Dunia hii vilaza ndo wanafanikiwa, wenye akili wanaishia kufa kwa stress

Dunia hii vilaza ndo wanafanikiwa, wenye akili wanaishia kufa kwa stress

Ndiyo ivo
Siyo kweli ulichoandika. Umeamua tu KUJIDHARAULISHA. Umechukua watu wachache waliosoma NGWINI na wakapiga hatua za kimaisha na ukawalinganisha na UNAOWAJUWA waliosoma SAYANSI lakini hawajatoka kimaisha.

Umelisahau kundi kubwa la waliosoma SAYANSI na wamefanikiwa. Umelisahau pia kundi la waliosoma NGWINI na hawajafanikiwa.

Vilevile nikujulishe tu kuwa kusoma SAYANSI siyo kigezo cha kuwa una akili kukiko aliyesoma NGWINI.

MWISHOWE nakushauri kijana SHIRIKISHA halmashauri ya kichwa chako vizuri ili uzione na fursa za kiuchumi na UJIHUSISHE nazo. Kinyume cha hapo utaanza KUWALAANI waalimu wako au wazazi wako
 
Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.

Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.

Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa physics, chemistry, biology, mathematics nk.

Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.

Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.

Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.

Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.
Mimi sijakuelewa hapo. Kilaza hapimwi kwa combination au sanaa na sayansi. Kilaza ni mtu ni mtu mwenyeuelewa mdogo na uwezo mdogo wa akili. Hivyo mtu kama amesoma sanaa au sayansi na amefaulu vizuri siyo kilaza. Kikubwa ni umesomea Nini na je una uwezo na taaluma yako na uwezo wa kufanya kazi unayopewa au kuanzisha
 
Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.

Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.

Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa physics, chemistry, biology, mathematics nk.

Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.

Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.

Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.

Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.
Ualimu siyo Professional, every body can teach!
Mpaka umeonesha ni kwa jinsi gani wewe Kilaza.
Hakuna masomo wanasoma na kufaulu wasio na akili,ni passion ya mtu kusomea taaluma fulani.Kama mimi nataka kuwa lawyer in future,kwanini nikasome PCB/PCM badala ya HGL/HKL!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Ualimu siyo Professional, every body can teach!
Mpaka umeonesha ni kwa jinsi gani wewe Kilaza.
Hakuna masomo wanasoma na kufaulu wasio na akili,ni passion ya mtu kusomea taaluma fulani.Kama mimi nataka kuwa lawyer in future,kwanini nikasome PCB/PCM badala ya HGL/HKL!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Sijasema proffesional nimesema proffesion. Kuna tofauti hapo na kwanza neno proffesional halistahili kukaa hapo mana ni adjective mi nimezumzia noun
 
Principle za kufanikiwa ni ngumu sana... wewe unajitapa umesoma PCM kutwa kikicha unashinda social media. Unaamka saa tatu asubuhi halafu at the same time una mipango mikubwa ya kuwa tajiri mkubwa.

Mwenzako HKL ashajiona yeye kilaza, hana ndoto kubwa, anaamka saa 11, anafanya vijikazi vidogo vidogo, na hana dharau kwa binadamu wenzake.

Hivi unadhani hapo, yupi atawahi kuinuliwa?

Na kwa taarifa yako, ukichunguza sana hawa viongozi unawadharau waliosoma HKL, ni watu walifika hapo kwa kupigana sana, sio bure bure..

Acha kudharau
 
Sasa kilaza anafanikiwaje na wewe mwenye akili unaishia kuwa maskini na mpumbavu? Huoni wewe ndio huna akili au unatumia akili Yako kwenye vitu visivyo na msingi?
Mi ni risky taker and very calculative na hii nchi haihitaji watu wa namna hii inahitaji wenye akili kidogo wenye uwezo wa kuloga tu.
 
Hayo mambo ya kuona wenzio waliosoma HKL ni vilaza ndo yamekufikisha hapo ulipo.

usidharau watu Kama unataka kupiga hatua yoyote ya Maisha na kuishi kwa Amani .
Huyo Kilaza hajui ata kujenga hoja,sasa mtu ana malengo ya kuwa lawyer,kuna ulazima gani wa kusoma masomo ya sayansi!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.

Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.

Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa physics, chemistry, biology, mathematics nk.

Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.

Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.

Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.

Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.
Nafasi nyingi za eteuzi hakika si za kitaaluma bali ni upendeleo kulingana na matakwa ya mteuzi. Na uliowatolea mfano majina ya family zao zinawabeba. Lakini pia uthubutu wao kwenye maswala ya kisiasa.

Pia kuna hili la wasomi wengi kudai wao si wanasiasa na hawataki siasa. Hapo lazima hawa wenye kuona fursa watazichangamkia hata kama ni wana arts. Na watakuongoza tu.

Lakini kubwa ni kuwa akili za darasani ni tofauti sana na akili za maisha ya kawaida tunayoishi. Ukiwa na akili nyingi za darasani na ukakosa uthubutu. Basi watakaothubutu hata kama ni vilaza watakupita na usomi wako.
 
Siyo kweli ulichoandika. Umeamua tu KUJIDHARAULISHA. Umechukua watu wachache waliosoma NGWINI na wakapiga hatua za kimaisha na ukawalinganisha na UNAOWAJUWA waliosoma SAYANSI lakini hawajatoka kimaisha.

Umelisahau kundi kubwa la waliosoma SAYANSI na wamefanikiwa. Umelisahau pia kundi la waliosoma NGWINI na hawajafanikiwa.

Vilevile nikujulishe tu kuwa kusoma SAYANSI siyo kigezo cha kuwa una akili kukiko aliyesoma NGWINI.

MWISHOWE nakushauri kijana SHIRIKISHA halmashauri ya kichwa chako vizuri ili uzione na fursa za kiuchumi na UJIHUSISHE nazo. Kinyume cha hapo utaanza KUWALAANI waalimu wako au wazazi wako
Sijaandika mie mkuu😳
 
Una akili gani sasa kama umeshindwa kuzitumia ukatengeneza pesa?. Mliosoma sayansi kwenye nchi za kiafrica wengi wenu mna akili za paper tu lakini mkiingia mtaani mnazidiwa akili mpaka na konda wa hiace.
Kama una akili tumia hizo akili ziweze kukuingizia pesa ndio tuone una akili.
Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.

Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.

Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa Physics, Chemistry, Biology, Mathematics nk.

Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.

Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.

Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.

Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni mambo ya kudharau PCB au PCM wakati asilimia kubwa inaenda kutoa madokta engeneer nesi mm katika maisha yangu sijuitii kusoma PCB au PCM kinachonifurahisha wake zenu mnawaleta hospital kila siku tuna wazalisha kama mnaona siasa ndio kila kitu wazalisheni wenyewe maana huku tuna PV kila siku za kila namna tunazuona labour sio mchezo au pale kwenye Abortion mm napendaga sana evacuation zote sikosi hasa za pisi kali 😂😂😂😂
Kila mtu ana muhimu wake mkiona HGL mnapata hela sisi wa PCB tuna PV wake zenu hadi mkome kenge nyie
 
Back
Top Bottom