wa yeye kuwa raia halali wa Tz na ww weusi wako hakupi uhalali wa ww kuwa raia wa Tz.
Unaweza kukuta huyo muarabu ni mtanzania halali na ww pamoja na weusi wako ukawa mrundi au mkongo unaye ishi ndani ya Tz kijanja janja.
 
Akili kama za kwako ndo zimefanya waafrica kuwa wapumbavu na masikini.
Hizo hekari unazo lalamika kupewa huyo mjordani hazikuwepo siku zote ila zilidondoka kutoka mbinguni baada ya kuja huyo mjordani?
Na je kama zilikuwepo miaka yote ww kama mzawa ulisha enda kutaka kuwekeza hapo serikali ikakutalia alafu wakampa huyo mjordani?

Hata ukienda Marekani ,Ulaya ukataka ardhi kwa ajili ya uwekezaji wa kilimo watakupa lamsingi ni hela.

Alafu acheni hizo lugha zenu za kibaguzi mtu kuwa muarabu au muhindi hakumuondolei halali ya kuwa mTz a ww huo weusi wako haukupi uhalali wa kuwa mTz kila raia wa Tz ana haki sawa bila kujali dini asili wala kabila.
Nenda kazalie kwao uone kama mtoto wako atatambuliwa kama mzawa na kupewa haki sawa na hao waarabu wenyeji,.....bado ataitwa MGENI na Mtumwa tu na hiyo ngozi yenu yenye rangi ya laana,.....Hao watabaki kuwa wageni tu, na kwa kulijua hilo , angalia wao wenyewe wanavyo JITENGA na NYINYI , ilihari wapo kwenye ardhi yenu lakini hawawaoni kwa usawa huo mnaouina nyinyi...musidanganyike na kujipendekeza pendekeza kwa hao WAGENI,...
 
Hajakutukana popote bali ni kweli kuwa ww huna akili.
Hizo lawama unazo mpa huyo jamaa ungeipa serikali yako iliyo muuzia hizo packing ,yeye hajanunua hapo kuwakomoa bali amepanunua kwa masilahi yake ya kibiashara na wala si dhani kama ni wajibu wake kuwafurahisha nyinyi.

Nioneshe kifungu cha katiba kinacho sema kigezo cha kuwa Mtz ni kuwa mbantu au mweusi?
Ya kwamba hii ardhi umeiumba ww mpaka uje ujimilikishe sehemu useme ni ya watu fulani na watu wengine haiwahusu?
Vip na ww kwanini isiondoke hapo Dar urudi nyumbani kwenu maana Dar ni mkoa wa wazaramo?
Nimesha kuhelimisha ya kuwa mtu kuwa mwarabu ,mzungu,muhindi ,mchina hakumuondolei uhalali wa yeye kuwa raia halali wa Tz na ww weusi wako hakupi uhalali wa ww kuwa raia wa Tz.
Unaweza kukuta huyo muarabu ni mtanzania halali na ww pamoja na weusi wako ukawa mrundi au mkongo unaye ishi ndani ya Tz kijanja janja.
Nina akili za kutosha ALHAMDULILLAH, na ndio maana najua haki zangu,

Mwarabu amenunua parking za maduka mengine, je inaruhusiwa? Yaani yeye duka lake ni moja, halafu anunue na maeneo ya mbele ya maduka mengine mawili yaani kwa jirani zake je ni haki? Kuwanyima jirani kufanya harakati tema kwenye maeneo yao?

Mwisho wa yote si mtanzania anaishi kijanja janja tu

Kweli wapo weusi wengi warundi, congo, rwanda, uganda na hata wakenya wanaishi kijanja janja
Ila hawa waarabu wananyanayasa wanainchi

Hakuna mwarabu mtanzania
 
Wanaotetea wote wameshindwa kujibu swali hili,

Je naweza kununua parking mbele ya duka la mtu na nifungue biashara?
Au nilipie parking lakini nisiweke gari?
Au nilipie na ibaki tu wazi mimi nisiitumie na wengine wasiitumie japo wanaihitaji?

Huu ujinga uliwepo kwa makaburu tu
 
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
Kama ameIlipia kihalali sio kesi.
Tutafute pesa tuachenmalalamiko.

Hata USA wasanii wanashindanabkununua tiketi za wasanii wenzao karibu zote ili mwenye tamasha la muziki akose wahudhuriaji....

Pesa
Pesa
Pesa
Hila
Hila
Biashara
Biashara
Tulia baba
 
Kama ameIlipia kihalali sio kesi.
Tutafute pesa tuachenmalalamiko.

Hata USA wasanii wanashindanabkununua tiketi za wasanii wenzao karibu zote ili mwenye tamasha la muziki akose wahudhuriaji....

Pesa
Pesa
Pesa
Hila
Hila
Biashara
Biashara
Tulia baba
Hembu eleweni nacholalamikia jamani , acheni kukurupuka
Hivi mtu alipie parking mbele ya duka au geti lako ushindwe kufanya harakati ndio sahihi kwa kuwa tu katoa hela?
Huyu ni mhujumu uchumi tu
 
Back
Top Bottom