Pole kwa msiba huo tajiri mzee wa laki moyaaπππHabari wakuu,
Dunia inaenda kasi sana tupo kwenye zama za nipe nikupe, mwanamke unataka hela ya mwanaume(kuhudumiwa) basi uwe tayari kutoa atakachotaka mwanaume.
Sio kutaka kuhudumiwa alafu mwanaume akihitaji tunda zinaanza sababu "ooh bado ni mapema sana kufanya hivyo". Mbona hela na kuhudumiwa hamuoni ni mapema?
Kama haupo tayari kutoa usiwe tayari kutaka pesa na kuhudumiwa, kila mtu abaki na chake.
Ni muda gani ukishapita baada ya kufahamiana ni sahihi kuomba game?
Mtakaokuja kunipa pole nazipokea, ahsanteni π
NAWASILISHA.
Hilo swali mjiulize nyie wapenda fedha kwa wanaume.Hivi ukiweka pesa katikati ya penzi una enjoy kweli si kama punyeto tu
Ahsante mkuu, binti kabaki kulalamika haoni akijaliwa tena anadhani yupo na shirika la msaada πPole kwa msiba huo tajiri mzee wa laki moyaaπππ
mbususu tunapokea na hela hatutoi ata 100Na kama hamko tayari kutoa pia msitegemee kupokea papuchiππππ au sio
"NAKAZIA" π€£π€£π nmecheki kwa mbaaaaali
Chuma kwa chumaKule kwetu wana msemo wao wenyewe wanasema mali kwa mali
πππhela zenu tunakula na mbususu hatuwapi hata kwa pichaambususu tunapokea na hela hatutoi ata 100
kama ulikuepoπππNajua umeona neno hela ndio maana umeelewa haraka π
we zombii haujuii la masimba"NAKAZIA" π€£π€£
Ukiomba tu hela na ndio mwanzoni namimi naomba tunda nilimenye.πππhela zenu tunakula na mbususu hatuwapi hata kwa pichaa
Inatukucheleweshea lile jambo lako wahuni tukose pilauwe zombii haujuii la masimba
Demu anakuchagulia location halafu anataka akifika aspend ila bill ulipe wewe πππWengi wabinafsi sana na hata akija na kitu atataka ukigharamikie wewe.
Kuna pisi ilinifanyia suprise ya kijinga sana, imetoa oda ya picha ya kuchora kwa mchoraji, imekamilika ananipigia simu anadaiwa nilipie ile picha nikaona huu ujinga siwezi.
Hivi mlilogewa? Maana kila nikiwaza sipati jibukama ulikuepoπππ
πππme naomba basiπππnamba ya kutuma si unayoUkiomba tu hela na ndio mwanzoni namimi naomba tunda nilimenye.
Pilau lazima mle hata la msibaInatukucheleweshea lile jambo lako wahuni tukose pilau
Si ni ile ile inayoishia na jina la mzee sabasita?πππme naomba basiπππnamba ya kutuma si unayo
Umeingia chama cha mikopo chef chef! Shtukaaa mzeeππ ananiambia bado mapema tungoje mvua 3 zipite lakini huduma anataka niendelee kutoa.
π mwaka juzi ilinitokea hiyo ila mbinu ya kuwa na akiba mfukoni au kwenye simu iliniokoa/ilituokoa.Demu anakuchagulia location halafu anataka akifika aspend ila bill ulipe wewe πππ