Kote huko sehemu nyingi baada ya mauaji ya kutisha , October war alikuwa anatoa msaada kwa Israel mpaka nchi za kiarabu wakakata oil supply .
Case nyingine ni Suez Crisis , Egypt alivamiwa na Israel,France na England kwa wakati mmoja civilians wengi waliuwawa ,wanajeshi ,miundombinu nk kisha US ndio akaja kumaliza mzozo na kuingilia Kati baada ya Egypt kupata hasara kubwa ya mali na uhai.
Mimi point si kusulihisha bali ni kuacha mpaka migogoro inafika violent stage wakati wana intelejensia na uwezo wa kuzuia kabla ya kufika huko.