Dunia inaelekea wapi? Watu wasio na akili wanazaliana kwa kasi, huku wenye akili hawazaliani

Dunia inaelekea wapi? Watu wasio na akili wanazaliana kwa kasi, huku wenye akili hawazaliani

Wanaweza kuwa mashoga lakini ndio wanaokufanya una hiyo simu yako hapo, unavaa nguo, unapasi nguo, unatumia umeme, au ungekuwa unaishi kwenye vibanda vya nyasi ukifuga mbuzi
Sijui una umri gani lkn Waafrika tulikuwepo bila hayo yanayokufanya uwaone hao unawataja kuwa wenye akili wana akili na kwa sababu wewe ndio hauna akili ndio maana hujui ya kwamba hata wao walipitia hatua tuzipitiazo.

Sasa hizo akili km wanazo ni kwa nini wameshindwa kuuepuka ushoga na badala yake walazimisha na sisi tuingie kwenye matatizo yaliyotokana na ushoga kiasi cha kukutumia wewe shoga wa kusajiliwa ili utuingize kwenye matatizo yao?

Kawaambie tutaendelea kuzaliana mpaka wajiue wao wenyewe ili waendelee kupungua kiasi kwamba hayo unayosifia ni maendeleo tukayafaidi sasa ndipo ujue ni nani kati yetu na wao wana akili.
 
Sijui una umri gani lkn Waafrika tulikuwepo bila hayo yanayokufanya uwaone hao unawataja kuwa wenye akili wana akili na kwa sababu wewe ndio hauna akili ndio maana hujui ya kwamba hata wao walipitia hatua tuzipitiazo.

Sasa hizo akili km wanazo ni kwa nini wameshindwa kuuepuka ushoga na badala yake walazimisha na sisi tuingie kwenye matatizo yaliyotokana na ushoga kiasi cha kukutumia wewe shoga wa kusajiliwa ili utuingize kwenye matatizo yao?

Kawaambie tutaendelea kuzaliana mpaka wajiue wao wenyewe ili waendelee kupungua kiasi kwamba hayo unayosifia ni maendeleo tukayafaidi sasa ndipo ujue ni nani kati yetu na wao wana akili.
Sasa kama mlikuwa sawa na wao ikawaje ukaachwa nyuma miaka 599,
Wao kuwa wachache ni balaa kwa Watu wasio na akili kama wewe maana utarudi kuvaa nyasi na ngozi
 
Wenye akili wametengeneza mifumo, mashine, bidhaa ambazo zinekufanya wewe kukaa kitako hapo na kupiga soga mtandaoni, wasio na akili wanapanda maboti wakijaribu kutoroka nchi zao kwenda Ulaya kutafuta maisha bora
Nimebaini ya kwamba wewe kwako ushoga ni akili,sasa na mimi nafahamu kuwa kufuga mbuzi ni akili na siyo ushoga. Endelea kufukuliwa mtaro kwakuwa umechagua mwenyewe lkn usitulazimishe kufanya mambo ya wasiokuwa na akili km wewe.
 
Nimebaini ya kwamba wewe kwako ushoga ni akili,sasa na mimi nafahamu kuwa kufuga mbuzi ni akili na siyo ushoga. Endelea kufukuliwa mtaro kwakuwa umechagua mwenyewe lkn usitulazimishe kufanya mambo ya wasiokuwa na akili km wewe.
Ushoga umeuleta wewe, haya tuchukulie watu weupe wote ni mashoga, na Waafrika ni mashababi, sasa inakuwaje mashoga ndio wanawatawala wababe kiuchumi, kijamii, hata kwenye ubabe?

Kila kitu unachotumia hapo kuanzia simu, TV, friji, hata boxa na chupi ya mkeo wamekutengenezea hao mashoga?
 
Ila hao hao wenye akili,ndo wanaoiangamiza Dunia.
Ila kiuhalisia,kila mtu ana akili nzuri tu mbona.
Sema tunajiendekeza tu.
Kwani zamani kulikuwa na kiberiti!🤔.
Ila watu wetu walikula nyama choma.
Wale walituwahi tu,ila fanya uchunguzoli,ngozi nyeusi Ina Mambo mengi Sana,ila wao hujitweza kuwa juu basi.
 
Duniani kote watu wenye akili kama Wajapan, Wakorea, Wazungu wa Ulaya na hata Wachina japo wapo wengi ila hawazaliani tena kivile

Watu wasio na akili au wenye akili ndogo ndio wanaongoza kuzaliana kwa fujo , je Dunia itaendelea kupata tena maendeleo na ubunifu iliyokuwa ikipata kama watu wenye akili hawataki kuzaliana!?

View attachment 2845588

View attachment 2844266
jiulize kwa nini punda ana bonge la uboo lakini anazalisha mtoto mmoja!!!,alaf kwa nini jogoo hana uboo[anapiga muhuri tu},lakini jogoo kukosa kwake uboo lakini anazalisha vifaranga kibao!!
 
Mbona upo obsessed sana na ushoga na wanaume? Kila jibu la hoja huachi kuweka neno kama mume, shoga, mtaroni, ue
Ili ujue kuwa Africans ni wanaume wenye uanaume na tunautumia kiume ndio maana tunazaliana kuwazidi wake wenzio hao ambao wamekwama kuzaliana baada ya kudhani kuwa mwanamke aweza kumjaza mimba mwanamke mwenzie km wewe.
 
Ili ujue kuwa Africans ni wanaume wenye uanaume na tunautumia kiume ndio maana tunazaliana kuwazidi wake wenzio hao ambao wamekwama kuzaliana baada ya kudhani kuwa mwanamke aweza kumjaza mimba mwanamke mwenzie km wewe.
Lakini mnatawaliwa na hao wasioweza kuzaliana.... kuzaliana hata nyumbu wanazalishana sana ila wanatawaliwa na simba wachache, so sio kipimo cha akili wala supremacy
 
Baada ya kampuni zake kukua lakini alianza mwenyewe na sasa ni Boss wao
Wewe ukiwa na makampuni utaajiri mswahili hazina na management zote kubwa?
Hata uwape mawaziri utapigwa sana
Ndio maana hata kina Bakhresa wameajiri wazungu na wahindi na Wakenya
Wachache wabongo
Ukweli na sababu ni wizi
Kwa hiyo unakubaliana na mtoa mada kuwa tuna akili ndogo? Kama hatuwezi kusimamia makampuni makubwa maana yake uwezo wetu ni mdogo
 
Duniani kote watu wenye akili kama Wajapan, Wakorea, Wazungu wa Ulaya na hata Wachina japo wapo wengi ila hawazaliani tena kivile

Watu wasio na akili au wenye akili ndogo ndio wanaongoza kuzaliana kwa fujo , je Dunia itaendelea kupata tena maendeleo na ubunifu iliyokuwa ikipata kama watu wenye akili hawataki kuzaliana!?

View attachment 2845588

View attachment 2844266
Yes mkuu kuna test tube baby hata ww ukitaka unatoa mbegu zako zinahifadhiwa ukitaka kupata mtoto unapandikiza kama alivyofanya Ronaldo de lima ambaye amefunga uzazi wake kwa sasa mishipa imefungwa ya uzazi simple like that sisi ndio tunategemea mpaka tufanye sex.
 
Nimebaini ya kwamba wewe kwako ushoga ni akili,sasa na mimi nafahamu kuwa kufuga mbuzi ni akili na siyo ushoga. Endelea kufukuliwa mtaro kwakuwa umechagua mwenyewe lkn usitulazimishe kufanya mambo ya wasiokuwa na akili km wewe.
Shida yako wewe mnafiki ni kama ya maccm. Badala ujibu Hoja unabaki kukimbilia issue ya ushoga. Kwani mtoa mada amesema issue ya ushoga hapa.. na huki ni kipimo Cha mtu mwenye akili na ambaye Hana. Na huu ndo ukweli mchungu ambao wafrika wakiambiwa HATUNA akili tunakataa. Hata dangote na utajiri wake wote bado anatumia technologia ya mtu mweupe kujitengenezea pesa. Jibu Hoja yake acha kuingiza vitu ambavyo mtoa mada hajaviongelea
 
hivi unajua kuwa mwanadamu mwenye IQ kubwa kuliko wote duniani hivi karibuni alikuwa Mnigeria? wala sio mzungu? unajua wanigeria wanaogopwa dunia nzima kwa akili?hadi utapeli wazungu wamenyoosha mikono. hao utawaita wajinga?
Mie nasikiliza mziki wa Nigeria. Kila wakati najiuliza what Nigerians have other Africans are missing. Ktk sekta ya muziki tu inadhihirisha jinsi waneijeria walivyo na akili.
Sitaki kuzungimzia sekta nyingine
 
Mie nasikiliza mziki wa Nigeria. Kila wakati najiuliza what Nigerians have other Africans are missing. Ktk sekta ya muziki tu inadhihirisha jinsi waneijeria walivyo na akili.
Sitaki kuzungimzia sekta nyingine
Muziki hata Wakongo walitamba sana Afrika enzi zile hadi sasa bado wamo
 
Back
Top Bottom