Dunia iingilie kati, wameua tena Kamanda wa Hezbollah Lebanon

Madela tena😂😂😂😂😂😂
 
Deni amelipa Hamas

 
We chizi unalialia nini sasa?muite na bikira wenu wa kariakoo faizafoxy.
Shughuli ndo kwanza iko robo,
Ziraili wamesema 50,000,mkiongeza wanaongeza nyie tulieni tu sa hii.
 
Uliwaona Hamas wakichanganyikana na raia? Tuonyeshe hata picha tu!
 
Bila uislamu kua imara hata wewe leo pengine usingekuwepo uislam ulikuja ukamkuta mwanamke anadhalilishwa ana dunishwa anaonekana sii lolote wengine watoto wakike wakizaliwa tu wanauliwa uislamu ukaja ukaondoa huu ujinga
Wafuasi wa pedophile Muhammad mna ujinga wa kiwango Cha juu Sana 😂🤣


Sasa watoto wa kike wakiuliwa watu walikuwa wanaongezeka vipi?
 
Bila uislamu kua imara hata wewe leo pengine usingekuwepo uislam ulikuja ukamkuta mwanamke anadhalilishwa ana dunishwa anaonekana sii lolote wengine watoto wakike wakizaliwa tu wanauliwa uislamu ukaja ukaondoa huu ujinga
Wafuasi wa pedophile Muhammad mna ujinga wa kiwango Cha juu Sana 😂🤣


Sasa watoto wa kike wakiuliwa watu walikuwa wanaongezeka vipi?
 
Mwingine huyu hapa kawahishwa akhera

Hezbollah announces another high ranking senior death in its ranks Al-Qadri. Total: 159
 
Mtu kajishibia ugali wa mlenda huko maeneo ya kwa Tumbo, anatoa ushauri wa kivita kwa Israeli.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kwa tumbo na ugali wa mlenda hoyeeh
In Magufuli voice
Sasa kazi ya forum kama hii ni nini
Huna cha kujadili huna maoni kichwani tulia tuuh mwananzengo. Acha wenye cha kujadili waseme wewe wengine watakusaidia kukuzungumzia ni hulka yako kuongozwa tu.
 
Hakuna kuingilia Kati Wacha zipigwe.
Alipouliwa Saleh Arouri Hizbollah walilipua makazi ya jeshi la IDF Mullat Na hakuna mwanajeshi Wa Israel alopona.
Alipouliwa Commander Wa Hizbollah Kambi kuu ya mpakani ya IDF Galilee imelipuliwa Na wanajeshi kadhaa wameuawa.
Na Jana wameua Askari wanne Wa Hizbollah sikilizieni kisasi.
IDF ilisema kuwa imevunja uti Wa mgongo Wa Hamas Gaza cha ajabu Jana wameuawa wanajeshi Tisa Wa IDF ndani ya Gaza kaskazini.
Hakuna aliepoa vijana.
Hassan Nasrallah amesema Kwa kila shambulizi wao watalipiza kisasi.
 
Wafuasi wa pedophile Muhammad mna ujinga wa kiwango Cha juu Sana [emoji23][emoji1787]


Sasa watoto wa kike wakiuliwa watu walikuwa wanaongezeka vipi?
Kwani watu wakifa hua hawazaliwi wengine

Sasa hapo mie na wewe nani ana PhD ya ujinga?
 
Cha Kuongezea France official Na Blinken wametangaza kukutana Na Hassan Nasrallah kiongozi Wa Hizbollah ili kuzuia mashambulizi ama vita Kuongezea.
Maana walichosema Hizbollah kosa walilofanya Israel Ni kushambulia ndani ya Beirut.
 
Israhell na idf wao waongo waongo sana majamaaa

Mwanzoni kabisa walitudanganya kama wameigawa ghaza kusini na kaskazini ila mpaka leo kimyaaa

Yaani kuigawa ghaza kaskazini na kusini wangefanikiwa kweli hii vita ingekua imeishakwisha zamani sana
 
Asikubabaishe huyo Jana Na juzi Mullat Na Galilee zilishambuliwa Na Hizbollah Kwa drone strike Na IDF walkufa vizuri tu.
Hawana hoja hawa mazayuni wa jf wanabishana na ukweli
 
Vitani vifo haviepukiki, idadi ya wanaokufa ndio hasara.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
MA- yahudi, MA-Kafiri, MA-Zayuni, MA-Naswara!!!! Ma ma ma ma ma!! Kweli hii IMANI imejengwa ktk CHUKI NA UBAGUZI, ndiyo maana Waislamu wa Bosnia enzi zild, China Chechnya, Myanmar, Rohingya, Sudan, etc etc wanauwa kama nzige ila hatusikii DUNIA ingilie kati!!! Wanaonewa ni UKRAINE huko wamevamiaa, hawa Makamasi na Hizbora wameyatafuta wenyewe, Hongera IDF kwa utaalamu wa kuwasaka na kuwaua viongozi wa Magaidi huko walipo tofauti na wao wahuni wanaoteka vibibi vizee na meli za kiraia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…