Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaa karibu na luninga yako kushuhudia mambo ambayo utakuja kuwasimulia wajukuu zako.Kwa hiyo tusicheze mbali na TV
View attachment 3060065
Meanwhile, dege la US Air Force (USAF) C-17 A leo likisafiri kuelekea Jordan na jingine la mizigo USAF (patriotinterceptor) likitokea Ramms tein- Ujerumani kuelekea QatarMyahudi akipiga huwa hata hakohoi, tunashtukia habari tu tayari, ila hao wavaa wafunga vilemba sasa....
Kuna raia bado wanafikiri Iran anataniainaelezwa kuwa iran IMESEMA Itatoa kipigo kizito Kwa Israel na safari hii huenda ikatimia siraha zake za maangamizi za NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL,
Hali ya hatari imetanda Huko Israel huku wananchi wakikimbizana na kujificha kwenye maandaki,
Waziri mkuu wa Israel benjamin netanyahu ametangaza Hali ya hatari,
Tayari hofu imetanda Huko Israel
Iran wamepanga kutumia mabomu ya NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL .
Marekani wanasema kama iranw itapiga NYUKLIA basi huenda vita vya tatu vitatokea.
Iran imetangaza kuanza kufanya mashambulizi ndani ya masaa YAJAYO.
Wanaweza kutandikwa wenyeweIran imetangaza kupitia stesheni ya chaneli 3 iliyopo mjini Tehran ya kuwa masaa machache yajayo ulimwengu ujiandae kushuhudia jambo kubwa la kihistoria.
Alitafutwa sasa anajaa taratibu kwenye 18 za watoto wa Yakobo. Kila silaha itakayofanyika juu yao haitafanikiwa hata wakusanyane kama sio shauri la Jehova wataanguka. Watoto wa Yakobo wabarikiweIran imetangaza kupitia stesheni ya chaneli 3 iliyopo mjini Tehran ya kuwa masaa machache yajayo ulimwengu ujiandae kushuhudia jambo kubwa la kihistoria.
Yaani wewe upo Tukuyu unampangia Iran jinsi ya kupigana daaah!Watu washajianda muda mrefu na mbinu zote zimejulikana. Atakalishwa na kuaibishwa Sana safari hii. Yeye Angepiga kimyakimya
Mkwara mbuzi wa vijukuu vya allah huo.This is not an empty words comrades.. Let's wait and see View attachment 3060064
watu wanaona ni jambo rahisi kuandika ww3 ila ikija hyo itakua vita mbaya sana basi tu kwakua hatuzijui vita tunaandika tu.....Middle haiwezi kusababisha ww3
Middle ni kama Afrika tuu
Angekua na mpango wa kufanya kweli asingetangaza. Ulisikia mtu akitangaza kwamba Haniyeh atatolewa kafara au rais wa Iran atauawa? Ogopa MTU mkimya. Mpuuze mtu anayeongea maneno mengi Kama mwanamke.Kuna raia bado wanafikiri Iran anatania
Ni hatari kubwa, Dunia inapita kwenye wakati mgumu sana Mungu atunusuruinaelezwa kuwa iran IMESEMA Itatoa kipigo kizito Kwa Israel na safari hii huenda ikatimia siraha zake za maangamizi za NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL,
Hali ya hatari imetanda Huko Israel huku wananchi wakikimbizana na kujificha kwenye maandaki,
Waziri mkuu wa Israel benjamin netanyahu ametangaza Hali ya hatari,
Tayari hofu imetanda Huko Israel
Iran wamepanga kutumia mabomu ya NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL .
Marekani wanasema kama iranw itapiga NYUKLIA basi huenda vita vya tatu vitatokea.
Iran imetangaza kuanza kufanya mashambulizi ndani ya masaa YAJAYO.
Debe tupu haliachi kuvuma.Iran imetangaza kupitia stesheni ya chaneli 3 iliyopo mjini Tehran ya kuwa masaa machache yajayo ulimwengu ujiandae kushuhudia jambo kubwa la kihistoria.
Alipo shambulia last time mka okolewa na USA na majirani mlikuwa mme lala sio,,aya ni marudio tu acha ngonjera Israeli ni useless bila washirika wa USAAlitafutwa sasa anajaa taratibu kwenye 18 za watoto wa Yakobo. Kila silaha itakayofanyika juu yao haitafanikiwa hata wakusanyane kama sio shauri la Jehova wataanguka. Watoto wa Yakobo wabarikiwe