Dunia ijiandae kushuhudia kile kitakachompata Israel -Tehran

Dunia ijiandae kushuhudia kile kitakachompata Israel -Tehran

Iran imetangaza kupitia stesheni ya chaneli 3 iliyopo mjini Tehran ya kuwa masaa machache yajayo ulimwengu ujiandae kushuhudia jambo kubwa la kihistoria.
Iran ina nini cha kuitisha Israel? Iran hii ambayo ipo uchi kwa Israel wairan wanauwawa na israel ka mbwa? Hakuna nchi hapo ME inayoweza kuisumbua Israel kamwe hakuna. Walishajaribu kujikusanya mataifa 6 na walikung'utwa mpaka raisi wa egypt akafa kwa kihoro.
Israel ina best ever intel in the world ambayo hakuna nchi inayo!
Israel ina watu wenye miakili ambazo kamwe waajemi hawana na hawajawahi kuwa nazo na hawatakuja kuwa nazo.
Anyway muiran huyo hapo akijianda kuimaliza Israel🤣😆🤣😆
GLCOPzmXwAESe9F.jpeg
 
inaelezwa kuwa iran IMESEMA Itatoa kipigo kizito Kwa Israel na safari hii huenda ikatimia siraha zake za maangamizi za NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL,
Hali ya hatari imetanda Huko Israel huku wananchi wakikimbizana na kujificha kwenye maandaki,
Waziri mkuu wa Israel benjamin netanyahu ametangaza Hali ya hatari,
Tayari hofu imetanda Huko Israel
Iran wamepanga kutumia mabomu ya NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL .
Marekani wanasema kama iranw itapiga NYUKLIA basi huenda vita vya tatu vitatokea.
Iran imetangaza kuanza kufanya mashambulizi ndani ya masaa YAJAYO.
Kweli naona wairan wakijiandaa kurusha nyuklia israel
1000005087.jpg
 
Iran ina nini cha kuitisha Israel? Iran hii ambayo ipo uchi kwa Israel wairan wanauwawa na israel ka mbwa? Hakuna nchi hapo ME inayoweza kuisumbua Israel kamwe hakuna. Walishajaribu kujikusanya mataifa 6 na walikung'utwa mpaka raisi wa egypt akafa kwa kihoro.
Israel ina best ever intel in the world ambayo hakuna nchi inayo!
Israel ina watu wenye miakili ambazo kamwe waajemi hawana na hawajawahi kuwa nazo na hawatakuja kuwa nazo.
Anyway muiran huyo hapo akijianda kuimaliza Israel🤣😆🤣😆View attachment 3060103
🤣🤣🤣🙌
 
Russia wameshaonesha kila dalili ya kumsupport Iran na amepeleka silaha Tehran, Russia akipigana popote basi China anamsupport
Hakuna mchina mjinga wa kwenda kumsupport Russia. China iko busy kwenye biashara na upigaji mwingine wa rasimali lakini sio vita zisizowahusu.
Russia mara nyingi huunganisha harakati zake za kivita na Iran na Korea kaskazini.
 
Iran ina nini cha kuitisha Israel? Iran hii ambayo ipo uchi kwa Israel wairan wanauwawa na israel ka mbwa? Hakuna nchi hapo ME inayoweza kuisumbua Israel kamwe hakuna. Walishajaribu kujikusanya mataifa 6 na walikung'utwa mpaka raisi wa egypt akafa kwa kihoro.
Israel ina best ever intel in the world ambayo hakuna nchi inayo!
Israel ina watu wenye miakili ambazo kamwe waajemi hawana na hawajawahi kuwa nazo na hawatakuja kuwa nazo.
Anyway muiran huyo hapo akijianda kuimaliza Israel🤣😆🤣😆View attachment 3060103
Namuona kamanda Alwaz Webabu kapiga msamba wa Van Dame
 
inaelezwa kuwa iran IMESEMA Itatoa kipigo kizito Kwa Israel na safari hii huenda ikatimia siraha zake za maangamizi za NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL,
Hali ya hatari imetanda Huko Israel huku wananchi wakikimbizana na kujificha kwenye maandaki,
Waziri mkuu wa Israel benjamin netanyahu ametangaza Hali ya hatari,
Tayari hofu imetanda Huko Israel
Iran wamepanga kutumia mabomu ya NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL .
Marekani wanasema kama iranw itapiga NYUKLIA basi huenda vita vya tatu vitatokea.
Iran imetangaza kuanza kufanya mashambulizi ndani ya masaa YAJAYO.
We faza hivi tiktok unatumia jina gani ahahahaha
 
Back
Top Bottom