MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Basi badili biashara haraka au hama mikocheni hutoboi dingi zaidi utaishia kumlipa mwenye frameAsante mkuu ila nikimwamishia Mbeya roho yangu itakuwaje mzee mwenzangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Tabu iko hapo,hao wana taka waende palm village mall huko,mlimani,shopping plaza wauze suraWengine watakupanga panga na maneno mazur mazur na hayatakusaidia...kwanza huwez kuwa mfanyabiashara mkubwa wa vipodozi cjui na nn afu location ikawa mikocheni...ww unakuwa ni mjasiriliamali na sio mfanyabiashara...eneo hilo utatafuta hela ya kula tuu...
Yani influencers wa Insta kweli ni wa bidhaa za kawaida za Uswahilini. Bimkubwa bidhaa na service yake ni ya watu wa kati na juu, akipost Insta hata likes hawampi ila wanampigia simu kumpa kazi. Ukitazama post zake unakata tamaa ila wateja anao tu, ukilipa wa kuchamba influx ya wateja huoni ila ukilipia Insta kwenyewe unaona tofauti.Inaweza kuwa ni kweli kuwa wengi wana followers ambao sio potential buyers ambao ila wana afford kununua vijora vya 6000 na 10000.
So kwa kutegemea na bidhaa, inabidi umtumie mtu ambaye unahisi followers wake wanaweza afford hiyo bidhaa
Mkiu mimi uwa na run ads fb na insta za aluminum na upvc workshop, asilimia 90% ya wateja wanatoka huko japo unaweza kukuta post haina hata commentYani influencers wa Insta kweli ni wa bidhaa za kawaida za Uswahilini. Bimkubwa bidhaa na service yake ni ya watu wa kati na juu, akipost Insta hata likes hawampi ila wanampigia simu kumpa kazi. Ukitazama post zake unakata tamaa ila wateja anao tu, ukilipa wa kuchamba influx ya wateja huoni ila ukilipia Insta kwenyewe unaona tofauti.
Sasa ku
Kukosa wateja inategemeana na biashara yako iko eneo lipi. Je ni eneo la watu wengi au lah. Pia kwa miezi miwili ni michache Sana na biashara sio kila siku utauza hilo sio duka la nahitaji ya nyumbani kwamba leo mtu Hana unga atakuja chumvi atakuja hivyo ni kuvumilia tu. Mimi nimekaa na business mwaka mzima biashara ni mbaya ila kumbe nilikosea location ya kufunguwa hiyo business mwaka huu nimebadili location si haba naiona faida so miezi miwili ni michache Sana.Mwenza wangu nilimpa mtaji afungue biashara kwa kuwa anapenda sana urembo akaona afungue biashara ya duka la urembo, cosmetic na mavazi.
Lakini anapitia changamoto ya kukosa wateja inaweza ipite siku mteja asiingie kabisa dukani. Siku akiuza basi ni bidhaa chache tu. Duka lipo Mikocheni lina miezi miwili. Anauza nguo, viatu vya kike, perfume, jewellery na vitu vya namna hiyo.
Mwenye uzoefu na hii biashara anisaidie mawazo maana naona wife anapata stress mno kuwa business itakufa. Tumejaribu kuwa anatangaza online ila page haijachangamka ata tukiboost wateja hatuwaoni..
Mawazo yenu wadau
SangomaMwenza wangu nilimpa mtaji afungue biashara kwa kuwa anapenda sana urembo akaona afungue biashara ya duka la urembo, cosmetic na mavazi.
Lakini anapitia changamoto ya kukosa wateja inaweza ipite siku mteja asiingie kabisa dukani. Siku akiuza basi ni bidhaa chache tu. Duka lipo Mikocheni lina miezi miwili. Anauza nguo, viatu vya kike, perfume, jewellery na vitu vya namna hiyo.
Mwenye uzoefu na hii biashara anisaidie mawazo maana naona wife anapata stress mno kuwa business itakufa. Tumejaribu kuwa anatangaza online ila page haijachangamka ata tukiboost wateja hatuwaoni.
Mawazo yenu wadau.
Nina changamoto sana kwenye mdada wa kazi..Lugha ya biashara yaani customer care iwe ya kiwango cha juu.
Mteja afike shop uko bize na simu unategemea nini.
Wadada hawa walivyo na visirani, mara afungue duka saa saba mara asifungue kabisa nani ataenda hapo.
Bidhaa pia ziwe toleo jipya.
Biashara inabidi uvumilie, miezi mitatu tu ndo kaanza kulia lia.
Miezi miwili kwa biashara inayoanza chini ni muda mfupi sana kutegemea kuona mafanikio.Mwenza wangu nilimpa mtaji afungue biashara kwa kuwa anapenda sana urembo akaona afungue biashara ya duka la urembo, cosmetic na mavazi.
Lakini anapitia changamoto ya kukosa wateja inaweza ipite siku mteja asiingie kabisa dukani. Siku akiuza basi ni bidhaa chache tu. Duka lipo Mikocheni lina miezi miwili. Anauza nguo, viatu vya kike, perfume, jewellery na vitu vya namna hiyo.
Mwenye uzoefu na hii biashara anisaidie mawazo maana naona wife anapata stress mno kuwa business itakufa. Tumejaribu kuwa anatangaza online ila page haijachangamka ata tukiboost wateja hatuwaoni.
Mawazo yenu wadau.
Insta ad Ina Bei gani ??Mkiu mimi uwa na run ads fb na insta za aluminum na upvc workshop, asilimia 90% ya wateja wanatoka huko japo unaweza kukuta post haina hata comment
Ulipata eneo zuri la biashara na wateja walikupokea vizuri, kilichowakimbiza ndio umekificha.Nilifungua duka dogo la Ujenzi, wiki tatu za mwanzo mauzo yalikuwa 1m hadi 1.5 kwa siku nikashukuru Muumba, aisee baada ya miezi 4 duka likawa linauza elfu therathini hadi elfu kumi kwa siku. Vitu vimejaa ila watena wanalipita tu kama hawalioni.
Wengi watasema ni bei ya bidhaa zetu, ubora, Lugha kwa wateja, upangaji wa vitu dukani nk - vyote hivi vilizingatiwa kwa umakini mkubwa, kuna wakati tukashusha vitu vyote kwa 500 hadi 1000 compared na wenzetu ila kitu kikagoma.
Nikaamua kulifunga, nikasema mali za kuamika na wanadamu wanaziona zina changamoto zake.