Dullah Mbabe umetuonesha wewe ni kichwa cha familia

Dullah Mbabe umetuonesha wewe ni kichwa cha familia

Kama Kuna Mtu Anamfahamu Huyo Dullah
Mwambieni Awahi Kitanda pale Milembe
Na mwambieni watoto wake Hawapendi
kwa maana huo mchezo kukatisha Career Yake ni swala la kugusa tu.
 
Kama Kuna Mtu Anamfahamu Huyo Dullah
Mwambieni Awahi Kitanda pale Milembe
Na mwambieni watoto wake Hawapendi
kwa maana huo mchezo kukatisha Career Yake ni swala la kugusa tu.
Kwamba wote waliocheza ndondi lazma iwatokee hii kitu!?
 
Kwamba wote waliocheza ndondi lazma iwatokee hii kitu!?
Aache Kupigana kinjaa njaa.
Ni bora Atafute Pikipiki Awe boda kuliko kupigana kinjaa maana huo mchezo risk ni Nje nje.
Kuna mtoto wa matumla alisitisha career yake kwa Majeraha ya kichwa
na sasa yupo yupo tu.
 
Baada ya kupoteza pambano lake dhidi ya Mzambia Mbachi Kaonga, Bondia Dullah mbabe alifanya mahojiano mafupi na vyombo vya habari.
View attachment 3259327

Mwandishi: Ulilionaje Pambano?

Dullah: Lilikuwa gumu, siko sawa, siko fit nina 'hogo' (Akaonesha picha katika simu), nilikuwa kwenye matibabu kwa miezi sita. Tunapigana kwa sababu hatuna pesa, lazima tupambane riziki ipatikane lakini siko fit.

Nilijua ni mechi ya kawaida, ndio maana niliwaambia mapromota tutafute mechi ya kawaida lakini mechi imekuja kuwa ngumu.

Mwandishi: Ulimwonaje mpinzani wako?

Dullah: Sio bondia mzuri sana, sema mwenyewe nilikuwa unfit.

Mwandishi: Kwa nini ulikubali kucheza na unajua unaumwa Dullah?

Dullah: Day after day lazima zipatikane riziki za watoto, wanatakiwa waende shule, wanatakiwa wasome pia tupate riziki za kula na familia.

Mwandishi: Kwa maana hiyo una-sacrifice kwa ajili ya familia?

Dullah: Yes, lazima..lazima tupambane!
__________________________________
MY TAKE: Sikuwa nikimsikiliza loser, bali nilikuwa namsikiliza baba, nilikuwa namsikiliza mwanaume, mpambanaji haswa.
Siku toto la kiume litakoka hadharani na kusema nani kama mama baba alikuwa busy na Malaya na pombe tu
 
Baada ya kupoteza pambano lake dhidi ya Mzambia Mbachi Kaonga, Bondia Dullah mbabe alifanya mahojiano mafupi na vyombo vya habari.
View attachment 3259327

Mwandishi: Ulilionaje Pambano?

Dullah: Lilikuwa gumu, siko sawa, siko fit nina 'hogo' (Akaonesha picha katika simu), nilikuwa kwenye matibabu kwa miezi sita. Tunapigana kwa sababu hatuna pesa, lazima tupambane riziki ipatikane lakini siko fit.

Nilijua ni mechi ya kawaida, ndio maana niliwaambia mapromota tutafute mechi ya kawaida lakini mechi imekuja kuwa ngumu.

Mwandishi: Ulimwonaje mpinzani wako?

Dullah: Sio bondia mzuri sana, sema mwenyewe nilikuwa unfit.

Mwandishi: Kwa nini ulikubali kucheza na unajua unaumwa Dullah?

Dullah: Day after day lazima zipatikane riziki za watoto, wanatakiwa waende shule, wanatakiwa wasome pia tupate riziki za kula na familia.

Mwandishi: Kwa maana hiyo una-sacrifice kwa ajili ya familia?

Dullah: Yes, lazima..lazima tupambane!
__________________________________
MY TAKE: Sikuwa nikimsikiliza loser, bali nilikuwa namsikiliza baba, nilikuwa namsikiliza mwanaume, mpambanaji haswa.
Ndo maana mawakinyo anavyosema msishindanie Toyota crown mnamuana mjuaji Kuna maisha baada ya boxing
 
Aache Kupigana kinjaa njaa.
Ni bora Atafute Pikipiki Awe boda kuliko kupigana kinjaa maana huo mchezo risk ni Nje nje.
Kuna mtoto wa matumla alisitisha career yake kwa Majeraha ya kichwa
na sasa yupo yupo tu.
Boxing na bodaboda ipi ni risk sana
 
Back
Top Bottom