Dunia ina Umri gani?

Mimi najua wanyama wote na mimea yote wameumbwa ndani ya siku 6.
Na hii ilitukia miaka 6000 tu iliyopita.
Mungu ndo kasema hivo
 
Bro hu Uzi wako Kuna vitu kidogo umechanganya

Umri wa Dunia na umri wa binadamu hivi ni vitu viwili tofauti kabisa
 
Ona huyu nae kwahiyo ukikuta gonjwa flani huruhusiwi kufanya utafiti ili kuligundua chanzo,athari na tiba yake,kwahiyo newton alivyofaya utafiti akagundua gravity ni kwamba gravity haikuwepo .Afrika bara tumerogwa na nani
unajua wewe ni mpumbavu alafu haujijui.kwa akili yako fupi ni nani unayemjua anayeza kukupa umri sahihi wa dunia?
 
Mambo ya msingi kama haya yanayopaswa kujadiliwa kisayansi alafu mtu analeta hadithi za mungu sijui aliumba nini huwa napata hasira sana.
 
unajua wewe ni mpumbavu alafu haujijui.kwa akili yako fupi ni nani unayemjua anayeza kukupa umri sahihi wa dunia?
We fala nini lile fuvu la kule uldovai gorge lilitamka umri wake? Ile miamba ya amboni cave tanga ina umri wa miaka milioni 30 unadhani watu wamejuaje.ID yako inaakisi ubongo wako
 
We fala nini lile fuvu la kule uldovai gorge lilitamka umri wake? Ile miamba ya amboni cave tanga ina umri wa miaka milioni 30 unadhani watu wamejuaje.ID yako inaakisi ubongo wako
naona umejaza matope kichwani.aliyekitengeneza kitu ndo anayejua kakitengeneza.hao ng'ombe wenzio wanachofanya ni kukisia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…