Dunia ijiandae kushuhudia kile kitakachompata Israel -Tehran

Dunia ijiandae kushuhudia kile kitakachompata Israel -Tehran

Kwa hiyo tusicheze mbali na TV
1000011376.jpg
 
inaelezwa kuwa iran IMESEMA Itatoa kipigo kizito Kwa Israel na safari hii huenda ikatimia siraha zake za maangamizi za NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL,
Hali ya hatari imetanda Huko Israel huku wananchi wakikimbizana na kujificha kwenye maandaki,
Waziri mkuu wa Israel benjamin netanyahu ametangaza Hali ya hatari,
Tayari hofu imetanda Huko Israel
Iran wamepanga kutumia mabomu ya NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL .
Marekani wanasema kama iranw itapiga NYUKLIA basi huenda vita vya tatu vitatokea.
Iran imetangaza kuanza kufanya mashambulizi ndani ya masaa YAJAYO.
Kuna raia bado wanafikiri Iran anatania
 
Iran imetangaza kupitia stesheni ya chaneli 3 iliyopo mjini Tehran ya kuwa masaa machache yajayo ulimwengu ujiandae kushuhudia jambo kubwa la kihistoria.
Alitafutwa sasa anajaa taratibu kwenye 18 za watoto wa Yakobo. Kila silaha itakayofanyika juu yao haitafanikiwa hata wakusanyane kama sio shauri la Jehova wataanguka. Watoto wa Yakobo wabarikiwe
 
Kuna raia bado wanafikiri Iran anatania
Angekua na mpango wa kufanya kweli asingetangaza. Ulisikia mtu akitangaza kwamba Haniyeh atatolewa kafara au rais wa Iran atauawa? Ogopa MTU mkimya. Mpuuze mtu anayeongea maneno mengi Kama mwanamke.
Hata nyumbani, ukiwa na mwanamke anayeongea ongea Sana, jipongeze. Ukiwa na mke mkimya, my friend be very careful, very very careful. Mwanamke unarudi saa nane za usiku hakuulizi, be very careful.
 
inaelezwa kuwa iran IMESEMA Itatoa kipigo kizito Kwa Israel na safari hii huenda ikatimia siraha zake za maangamizi za NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL,
Hali ya hatari imetanda Huko Israel huku wananchi wakikimbizana na kujificha kwenye maandaki,
Waziri mkuu wa Israel benjamin netanyahu ametangaza Hali ya hatari,
Tayari hofu imetanda Huko Israel
Iran wamepanga kutumia mabomu ya NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL .
Marekani wanasema kama iranw itapiga NYUKLIA basi huenda vita vya tatu vitatokea.
Iran imetangaza kuanza kufanya mashambulizi ndani ya masaa YAJAYO.
Ni hatari kubwa, Dunia inapita kwenye wakati mgumu sana Mungu atunusuru
 
Alitafutwa sasa anajaa taratibu kwenye 18 za watoto wa Yakobo. Kila silaha itakayofanyika juu yao haitafanikiwa hata wakusanyane kama sio shauri la Jehova wataanguka. Watoto wa Yakobo wabarikiwe
Alipo shambulia last time mka okolewa na USA na majirani mlikuwa mme lala sio,,aya ni marudio tu acha ngonjera Israeli ni useless bila washirika wa USA
 
Back
Top Bottom