Dunia ijiandae kushuhudia kile kitakachompata Israel -Tehran

Iran na maayatollah maneno mengi ya kutishia lakini vitendo waoga

Ila Iran wasije kuanza kulia na kusaga meno huku wakiomba msaada wa nchi za kiIslamu za OIC na umoja wa mataifa UN baada ya kujitutumua kwa kujidai kurusha kikombora Israel
 
Watu washajianda muda mrefu na mbinu zote zimejulikana. Atakalishwa na kuaibishwa Sana safari hii. Yeye Angepiga kimyakimyaa
Tusichukulie poa jameni jambo hili
Watu washajianda muda mrefu na mbinu zote zimejulikana. Atakalishwa na kuaibishwa Sana safari hii. Yeye Angepiga kimyakimya
Akili za Waajemi sio sawa na waarabu.
 
Iran na maayatollah maneno mengi ya kutishia lakini vitendo waoga

Ila Iran wasije kuanza kulia na kusaga meno huku wakiomba msaada wa nchi za kiIslamu za OIC na umoja wa mataifa UN baada ya kujitutumua kwa kujidai kurusha kikombora Israel
Ni matumaini yangu lakini umeshaanza kujiwekea akiba ya chakula cha kutosha na mahitaji ya muhimu wewe na familia yako.

Kama bado nakusihi uanze sasa.
 
Hawa majama tatizo maneno mengi vitendo ni ziro
Tusikariri.

This time hali ni tofauti mkuu.

Kwa mara ya kwanza kabisa kushudiwa masaa machache yaliyopita, dege kubwa la kubeba mizigo (with undisclosed cargo) la kijeshi aina ya Gelix II-76 la Urusi limeonekana katika rada likisafiri kutokea Moscow kuelekea Tehran.
 
inaelezwa kuwa iran IMESEMA Itatoa kipigo kizito Kwa Israel na safari hii huenda ikatimia siraha zake za maangamizi za NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL.

Hali ya hatari imetanda Huko Israel huku wananchi wakikimbizana na kujificha kwenye maandaki.

Waziri mkuu wa Israel benjamin netanyahu ametangaza Hali ya hatari.

Tayari hofu imetanda Huko Israel

Iran wamepanga kutumia mabomu ya NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL.

Marekani wanasema kama iranw itapiga NYUKLIA basi huenda vita vya tatu vitatokea.

Iran imetangaza kuanza kufanya mashambulizi ndani ya masaa YAJAYO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…