Dunia iingilie kati, wameua tena Kamanda wa Hezbollah Lebanon

Dunia iingilie kati, wameua tena Kamanda wa Hezbollah Lebanon

Mitandaoni huko wanasema wamelipiza kwa kupiga idf northern command headquarter hao hizbullah wanaguts wao wakipiga individuals wao wanafumua structure ya jeshi na mifumo yake ili kikiwaka waanze kutafutana
Suluhisho ni amani dialogue hizi piga nikupige zinafanya idf izoelekee na kuonekana si chochote si lolote wao akina Netanyahu na usa wakaombe pooh kwa wairan wazungumze wasitishie usalama wa existence ya islamic govt ya wairan hapo ndio wataenjoy peace middle east la sivyo itakuwa kuwindana kila siku piga nikupige.
kwan nan amekuwa mvunjaj aman ? kwamba hujui walichofanya Hamas mwezi october 2023?
 
Intelijensia iloshindwa kugundua kama kuna watu zaidi ya 1000 wanakuja kuuliwa si bora ivunjwe

Maana siku watakuja kushangaa PM hawamuoni kumbe kaishafika ghaza anakula makonzi
huez huwa kila kitu , hakuna intelligence ya hivyo dunian
 
Bora wakubali kushindwa kudogo kuliko kungangania watapata aibu kubwa zaidi they lost it kujipanga upya si ujinga wakafanye dialogue ya peace na wapalestina hususani hao hamas na other actors kwa kuwa inachoonekana hamas na wenzao wamejitengenezea kasystem kakupambana na kanahusisha sehemu kubwa Yemen na kwingineko hii sio vita ya kupigana unapigana ktk eneo kubwa sana na watu wengi sana na wengine wanaminya kasehemu kadogo tu wanakupiga tu na huwafanyi kitu ikishakuwa hivyo kama wapo wenye akili watasimamisha hii vita na kurudi kwenye dialogue .
hv una akili timamu ? unajuwa Wapalestina wanapigania nin? tangu mwaka 1948 , usipende kufuata mkumbo , Wapalestina walishapewa ardhi kubwa sana kuliko ya wayaudi ila waliikataa , wao wanataka kufuta uzao wa wayaudi kama walivyofuta uzao wa waafrika weusi huko afrika kaskazin , hapo mtajadili nin ? pili Idf walishema hawakuwa tyr kuivamia Gaza ila Waarab wakajifanya hawaelew waliambiwa waachie mateka ila wakakataa ,subir kiwalambe sasa
 
Shida ni kwamba israhell aliiaminisha dunia kua yeye ni mkubwa hapigiki na ana maguvu

Sasa akikubali kucheza ngoma aloitaka hamas watu watajua udhaifu wake wawazi wazi pia

Na wanao muunga mkono kina us na shost zake pia wanaamini ama waliiaminisha dunia kua wakubwa wana final say ya mambo yote makubwa hapa duniani

Sasa wakiangalia ukraine mambo yameenda tirigivyogo na hapo ghaza mambo yanaenda tirigivyogo

Wanajua wakikubali kushindwa watakua wamefikisha rasmi ule ukubwa walokua wanaamini kua wanao wakati kiuhalisia hawakua nao

Maana wanapigwa ghaza wanaishia kuua wamama na watoto hamas wapo mwezi wanne leo tumeuingia na ukraine napo wamepeleka kila kitu ila wamefeli vibaya sanaaa

Hivi vita ziendeleazo nikwamba hamas wanapigania uwepo wao na haki zao ila israhell Americant na shoga zake wanapigania ushawishi wao wanajua wakikubali tu basi wamepoteza pakubwa sana sana sanaa

Ila kwa hali inavyoelekea watakubali tu hata kishingo upande
unaandika huu ujinga wkt mama wa kipalestina hajui atalala wap na atakula nin na maji na umeme hakuna , waislam ndo dini pekee inajali vita kuliko amani ya waumin wake
 
Dunia iwazuie hawa mayahudi. Wameua yena Kamanda Mwandamizi (Senior Commander) wa Hezbollah huko Lebanon.

Jamaa wanapiga kila sehemu hawa Waisrael nashindwa waelewa. Wanaenda piga kuua maadui hadi nchi nyingine? Dunia inaangalia tu. Ni nini hiki jamani? Hali ni mbaya kwa sasa jamaa wameamua kupiga kila anapoonekana adui. Nauliza ni suala la mateka tu au jingine? Mbona ni kama wana hasira sana? Russia na China ingilieni please. Iran unasubiri nini wewe Taifa kubwa?

Hawa Mayazuni wameyatimba sasa.... Nakuambia watakwisha. Makafir hawa wanatunyanya hivi? Hatutaacha kupambana nao kwenye mitandao mpaka nao waishe.

Ritz Malaria 2 ChoiceVariable tusikate tamaa ndugu zanguni. Nasi tulipize humu JF tusiwaache wenzetu ukiwa. Mpaka makafir waombe poooh.

====
A senior Hezbollah commander was killed in an Israeli drone strike on his car in southern Lebanon, a Lebanese security source told CNN on Monday, as fears of a wider regional conflict escalate.

The official, Wissam Tawil, is the most senior member of the Shiite militant group to be killed in an Israeli strike since Hezbollah and Israel began trading fire across the Lebanese-Israeli border on October 8, the day after Hamas carried out the deadliest terror attack in Israel’s history.

In a statement, Hezbollah also acknowledged the death of Tawil, who also went by the nom de guerre Hajj Jawad, in an Israeli attack. The paramilitary group shared pictures of him alongside other top Hezbollah officials and Qasem Soleimani, the former commander of the Iranian elite unit that handles the country’s overseas operations who was killed in a US airstrike fouryears ago, an apparent indication of Tawil’s stature.

Israel later claimed responsibility for Tawil’s death. “As for the hit in south Lebanon, we did take responsibility,” Israel’s foreign minister Israel Katz said in an interview with Israel’s Channel 14, “This is part of our war.”

“We are targeting Hezbollah’s people, the infrastructure, the systems they managed to put in place in order to deter Israel,” Katz said.

“We make them pay a price; we did not set a goal to thwart 150,000 missiles. We set a goal to restore security to the residents of the north, to restore security to the residents of the south and to the state of Israel,” the minister said.

CCN
Hezbollah walianza hii michezo ya kurusha rusha viroketi vya Israel wakaonywa na Israel hawasikii sasa majibu ya Israel yameanza kuonekana mdogo mdogo ila Hezbollah wasijitutumue kuendelea kupimana na Israel kumbuka Israel ni taifa la nuklia na ni taifa la technology na Benjamin Netanyahuu huwa hacheki na kima anaweza akapeleka misiba mizito huko Lebanon
 
Hamas charter haisemi hivyo! Wao ni kuwa peace itapatikana tu pale watakapowateketeza wote.
Hata Arafat alisema hivyo ila alikubali kusaini Oslo accord na akina Sharon wakatoka Gaza shida ni akina Netanyahu yeye haaminj two state solution na anaona military solution hamas wamefikia hivyo kwa kuwa hakuna political solution siku ikipatikana basi watakubali dialogue mfano mzuri ni zile majadiliano ya kisiasa kuhusu kusimamisha vita na kuachia mateka alikubali na kuachia mateka na kusimamisha cha ajabu kwa nini israel waliweza kukubali kujadiliana hilo ila majadiliano ya two state hawayataki siku zote hakuna amani ya kutishia kutokuwepo kwa mwenzako israel na palestine ni lazima zote ziwepo bila kunyanyasana ndio msingi mkuu wa amani na pia nchi kama iran zisitishiwe amani au vikwazo basi pale middle east patatulia la sivyo tutaenda hivi for next 75years tena generation hadi generation ni kuuana this cycle of maddness should stop.
 
hv una akili timamu ? unajuwa Wapalestina wanapigania nin? tangu mwaka 1948 , usipende kufuata mkumbo , Wapalestina walishapewa ardhi kubwa sana kuliko ya wayaudi ila waliikataa , wao wanataka kufuta uzao wa wayaudi kama walivyofuta uzao wa waafrika weusi huko afrika kaskazin , hapo mtajadili nin ? pili Idf walishema hawakuwa tyr kuivamia Gaza ila Waarab wakajifanya hawaelew waliambiwa waachie mateka ila wakakataa ,subir kiwalambe sasa
if you can open that you may learn that. No relation with israel by Saudi arabia and other arab countries only stop the war and to guarantee two state solution
Blinken left empty hand to israel
happy reading. No free ticket for israel like before
new york times. Major news paper in USA
 
hv una akili timamu ? unajuwa Wapalestina wanapigania nin? tangu mwaka 1948 , usipende kufuata mkumbo , Wapalestina walishapewa ardhi kubwa sana kuliko ya wayaudi ila waliikataa , wao wanataka kufuta uzao wa wayaudi kama walivyofuta uzao wa waafrika weusi huko afrika kaskazin , hapo mtajadili nin ? pili Idf walishema hawakuwa tyr kuivamia Gaza ila Waarab wakajifanya hawaelew waliambiwa waachie mateka ila wakakataa ,subir kiwalambe sasa
Wewe na wale zionist wahafidhina kama netanyahu mnafanana misimamo laiti watu kama akina general sharon wangekuwepo basi pengine kungekuwa na amani alishaona conflict hii haina military solution zaidi ni nyie wahafidhina sana sasa wahafidhina kama nyie mnapunguza hicho kiardhi kidogo mlichokitoa na pia mmepiga marufuku na kufutilia mbali oslo accord mrudi kwenye dialogue na sio kwenye expansion ya settlement ya settlers kila mwaka hapo ndio amani itapatikana ona sasa wenzenu wanetengeneza system ya kubalance mambo na kuifuta israel na kwa walivyo wakiamua wanaweza japo tunaona wanaongozwa na hekima zaidi their axis of resistance grow strong every day cha muhimu ni peacefull ,coexistence kwa watu wote na kuwe na mataifa 2 huru pale sio hii ya sasa .
 
Hezbollah hata akiuawa askari mdogo au mkubwa wanatangaza hila israel wanaficha hata idadi ya majeruhi na km israel wangekuwa wana tangaza idadi yao waliokufa km hezbollah mngewahurumia badala ya kuwasifia mfano oficer wa mossad alieuwawa bomu la kutega kwenye gari tel aviv mpk leo israel hata jina hawajamtaja na vyombo vya israel wamepgwa mkwara wasitaje lakini tunajua wengi tu washakufa na wataendelea kufa

Wewe umejuaje kama hawatangazi?!
 
Kambi gani ya Israel imekunjwa Hezbollah amerusha viroketi vyake hata havijamjeruhi askari mmoja zaidi imeharibu jengo
Lile jengo walilokua wanafugia kuku

Uzuri nikwamba hakuna siku kambi za mazayuni na marekani zinapigwa zikaua watu

Siku zote hua zinaharibu majengo tu kwahio acha tu Hizbullah waendelee kuyaharibu hayo hayo majengo sio mbaya wala nini

Kama yanaharibu majengo tu waregesheni wale wazayuni kule kaskazini walipo hama msiwarundike sehem moja kama nyanya
 
Kha! Eti wanakunja kambi nzima. Wangekuwa wanauwezo huo au walau walishawahi kufanikiwa kwenye hilo, hayo matangazo na mbwembwe lukuki nafasi isingetosha i.e. visingelienea hapa. Ila kambi za huku bongo ni kweli zinakunjwa sana na idadi haitolewi - c unajua tena.
Hesabu mtapiga wenyewe Hizbullah hana muda wakukesha mitandaoni nakufanya mapambio

Yeye hua anasema tu nimetwanga pale imeisha hio

Kama munabisha hawajatwanga nenda huko kwenye media
 
Back
Top Bottom