Dunia imechelewa mno kuishtukia Marekani kuhusu utawala wa pesa yake DOLA katika uchumi wa dunia. Angalau sasa wameishtukia

Dunia imechelewa mno kuishtukia Marekani kuhusu utawala wa pesa yake DOLA katika uchumi wa dunia. Angalau sasa wameishtukia

Marekani iliipiga changa ya macho dunia kwa muda mrefu. Ikalazimisha dola iwe ndio pesa rasmi katika biashara za kimataifa na uchumi wa dunia. Wanachofanya ni kuchapisha noti tu za dola na kuipa thamani kwa kauli tu.

Dunia nayo ikawa imejikuta inakubaliana na changa hilo la macho. Lakini Urusi imeiamsha dunia na marekani imepaniki. Urusi imesema kila nchi inaweza kutumia pesa yake ya ndani kwenye miamala ya kimataifa.

Uamuzi huo ghafla ukairudishia thamani pesa yake ya ruble iliyokuwa imeshuka sana thamani kwa zaidi ya asilimia 90.

Kwa sasa mataifa kama india, China, Brazili tayari yamejifunza kitu na yataanza kutumia pesa za mataifa yao kwenye biashara baina yao na mataifa mengine yatakayokubali.

Urusi imeandaa mfumo wake kama ule wa SWIFT kwa ajili ya miamala ya kimataifa na nchi zimeshajiunga tayari na kwa kuanzia mataifa hayo (ukiacha mataifa ambayo hayaogopi kitu kama India na China) hayataainishwa ili kuyakinga na vitisho na vikwazo vya marekani.

Ndio maana Marekani inahaha kuongeza vikwazo kila siku na kupeleka silaha ukraine, si kwa kuwa inaipenda sana ukraine lakini inataka kuangusha kabisa uchumi wa urusi na kuipunguza nguvu kijeshi.

Japo mpaka sasa marekani inaonekana haijafanikiwa kwa hilo ila mambo yanaigeukia yenyewe kuwa mabaya!
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho....
 
Mbona umesema kweli kuwa patents za vitu vya china ni marekani.... si mali yao, raw matrials si ajabu supplier ni USA, hivyo hata bei inawezekana anapanga yeye na hivyo kuwa na final say ya ngawila!

Aah wp raw material zinatoka afrika nyingi za simu china wanatengenza kwa matakwa ya wamerekani kwa bidhaa zao the rest wanatengeneza vile watakavyo wao na ndio vingiii vinaenda sehemu kubwa ya dunia
 
Pesa hutiwa nguvu na hasa na mali asili zinazomilikiwa na nchi na nchi kuwa tayari kuziingiza soko la kimataifa. Kwa kigezo hicho marekani huwezi kuilinganisha na nchi kama Urusi na China.

Biashara kubwa ya marekani ni silaha! wakati wa amani hakuna anayehitaji silaha, na ni mataifa mengi yanayozalisha silaha kwa bei nafuu zaidi. kwa hiyo silaha haiwezi kuwa na mchango kwenye thamani ya silaha. Ndiyo maana marekani wanachochea sana vita duniani.
Eti biashara kubwa ya U.S ni silaha tuu,hizi innovations za technology and service anazovumbua na kuziuza unaona za hela ndogo sio?
 
No
Huu mchezo wa kuchapa pesa ndio mchezo wao.
Marekani inaweza kuchapa pesa na kuzitia kwenye mfuko kisha kuja direct Tanzania kununua dhahabu , rubi n.k
Ila wewe huwezi kuchapa pesa zako za Kitanzania na kuzibeba kama zilivyo kwenda kununua kitu US.
Kwanini wewe Mtanzania Serikali yako isichape fedha nyingi za madafu halafu shughuli zote za ujenzi wa madarasa,madaraja na barabara muwalipe kwa kutumia hizo fedha mlizochapisha?
 
Cha kujiuliza ni hapo kwako na kwangu na kwa mwingine,ofisini, barabarani unatumia vitu vingapi vya mmarekani ndio tutapata jibu la uhitaji wa dola.
Mimi simu mchina, computer (used) marekani, pikipiki china,redio japani, computer desktop Japan, assets bongo land , nguo China/ ulaya, Madawa ya shambani China nk.
Internet na software marekani.
Kwa kiasi gani namtegemea marekani? Labda 20%.
Bila USA maisha yanawezekana ila mazoea tu ndio yanatuponza.
Sasa internet kuna 5G ya mchina akizingua USA nchi inafunga mitambo ya mchina, sina hakika kama Russia wana internet yao.
Kwani hiyo Internet ni mali ya nani?
 
Si kweli, thamani ya pesa inatokana na what you produce to the world. Kila kitu kinapatikana USA, kila nchi inahitaji kitu from USA, fedha yao itaabudiwa tu!
Uko mbali na dunia Pole acha nadharia unafahamu kitu kinaitwa (PDS) Petroldollar system Ni mfumo dume uliwekwa na mmarekani kwa kuandikiana mikataba na Uarabuni kuwa kila mtu atakayehitaji mafuta lazima anunue kwa Usd $ kama ulikuwa utambui sasa fahamu hilo na Mrusi ndicho anakifanya kuondoa mfumo huo kwa kuuza bila kutumia usd$ na waliotaka kupinga hawapo duniani Mf Saddam,Ghadaff wote walipinga mfumo huo wako wapi sasa!
 
Si kweli, thamani ya pesa inatokana na what you produce to the world. Kila kitu kinapatikana USA, kila nchi inahitaji kitu from USA, fedha yao itaabudiwa tu!
Retired,unasema kila kitu kinapatikana marekani,?, hebu fafanua ndugu yangu,nn kwa mfano?
 
Si kweli, thamani ya pesa inatokana na what you produce to the world. Kila kitu kinapatikana USA, kila nchi inahitaji kitu from USA, fedha yao itaabudiwa tu!
Ni kitu gani kinachozalishwa USA kinauzwa nchi za africa? Ukiacha na silaa
 
Marekani iliipiga changa ya macho dunia kwa muda mrefu. Ikalazimisha dola iwe ndio pesa rasmi katika biashara za kimataifa na uchumi wa dunia. Wanachofanya ni kuchapisha noti tu za dola na kuipa thamani kwa kauli tu.

Dunia nayo ikawa imejikuta inakubaliana na changa hilo la macho. Lakini Urusi imeiamsha dunia na marekani imepaniki. Urusi imesema kila nchi inaweza kutumia pesa yake ya ndani kwenye miamala ya kimataifa.

Uamuzi huo ghafla ukairudishia thamani pesa yake ya ruble iliyokuwa imeshuka sana thamani kwa zaidi ya asilimia 90.

Kwa sasa mataifa kama india, China, Brazili tayari yamejifunza kitu na yataanza kutumia pesa za mataifa yao kwenye biashara baina yao na mataifa mengine yatakayokubali.

Urusi imeandaa mfumo wake kama ule wa SWIFT kwa ajili ya miamala ya kimataifa na nchi zimeshajiunga tayari na kwa kuanzia mataifa hayo (ukiacha mataifa ambayo hayaogopi kitu kama India na China) hayataainishwa ili kuyakinga na vitisho na vikwazo vya marekani.

Ndio maana Marekani inahaha kuongeza vikwazo kila siku na kupeleka silaha ukraine, si kwa kuwa inaipenda sana ukraine lakini inataka kuangusha kabisa uchumi wa urusi na kuipunguza nguvu kijeshi.

Japo mpaka sasa marekani inaonekana haijafanikiwa kwa hilo ila mambo yanaigeukia yenyewe kuwa mabaya!
Bwashee umeongea kimihemko dola ingeshuka ,tungetegemea na huku tungeshuhudia Jana nimeenda benk dola 1 =tsh 2310 mambo Yale Yale hakuna jipya ,hizo siasa za mmarekani na mrus ni ngumu ,ukishabikia utaumia
 
Marekani iliipiga changa ya macho dunia kwa muda mrefu. Ikalazimisha dola iwe ndio pesa rasmi katika biashara za kimataifa na uchumi wa dunia. Wanachofanya ni kuchapisha noti tu za dola na kuipa thamani kwa kauli tu.

Dunia nayo ikawa imejikuta inakubaliana na changa hilo la macho. Lakini Urusi imeiamsha dunia na marekani imepaniki. Urusi imesema kila nchi inaweza kutumia pesa yake ya ndani kwenye miamala ya kimataifa.

Uamuzi huo ghafla ukairudishia thamani pesa yake ya ruble iliyokuwa imeshuka sana thamani kwa zaidi ya asilimia 90.

Kwa sasa mataifa kama india, China, Brazili tayari yamejifunza kitu na yataanza kutumia pesa za mataifa yao kwenye biashara baina yao na mataifa mengine yatakayokubali.

Urusi imeandaa mfumo wake kama ule wa SWIFT kwa ajili ya miamala ya kimataifa na nchi zimeshajiunga tayari na kwa kuanzia mataifa hayo (ukiacha mataifa ambayo hayaogopi kitu kama India na China) hayataainishwa ili kuyakinga na vitisho na vikwazo vya marekani.

Ndio maana Marekani inahaha kuongeza vikwazo kila siku na kupeleka silaha ukraine, si kwa kuwa inaipenda sana ukraine lakini inataka kuangusha kabisa uchumi wa urusi na kuipunguza nguvu kijeshi.

Japo mpaka sasa marekani inaonekana haijafanikiwa kwa hilo ila mambo yanaigeukia yenyewe kuwa mabaya!
True
 
Si kweli, thamani ya pesa inatokana na what you produce to the world. Kila kitu kinapatikana USA, kila nchi inahitaji kitu from USA, fedha yao itaabudiwa tu!
Ujui historia ya vita ya pili ya dunia ,ndiyo ulikuwa mwanzo wa dola kuwa pesa ya dunia sasa ksitafute ujue kwanini ? Ukisha jua sema wewe ni zuzu
 
Back
Top Bottom