Dullah Mbabe umetuonesha wewe ni kichwa cha familia

Dullah Mbabe umetuonesha wewe ni kichwa cha familia

M
Baada ya kupoteza pambano lake dhidi ya Mzambia Mbachi Kaonga, Bondia Dullah mbabe alifanya mahojiano mafupi na vyombo vya habari.
View attachment 3259327

Mwandishi: Ulilionaje Pambano?

Dullah: Lilikuwa gumu, siko sawa, siko fit nina 'hogo' (Akaonesha picha katika simu), nilikuwa kwenye matibabu kwa miezi sita. Tunapigana kwa sababu hatuna pesa, lazima tupambane riziki ipatikane lakini siko fit.

Nilijua ni mechi ya kawaida, ndio maana niliwaambia mapromota tutafute mechi ya kawaida lakini mechi imekuja kuwa ngumu.

Mwandishi: Ulimwonaje mpinzani wako?

Dullah: Sio bondia mzuri sana, sema mwenyewe nilikuwa unfit.

Mwandishi: Kwa nini ulikubali kucheza na unajua unaumwa Dullah?

*Dullah: Day after day lazima zipatikane riziki za watoto, wanatakiwa waende shule, wanatakiwa wasome pia tupate riziki za kula na familia.

Mwandishi: Kwa maana hiyo una-sacrifice kwa ajili ya familia?

Dullah: Yes, lazima..lazima tupambane!
__________________________________
MY TAKE: Sikuwa nikimsikiliza loser, bali nilikuwa namsikiliza baba, nilikuwa namsikiliza mwanaume, mpambanaji haswa.
Mwisho wa siku unasikia, "hakuna kama mama" shenzi kabisa!
 
Dunia tunapita kila kitu kitabakia binadamu ni michanga itabaki milele milima"

We kufa kisa watoto end the day unaenda pima dna watoto sio wako

Ni mwanaume mpumbavu tu atawazia watoto badala ya kuwazia pesa

KATAA ndoa ni utapeli funga kizazi hakuna kuzaa zaa hovyo huku hhuna hata kaduka kamoja

Utapigwa hadi uchakae kisa watoto

Kapuku pambania watoto matajiri tunapambania pesa👇👇👇👇
 

Attachments

  • FB_IMG_1740258015650.jpg
    FB_IMG_1740258015650.jpg
    56.4 KB · Views: 1
Thats what it takes to be a real men, unapambana kufa na kupona ilinfamilia uliyoianzisha isipate tabu hapa duniani
Ila wanaume wenzangu tusisahau kuipa pole mioyo yetu pindi nafasi ya kufanya hibyo inapopatikana, Maisha mafupi sana hapa duniani.
Lazma upasuke barabara
 
Katika "clans" au familia za wanyama zinatupa somo kubwa. Familia ya Simba "pride" ni Simba majike na watoto wao, baba (dume) atakuja kulinda familia akizingua/akiishiwa nguvu anabadilishwa..

Hivyo hivyo kwa clans za Tembo na Fisi! So baba upo kwa ajili ya kulinda familia, likely utakufa au utakuwa replaced!

Ndio maana baadhi za jamii za Tanzania zilikuwa matrillinial , kwa maana koo zilienda upande wa mama!
 
Mababa tunapitia mengi na huwa hatulalamiki hata hao tunaowapambania muda mwingine hawaoni.
Ndiyo maana ni rahisi kumsikia mtoto akisema nilikiwa namwona mama akituhangaikia, lakini si rahisi aseme nilikiwa namwona baba akihangaika
Wanaume tuna shida sana tu unapambana ulingoni unabondwa mangumi, unapata kipato kidogo unakwenda kumkabidhi mwanamke badala ya kuitumia kwenye mambo ya msingi anakwenda kuweka kope bandia na kununua mawigi ya Brazilian Hair na material mengine ya kudangia ili apendwe na wanaume wengine...
 
Baada ya kupoteza pambano lake dhidi ya Mzambia Mbachi Kaonga, Bondia Dullah mbabe alifanya mahojiano mafupi na vyombo vya habari.
View attachment 3259327

Mwandishi: Ulilionaje Pambano?

Dullah: Lilikuwa gumu, siko sawa, siko fit nina 'hogo' (Akaonesha picha katika simu), nilikuwa kwenye matibabu kwa miezi sita. Tunapigana kwa sababu hatuna pesa, lazima tupambane riziki ipatikane lakini siko fit.

Nilijua ni mechi ya kawaida, ndio maana niliwaambia mapromota tutafute mechi ya kawaida lakini mechi imekuja kuwa ngumu.

Mwandishi: Ulimwonaje mpinzani wako?

Dullah: Sio bondia mzuri sana, sema mwenyewe nilikuwa unfit.

Mwandishi: Kwa nini ulikubali kucheza na unajua unaumwa Dullah?

*Dullah: Day after day lazima zipatikane riziki za watoto, wanatakiwa waende shule, wanatakiwa wasome pia tupate riziki za kula na familia.

Mwandishi: Kwa maana hiyo una-sacrifice kwa ajili ya familia?

Dullah: Yes, lazima..lazima tupambane!
__________________________________
MY TAKE: Sikuwa nikimsikiliza loser, bali nilikuwa namsikiliza baba, nilikuwa namsikiliza mwanaume, mpambanaji haswa.
 
Stay Strong Blood 💪🏾
images - 2025-03-05T124905.597.jpeg
 
Baada ya kupoteza pambano lake dhidi ya Mzambia Mbachi Kaonga, Bondia Dullah mbabe alifanya mahojiano mafupi na vyombo vya habari.
View attachment 3259327

Mwandishi: Ulilionaje Pambano?

Dullah: Lilikuwa gumu, siko sawa, siko fit nina 'hogo' (Akaonesha picha katika simu), nilikuwa kwenye matibabu kwa miezi sita. Tunapigana kwa sababu hatuna pesa, lazima tupambane riziki ipatikane lakini siko fit.

Nilijua ni mechi ya kawaida, ndio maana niliwaambia mapromota tutafute mechi ya kawaida lakini mechi imekuja kuwa ngumu.

Mwandishi: Ulimwonaje mpinzani wako?

Dullah: Sio bondia mzuri sana, sema mwenyewe nilikuwa unfit.

Mwandishi: Kwa nini ulikubali kucheza na unajua unaumwa Dullah?

Dullah: Day after day lazima zipatikane riziki za watoto, wanatakiwa waende shule, wanatakiwa wasome pia tupate riziki za kula na familia.

Mwandishi: Kwa maana hiyo una-sacrifice kwa ajili ya familia?

Dullah: Yes, lazima..lazima tupambane!
__________________________________
MY TAKE: Sikuwa nikimsikiliza loser, bali nilikuwa namsikiliza baba, nilikuwa namsikiliza mwanaume, mpambanaji haswa.
MY TAKE: Sikuwa nikimsikiliza loser, bali nilikuwa namsikiliza baba, nilikuwa namsikiliza mwanaume, mpambanaji haswa.🥱
 
Baada ya kupoteza pambano lake dhidi ya Mzambia Mbachi Kaonga, Bondia Dullah mbabe alifanya mahojiano mafupi na vyombo vya habari.
View attachment 3259327

Mwandishi: Ulilionaje Pambano?

Dullah: Lilikuwa gumu, siko sawa, siko fit nina 'hogo' (Akaonesha picha katika simu), nilikuwa kwenye matibabu kwa miezi sita. Tunapigana kwa sababu hatuna pesa, lazima tupambane riziki ipatikane lakini siko fit.

Nilijua ni mechi ya kawaida, ndio maana niliwaambia mapromota tutafute mechi ya kawaida lakini mechi imekuja kuwa ngumu.

Mwandishi: Ulimwonaje mpinzani wako?

Dullah: Sio bondia mzuri sana, sema mwenyewe nilikuwa unfit.

Mwandishi: Kwa nini ulikubali kucheza na unajua unaumwa Dullah?

Dullah: Day after day lazima zipatikane riziki za watoto, wanatakiwa waende shule, wanatakiwa wasome pia tupate riziki za kula na familia.

Mwandishi: Kwa maana hiyo una-sacrifice kwa ajili ya familia?

Dullah: Yes, lazima..lazima tupambane!
__________________________________
MY TAKE: Sikuwa nikimsikiliza loser, bali nilikuwa namsikiliza baba, nilikuwa namsikiliza mwanaume, mpambanaji haswa.
Asithubutu kuongea hivyo tena. Ni makosa kupigana ukiwa mgonwa, wenye mamlaka wakisikia watamfungia
 
Back
Top Bottom