Mkanganyiko kukanganya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2022
- 1,204
- 5,053
Mwisho wa siku unasikia, "hakuna kama mama" shenzi kabisa!Baada ya kupoteza pambano lake dhidi ya Mzambia Mbachi Kaonga, Bondia Dullah mbabe alifanya mahojiano mafupi na vyombo vya habari.
View attachment 3259327
Mwandishi: Ulilionaje Pambano?
Dullah: Lilikuwa gumu, siko sawa, siko fit nina 'hogo' (Akaonesha picha katika simu), nilikuwa kwenye matibabu kwa miezi sita. Tunapigana kwa sababu hatuna pesa, lazima tupambane riziki ipatikane lakini siko fit.
Nilijua ni mechi ya kawaida, ndio maana niliwaambia mapromota tutafute mechi ya kawaida lakini mechi imekuja kuwa ngumu.
Mwandishi: Ulimwonaje mpinzani wako?
Dullah: Sio bondia mzuri sana, sema mwenyewe nilikuwa unfit.
Mwandishi: Kwa nini ulikubali kucheza na unajua unaumwa Dullah?
*Dullah: Day after day lazima zipatikane riziki za watoto, wanatakiwa waende shule, wanatakiwa wasome pia tupate riziki za kula na familia.
Mwandishi: Kwa maana hiyo una-sacrifice kwa ajili ya familia?
Dullah: Yes, lazima..lazima tupambane!
__________________________________
MY TAKE: Sikuwa nikimsikiliza loser, bali nilikuwa namsikiliza baba, nilikuwa namsikiliza mwanaume, mpambanaji haswa.
Hapo jamaa anafokasi kwa watoto.Hivyo ile kauli yenu ya ndoa ni utapeli karibia wote hamuitaki leo. Lol.
Mababa bora. Teh
Lazma upasuke barabaraThats what it takes to be a real men, unapambana kufa na kupona ilinfamilia uliyoianzisha isipate tabu hapa duniani
Ila wanaume wenzangu tusisahau kuipa pole mioyo yetu pindi nafasi ya kufanya hibyo inapopatikana, Maisha mafupi sana hapa duniani.
Wanaume tuna shida sana tu unapambana ulingoni unabondwa mangumi, unapata kipato kidogo unakwenda kumkabidhi mwanamke badala ya kuitumia kwenye mambo ya msingi anakwenda kuweka kope bandia na kununua mawigi ya Brazilian Hair na material mengine ya kudangia ili apendwe na wanaume wengine...Mababa tunapitia mengi na huwa hatulalamiki hata hao tunaowapambania muda mwingine hawaoni.
Ndiyo maana ni rahisi kumsikia mtoto akisema nilikiwa namwona mama akituhangaikia, lakini si rahisi aseme nilikiwa namwona baba akihangaika
Kuna picha iliwahi kuwekwa na mdau humu sijui hata naipataje,M
Mwisho wa siku unasikia, "hakuna kama mama" shenzi kabisa!
Baada ya kupoteza pambano lake dhidi ya Mzambia Mbachi Kaonga, Bondia Dullah mbabe alifanya mahojiano mafupi na vyombo vya habari.
View attachment 3259327
Mwandishi: Ulilionaje Pambano?
Dullah: Lilikuwa gumu, siko sawa, siko fit nina 'hogo' (Akaonesha picha katika simu), nilikuwa kwenye matibabu kwa miezi sita. Tunapigana kwa sababu hatuna pesa, lazima tupambane riziki ipatikane lakini siko fit.
Nilijua ni mechi ya kawaida, ndio maana niliwaambia mapromota tutafute mechi ya kawaida lakini mechi imekuja kuwa ngumu.
Mwandishi: Ulimwonaje mpinzani wako?
Dullah: Sio bondia mzuri sana, sema mwenyewe nilikuwa unfit.
Mwandishi: Kwa nini ulikubali kucheza na unajua unaumwa Dullah?
*Dullah: Day after day lazima zipatikane riziki za watoto, wanatakiwa waende shule, wanatakiwa wasome pia tupate riziki za kula na familia.
Mwandishi: Kwa maana hiyo una-sacrifice kwa ajili ya familia?
Dullah: Yes, lazima..lazima tupambane!
__________________________________
MY TAKE: Sikuwa nikimsikiliza loser, bali nilikuwa namsikiliza baba, nilikuwa namsikiliza mwanaume, mpambanaji haswa.
Kila mtu eneo lake, sema yeye eneo lake la kazi linampima hapo hapo, haya yetu sio hapo hapo ila wote tunapigwa
MY TAKE: Sikuwa nikimsikiliza loser, bali nilikuwa namsikiliza baba, nilikuwa namsikiliza mwanaume, mpambanaji haswa.π₯±Baada ya kupoteza pambano lake dhidi ya Mzambia Mbachi Kaonga, Bondia Dullah mbabe alifanya mahojiano mafupi na vyombo vya habari.
View attachment 3259327
Mwandishi: Ulilionaje Pambano?
Dullah: Lilikuwa gumu, siko sawa, siko fit nina 'hogo' (Akaonesha picha katika simu), nilikuwa kwenye matibabu kwa miezi sita. Tunapigana kwa sababu hatuna pesa, lazima tupambane riziki ipatikane lakini siko fit.
Nilijua ni mechi ya kawaida, ndio maana niliwaambia mapromota tutafute mechi ya kawaida lakini mechi imekuja kuwa ngumu.
Mwandishi: Ulimwonaje mpinzani wako?
Dullah: Sio bondia mzuri sana, sema mwenyewe nilikuwa unfit.
Mwandishi: Kwa nini ulikubali kucheza na unajua unaumwa Dullah?
Dullah: Day after day lazima zipatikane riziki za watoto, wanatakiwa waende shule, wanatakiwa wasome pia tupate riziki za kula na familia.
Mwandishi: Kwa maana hiyo una-sacrifice kwa ajili ya familia?
Dullah: Yes, lazima..lazima tupambane!
__________________________________
MY TAKE: Sikuwa nikimsikiliza loser, bali nilikuwa namsikiliza baba, nilikuwa namsikiliza mwanaume, mpambanaji haswa.
Asithubutu kuongea hivyo tena. Ni makosa kupigana ukiwa mgonwa, wenye mamlaka wakisikia watamfungiaBaada ya kupoteza pambano lake dhidi ya Mzambia Mbachi Kaonga, Bondia Dullah mbabe alifanya mahojiano mafupi na vyombo vya habari.
View attachment 3259327
Mwandishi: Ulilionaje Pambano?
Dullah: Lilikuwa gumu, siko sawa, siko fit nina 'hogo' (Akaonesha picha katika simu), nilikuwa kwenye matibabu kwa miezi sita. Tunapigana kwa sababu hatuna pesa, lazima tupambane riziki ipatikane lakini siko fit.
Nilijua ni mechi ya kawaida, ndio maana niliwaambia mapromota tutafute mechi ya kawaida lakini mechi imekuja kuwa ngumu.
Mwandishi: Ulimwonaje mpinzani wako?
Dullah: Sio bondia mzuri sana, sema mwenyewe nilikuwa unfit.
Mwandishi: Kwa nini ulikubali kucheza na unajua unaumwa Dullah?
Dullah: Day after day lazima zipatikane riziki za watoto, wanatakiwa waende shule, wanatakiwa wasome pia tupate riziki za kula na familia.
Mwandishi: Kwa maana hiyo una-sacrifice kwa ajili ya familia?
Dullah: Yes, lazima..lazima tupambane!
__________________________________
MY TAKE: Sikuwa nikimsikiliza loser, bali nilikuwa namsikiliza baba, nilikuwa namsikiliza mwanaume, mpambanaji haswa.