Mwenza wangu nilimpa mtaji afungue biashara kwa kuwa anapenda sana urembo akaona afungue biashara ya duka la urembo, cosmetic na mavazi.
Lakini anapitia changamoto ya kukosa wateja inaweza ipite siku mteja asiingie kabisa dukani. Siku akiuza basi ni bidhaa chache tu. Duka lipo Mikocheni lina miezi miwili. Anauza nguo, viatu vya kike, perfume, jewellery na vitu vya namna hiyo.
Mwenye uzoefu na hii biashara anisaidie mawazo maana naona wife anapata stress mno kuwa business itakufa. Tumejaribu kuwa anatangaza online ila page haijachangamka ata tukiboost wateja hatuwaoni.
Mawazo yenu wadau.
Lakini anapitia changamoto ya kukosa wateja inaweza ipite siku mteja asiingie kabisa dukani. Siku akiuza basi ni bidhaa chache tu. Duka lipo Mikocheni lina miezi miwili. Anauza nguo, viatu vya kike, perfume, jewellery na vitu vya namna hiyo.
Mwenye uzoefu na hii biashara anisaidie mawazo maana naona wife anapata stress mno kuwa business itakufa. Tumejaribu kuwa anatangaza online ila page haijachangamka ata tukiboost wateja hatuwaoni.
Mawazo yenu wadau.