Dunia hii vilaza ndo wanafanikiwa, wenye akili wanaishia kufa kwa stress

Dunia hii vilaza ndo wanafanikiwa, wenye akili wanaishia kufa kwa stress

Kosa namba moja ni kujiona una akili na kuwaita wengine vilaza bila kujua Mungu amepanga nini katika maisha yako

Kuna andiko kwenye biblia linasema
Mathayo 23
12 Na ye yote atakayejikweza, atadhiliwa; na ye yote atakayejidhili, atakwezwa.


Ukiishi maisha ya kujikweza siku zote utavunjika moyo mbele ya wale unaowadharau
Bongo sio mungu anae panga maisha bali ni usanii ndio kigezo kikuu cha maisha.
Yaani kama uliwekeza kwenye taaaluma na ukajiweka mbali na vyama vya siasa hupati nafasi nyeti labda kwa bahati mbaya.
USA trump hakuwahi kuwa hata diwani akapewa nchi, isi isingewezekana TZ
Msimuhusishe God kwenye mambo ambayo Mungu hapendi, rushwa, wizi nk.
Unapata cheo kwa rushwa hapo kuna mungu au shetani?
 
Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.

Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.

Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa Physics, Chemistry, Biology, Mathematics nk.

Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.

Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.

Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.

Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.
Daah kweli mimi nilikomaa Pcm nimekuwa Engineer ila nazidiwa na jamaa yangu aliesoma Hkl ndio boss wangu kwa sasa inaniumaga sana hii kitu.jaamaa shule alikuwa ananikubali kinoma leo kibao kimegeuka kapata teuzi yeye ndio namuheshimu sasa
 
Leta data acha kuwa mjinga. Nimekwambia uka google most high IQ graduate, kama utakuta kiswagili mi najiondoa JF. Una IQ ya 90 wewe tena huenda ukawa 80 kabisa. Unasoma kiswahili bila aibu, kama sio ukilaza ni nini?
Master of art in kiswahili
 
Bora rfk ako kapata four Nzuri jmaa angu yey alipata hyo ya four ya 33 kbsa d Moja tu Sasa Yuko jeshi mtwara Huko Ana kula maisha na Kuna wakt kaenda sudan
Bora hata huyo 4, mi Kuna jamaa zangu la Saba b, wameingia jeshini kipindi kile Cha jk madereva wa jesh wa chache, kozi walipiga miez mitatu, Sasa hivi Maisha Safi,ukienda kwao mijumba mikali migari mikubwa, sio wale, wanamshukuruje shamba la Bibi.
 
Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.

Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.

Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa Physics, Chemistry, Biology, Mathematics nk.

Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.

Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.

Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.

Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.
Akili za kukuwezesha kufanikiwa kimaisha, sio sawa na akili za kufaulu darasani bwana mdogo. Shule ni kitu kingine na maisha ni kitu kingine.

Mwisho wa yote, the end justify the means. If you know, you know.
 
Acheni mambo ya kudharau PCB au PCM wakati asilimia kubwa inaenda kutoa madokta engeneer nesi mm katika maisha yangu sijuitii kusoma PCB au PCM kinachonifurahisha wake zenu mnawaleta hospital kila siku tuna wazalisha kama mnaona siasa ndio kila kitu wazalisheni wenyewe maana huku tuna PV kila siku za kila namna tunazuona labour sio mchezo au pale kwenye Abortion mm napendaga sana evacuation zote sikosi hasa za pisi kali 😂😂😂😂
Kila mtu ana muhimu wake mkiona HGL mnapata hela sisi wa PCB tuna PV wake zenu hadi mkome kenge nyie
Duh!
 
Umeandika upumbavu tu

Kwani akili za mtu zinapimwa Kwa masomo aliyo soma ?

Yani kibongo bongo ukisoma masomo magumu ndio unaonekana una akili

Shame indeed
 
Kuna watu nawaita maprofesa japo ni darasa la saba. Darasa la saba anamiliki kampuni ya usafiri!! Ni professor wa maisha.
 
Kwa Tanzania combination ya masomo unayosoma hayaamui uwezo wako wa akili bali yanaonyesha ni vitu gani unaweza kuvikariri na kuvirejea siku ya mtihani. Kweli sayansi ina nafasi kubwa ya kuitoa jamii toka hali ya chini ya maisha na kuiboresha lakini ni kwa zile nchi zenye mfumo na mazingira bora ya kufundisha masomo hayo.
 
Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.

Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.

Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa Physics, Chemistry, Biology, Mathematics nk.

Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.

Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.

Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.

Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.
Hakuna tuzo za wanao tafuta kwa tabu, au kula kwa ugumu. Cha msingi Salio lisome. Sasa wewe endekeza PCM na PCB
 
Angalia hata watu bogus kama manara wanavyotanua mjini na totoz
 
Tena vilaza wamejificha kwenye dini, wanapiga pesa ndefu!! Amini usiamini! Uliyesoma unapuuzia yeye anazingatia!
 
Hayo mambo ya kuona wenzio waliosoma HKL ni vilaza ndo yamekufikisha hapo ulipo.

usidharau watu Kama unataka kupiga hatua yoyote ya Maisha na kuishi kwa Amani .
Kwa sababu ya dharau hata Watu warefu hupigwa kirahisi na watu wafupi.
 
Back
Top Bottom