Tetesi: Dunia inasubiri Taarifa moja tu ya kutisha kutoka Russian federation

Fanyeni masihara ila wanacho fanya mabeberu wa ulaya na America ni bomu linalosubiri kulipika,na ujinga huu ukiendelea tunaweza ingia wwwIII
Sawa
 
Anapolala Putin ni watu wachache sana wanapajua kwa sasa. Chakula chake pia kinaandaliwa mbali sana na ni dakika za mwisho waandaaji wanatajiwa Pa kukipeleka.
wanaotaja ndo wanaeza kuwa wahusika
 
ttzo kubwa lipo.kwenye ufahamu wako hisia zinakuongoza badala.ya uhalisia
 

Western Media Zinakupoteza, Naona data zako unatoa The Kyiev Independent ! Unategemea wakwambie nini kingine zaidi ya hizo propaganda za upande mmoja ?

Kama Ukraine anachezea na jeshi lake lina retreat, unaweza vipi ku confirm hzo data ilihali miji mingi anazidi kuikalia Urusi, ao wakusanya data wamefika saa ngap kwnye territory aliokalia adui wakaconfirm hzo data kwa kuona hizo machines na fallen bodies ?

Western Medias are brainwashing you
 
Sisi team Putin wa kwa Mtogole bado tunaamini West na wanyangalika wenu mumeshikwa lubaya...hamuchomoki na Kyiv tushaiweka kibindoni mwendo mdundo.

Tukimalizana na Komediani tunaenda kuchukua Romania Belarus Estonia na Latvia. Nato wa kwa Mbiku Mukae kwa kutuliya.
 
IHuenda wewe unasoma taarifa serikali ya urusi ambako wamezuia hata facebook na Youtube isifanye kazi kusudi watu wasipate ukweli. Kwa hali hiyo unasema hao majenerali wote hawakuuwawa, hivyo vifaru vinavyongua mitaani siyo vya urusi na hata hiyo meli iliyozama haikupigwa na Ukraine bali iliungua yenyewe tu lakini kwa usalama wa meli nyingine zisije kuungua peka yake ikabidi wazihamishie mbali na Ukraine.

Ninajua kuna waafrika ambao wana post-colonial mind ya kuchukia nchi za west kwa sababu za kihistoria tu, na hivyo kushabikia nchi ambazo zinaonekana kupingana na nchi za west, hata hivyo, elewa kuwa vita hiyo ni ya urusi kuivamia makusudi ukraine. Kama Urusi kweli ilikuwa inaogopa kuwa Ukraine italeta wamarekani karibu na mpaka wake, wangeishambulia Marekani moja kwa moja kule kwenye Bahari ya Berring kwani wanashea mpaka wa moja kwa moja ukitoka Alaska unaingia Urusi.

Huyu Putin ni bully tu, anaitaka sana ardhi ya Ukraine kwa sababu ya Black Sea, ndiyo maana haoni shida kuua raia wote wasioongea kirusi. Nia yake ilikuwa ni kuuteka mji wa Kiev haraka kuondoa serikali na kuweka ya kibaraka wake Viktor Yanukovych; kule akachezea kibano hadi akaamua kuondoka mwenyewe. Putin alianza kuisakama Ukraine baada ya kibaraka wake huyo kuondolewa na wanachi, kwani anataka vibaraka wake wawe viongozi wa maisha kama yeye na yule wa Belarus. Ni baada ya kibaraka huyo kuondolewa ndipo akaanza kwa kumega Crimea, na sasa anataka kumega sehemu ya Magharaibi ila lengo lilikuwa achukua Ukraine yote iwe sehemu ya urusi.
 
Waisraeli ni taifa teule kwani uongo?
Wameteuliwa kuchinja na kuuwa watu walio wapokea Kama wakimbizi,....waliamrishwa na mungu kuvamia taifa la watu na kuuwa Kila kitu na kuiita nchi ya ahadi.....story Kama hiz hata wangoni watajiita taifa teule from South Africa to songea and kantalamba,.....ko wao mungu kawateuwa kuwa Bora af mm na wew Ni pusy tu
 
Unauhakika na hichi unasema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…