Dunia iingilie kati, wameua tena Kamanda wa Hezbollah Lebanon

Dunia iingilie kati, wameua tena Kamanda wa Hezbollah Lebanon

Hata Arafat alisema hivyo ila alikubali kusaini Oslo accord na akina Sharon wakatoka Gaza shida ni akina Netanyahu yeye haaminj two state solution na anaona military solution hamas wamefikia hivyo kwa kuwa hakuna political solution siku ikipatikana basi watakubali dialogue mfano mzuri ni zile majadiliano ya kisiasa kuhusu kusimamisha vita na kuachia mateka alikubali na kuachia mateka na kusimamisha cha ajabu kwa nini israel waliweza kukubali kujadiliana hilo ila majadiliano ya two state hawayataki siku zote hakuna amani ya kutishia kutokuwepo kwa mwenzako israel na palestine ni lazima zote ziwepo bila kunyanyasana ndio msingi mkuu wa amani na pia nchi kama iran zisitishiwe amani au vikwazo basi pale middle east patatulia la sivyo tutaenda hivi for next 75years tena generation hadi generation ni kuuana this cycle of maddness should stop.
Umeeleza vizuri. Ila ukumbuke chanzo cha vita inayopiganwa sasa ni Oct 7. Kabla, hali haikuwa vile. Hata hivyo, Israeli hahitaji kupakana na palestina inayoongo,zwa na Hamas. Two state solution inakuja chini ya FATAH na PLO, hilo ni wazi.
 
Kiongozi mwandamizi wa ISIS Leo ametoa neno juu ya vita ya Gaza na amewalaumu HAMAS na Iran Kwa kuingia kichwakichwa kwenye vita hii inayoendelea
20240109_152237.jpg
 
huez huwa kila kitu , hakuna intelligence ya hivyo dunian
Huwezi jua kila kitu kwenye majambo ya kawaida ama madogo

Ila kwa hili la hamas inatakiwa mossad shinbet na vigagura wengineo vivunjwe viundwe upya

Laa sivyo siku wataamka israhell haipo halaf mtakuja kusema tena haya haya

Over-rated israhell yakawaida sanaaaaaaaa
 
hv una akili timamu ? unajuwa Wapalestina wanapigania nin? tangu mwaka 1948 , usipende kufuata mkumbo , Wapalestina walishapewa ardhi kubwa sana kuliko ya wayaudi ila waliikataa , wao wanataka kufuta uzao wa wayaudi kama walivyofuta uzao wa waafrika weusi huko afrika kaskazin , hapo mtajadili nin ? pili Idf walishema hawakuwa tyr kuivamia Gaza ila Waarab wakajifanya hawaelew waliambiwa waachie mateka ila wakakataa ,subir kiwalambe sasa
nilisoma humu kuna member alieleza waarabu walimaindi kwa kuwa mwaka 1948 wao walipewa ardhi haina rutuba ndio kisa cha mgogoro. Imekaaje hapo?
 
Hesabu mtapiga wenyewe Hizbullah hana muda wakukesha mitandaoni nakufanya mapambio

Yeye hua anasema tu nimetwanga pale imeisha hio

Kama munabisha hawajatwanga nenda huko kwenye media
Media hizi-hizi au zipo nyingine genuine?
NB: Media zikishakuwa ni zenye kuchanganya na ushabiki humo humo zinakuwa zimepoteza ubora wake.
 
mkuu acha uswahili sio thread ya misosi hii
Hakuna uswahili ungemsoma jamaa yako alichoandika ungejua kwanini nimemuuliza hivyo

Aliandika akiwa na njaa bila yashaka yeyote naamini
 
wamekunja kambi ngap mpk sasa ?
Hata BBC hua hamosmi au kila kitu mpaka tutafune mzee nyie mmeze

Bbc pitia xhinhua pitia rfi nk maana nikikwambia upitie pars utaanza kulia lia hapa
 
hv una akili timamu ? unajuwa Wapalestina wanapigania nin? tangu mwaka 1948 , usipende kufuata mkumbo , Wapalestina walishapewa ardhi kubwa sana kuliko ya wayaudi ila waliikataa , wao wanataka kufuta uzao wa wayaudi kama walivyofuta uzao wa waafrika weusi huko afrika kaskazin , hapo mtajadili nin ? pili Idf walishema hawakuwa tyr kuivamia Gaza ila Waarab wakajifanya hawaelew waliambiwa waachie mateka ila wakakataa ,subir kiwalambe sasa
Walipewa ardhi kubwa na nani israhell anatakiwa aondoke kwenye ardhi ya watu aache ujinga ujinga
 
Dunia iwazuie hawa mayahudi. Wameua yena Kamanda Mwandamizi (Senior Commander) wa Hezbollah huko Lebanon.

Jamaa wanapiga kila sehemu hawa Waisrael nashindwa waelewa. Wanaenda piga kuua maadui hadi nchi nyingine? Dunia inaangalia tu. Ni nini hiki jamani? Hali ni mbaya kwa sasa jamaa wameamua kupiga kila anapoonekana adui. Nauliza ni suala la mateka tu au jingine? Mbona ni kama wana hasira sana? Russia na China ingilieni please. Iran unasubiri nini wewe Taifa kubwa?

Hawa Mayazuni wameyatimba sasa.... Nakuambia watakwisha. Makafir hawa wanatunyanya hivi? Hatutaacha kupambana nao kwenye mitandao mpaka nao waishe.

Ritz Malaria 2 ChoiceVariable tusikate tamaa ndugu zanguni. Nasi tulipize humu JF tusiwaache wenzetu ukiwa. Mpaka makafir waombe poooh.

====
A senior Hezbollah commander was killed in an Israeli drone strike on his car in southern Lebanon, a Lebanese security source told CNN on Monday, as fears of a wider regional conflict escalate.

The official, Wissam Tawil, is the most senior member of the Shiite militant group to be killed in an Israeli strike since Hezbollah and Israel began trading fire across the Lebanese-Israeli border on October 8, the day after Hamas carried out the deadliest terror attack in Israel’s history.

In a statement, Hezbollah also acknowledged the death of Tawil, who also went by the nom de guerre Hajj Jawad, in an Israeli attack. The paramilitary group shared pictures of him alongside other top Hezbollah officials and Qasem Soleimani, the former commander of the Iranian elite unit that handles the country’s overseas operations who was killed in a US airstrike fouryears ago, an apparent indication of Tawil’s stature.

Israel later claimed responsibility for Tawil’s death. “As for the hit in south Lebanon, we did take responsibility,” Israel’s foreign minister Israel Katz said in an interview with Israel’s Channel 14, “This is part of our war.”

“We are targeting Hezbollah’s people, the infrastructure, the systems they managed to put in place in order to deter Israel,” Katz said.

“We make them pay a price; we did not set a goal to thwart 150,000 missiles. We set a goal to restore security to the residents of the north, to restore security to the residents of the south and to the state of Israel,” the minister said.

CCN
Tangu niliposikia watanzania wametekwa wakauawa ushabiki wa hiyo vita sitaki kabisa kuusikia watajijua wenyewe na vita yao, mijitu ina roho mbaya kama nini sijui afe Hezbollah, Hamas au muisrail kivyao
 
unaandika huu ujinga wkt mama wa kipalestina hajui atalala wap na atakula nin na maji na umeme hakuna , waislam ndo dini pekee inajali vita kuliko amani ya waumin wake
Mkishashindwa hoja hua munaingia kwenye uislamu

Ila popote utakapokuja ntadeal nawewe hivyo hivyo mzee

Kule ukraine wamama wangapi hawajui kula yao wameikimbia nchi yao

Pigania haki yako vyovyote vile ikibidi kufanya hivyo

Bila uislamu kua imara hata wewe leo pengine usingekuwepo uislam ulikuja ukamkuta mwanamke anadhalilishwa ana dunishwa anaonekana sii lolote wengine watoto wakike wakizaliwa tu wanauliwa uislamu ukaja ukaondoa huu ujinga

Uislam ulipinfa ndoa ama michezo michafu ya kuoana watu wasiokua me na ke nk

Ukristo au mifumo isiokua uislam uliwaaminisha kua kuoa wake zaidi ya mmoja ni uvunjifu wa haki za kibinaadam ila leo wamewaletea LGBTQ+ kama ndio mfumo sahihi

Kijana ukifa ukiwa hujaslimu utakuja kunikumbuka

Mwisho uislam ndio amani na amani ndio uislamu na uislamu ndio mfumo sahihi zaidi wamaisha anayotakiwa kuyaishi mwanaadam
 
Media hizi-hizi au zipo nyingine genuine?
NB: Media zikishakuwa ni zenye kuchanganya na ushabiki humo humo zinakuwa zimepoteza ubora wake.
Media zipi ambazo kwako zipi genuine?
 
Tangu niliposikia watanzania wametekwa wakauawa ushabiki wa hiyo vita sitaki kabisa kuusikia watajijua wenyewe na vita yao, mijitu ina roho mbaya kama nini sijui afe Hezbollah, Hamas au muisrail kivyao
Ukiwa upande wa mzayuni wakati wa vita unatakiwa upigwe tu
 
Basi ghaza hakuna vita mzee hizi media tu zimeamua kutudanganya
Hapana mkuu; Vita ipo na inaendelea kwani wahusika wamesema hayo wao wenyewe i.e. From the Horse's mouth. Sasa hawa watoa taarifa (Media) ya ni nini kinaendelea kwenye uwanja wa vita ndo shida.
 
Back
Top Bottom