Mcanada
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 982
- 1,942
Dunia ya leo ni tofauti sana na ile dunia ya miaka 1000 iliyopita dunia ya leo kadiri unavyoongeza watoto unagundua ndivyo unavyojiongezea mzigo wa malezi, matunzo na nguvu ya ulinzi ya watoto wako kiroho na kimwili, Dunia ya leo upebari ndio unaoitawala na kuiongoza dunia kuliko ule mfumo wa Kijamaa ..
Kwa asilimi 99% ya wazazi wengi leo wana matatizo ya akili kuliko wasio na watoto kwasababu rasilimali walizonazo haziwatoshelezi watoto wao kiasi cha kuwafanya wafurahie maisha.
Watoto wengi leo wanapata malezi chini ya kiwango kutoka kwa wazazi wao kwasababu wazazi wanatumia muda mwingi kupambana kuongeza rasilimali zitakazotosha familia lakini wanagundua hata hicho wanachokitafuta hakitoshi kwasababu kadiri muda unavyokwenda mahitaji yanaongezeka na maisha yanakuwa magumu kwasababu mali tulizonazo hazitutoshi.
Asikudanganye mtu usizae bila mipango ukijidanganya kuwa kila mtoto anakuja na baraka yake dunia ishabadilika sana now days.. zaa watoto kulingana na uhitaji wako lakini pia angalia mali ulizonazo jee zinawatosha/zitawatosha? usije kuleta watoto kisha waje kuteseka kwasababu ya mzazi kushindwa kuwaandalia mazingira mazuri ya maisha yao yajayo. Mithali 13:22 (NENO); Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi,
Uwe na asubuhi Njema!
Ontario, Canada.
Kwa asilimi 99% ya wazazi wengi leo wana matatizo ya akili kuliko wasio na watoto kwasababu rasilimali walizonazo haziwatoshelezi watoto wao kiasi cha kuwafanya wafurahie maisha.
Watoto wengi leo wanapata malezi chini ya kiwango kutoka kwa wazazi wao kwasababu wazazi wanatumia muda mwingi kupambana kuongeza rasilimali zitakazotosha familia lakini wanagundua hata hicho wanachokitafuta hakitoshi kwasababu kadiri muda unavyokwenda mahitaji yanaongezeka na maisha yanakuwa magumu kwasababu mali tulizonazo hazitutoshi.
Asikudanganye mtu usizae bila mipango ukijidanganya kuwa kila mtoto anakuja na baraka yake dunia ishabadilika sana now days.. zaa watoto kulingana na uhitaji wako lakini pia angalia mali ulizonazo jee zinawatosha/zitawatosha? usije kuleta watoto kisha waje kuteseka kwasababu ya mzazi kushindwa kuwaandalia mazingira mazuri ya maisha yao yajayo. Mithali 13:22 (NENO); Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi,
Uwe na asubuhi Njema!
Ontario, Canada.