Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
- Thread starter
- #61
Mwalimu wa tuisheni unakabia juu sana MkuuUlitaka apigwe kwaajili ya kimbhumbu..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu wa tuisheni unakabia juu sana MkuuUlitaka apigwe kwaajili ya kimbhumbu..?
Bondia ni risk.Boxing na bodaboda ipi ni risk sana
Pole uppercuts zinapeleka athari kwenye ubongoBondia ni risk.
Kama haumini Maneno Yangu chukua hii.
Tafuta Watu wawili mmoja mfundishe pikipiki kwa Miezi mitatu mwengine mfundishe boxing kwa miezi sita alafu waingize field subiri matokeo.
Huo si mchezo wa kuchezwa na mtu mwenye akili timamuAache Kupigana kinjaa njaa.
Ni bora Atafute Pikipiki Awe boda kuliko kupigana kinjaa maana huo mchezo risk ni Nje nje.
Kuna mtoto wa matumla alisitisha career yake kwa Majeraha ya kichwa
na sasa yupo yupo tu.
UMababa tunapitia mengi na huwa hatulalamiki hata hao tunaowapambania muda mwingine hawaoni.
Ndiyo maana ni rahisi kumsikia mtoto akisema nilikiwa namwona mama akituhangaikia, lakini si rahisi aseme nilikiwa namwona baba akihangaika
Ukweli ndo uko hivyo
Thats what it takes to be a real men, unapambana kufa na kupona ili familia uliyoianzisha isipate tabu hapa duniani
Ila wanaume wenzangu tusisahau kuipa pole mioyo yetu pindi nafasi ya kufanya hivyo inapopatikana, Maisha mafupi sana hapa duniani.