Dunia ya zama za nipe nikupe, wanawake kama huna utayari wa kutoa usitegemee kupokea

THREAD IFUNGWE!!!!!
 
Kuna wakati wanawake huwa tunazidiwa na ushamba mpaka tunajiabisha na kujichoresha kupita maelezo.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] zaman kipindi cha ukeketaji ilikua ni haki tugharamike kila kitu ,ila sasa ivi kama ni utamu tunapata wote , ya nini mmoja tu atoboke mfuko?
Hapana bado hamjamaliza, siku mkiachana na mtazamo wa kwamba mwanamke kuchelewa kuolewa au kuwa na wanaume wengi ni Malaya, basi wanawake nao wataanza kutoboka kama nyie [emoji4][emoji4]
 
Haaaahaaahaa....hiyo utatoa hutoi ndio hiyo sasa
 
Hapana bado hamjamaliza, siku mkiachana na mtazamo wa kwamba mwanamke kuchelewa kuolewa au kuwa na wanaume wengi ni Malaya, basi wanawake nao wataanza kutoboka kama nyie [emoji4][emoji4]
Huko tulishatoka mkuu yote hayo tuliyafanya ili kumheshimisha mwanamke ila kwa sasa tumegundua hamtaki hizo mishe tena.
 
Kama nawaona mademu na vikongwe wa humu wanavyosonya na machozi kulengalenga!...tena ushirikiano grade one yaan atoe utamu na aingize mwenyewe,ikichomoka aingize tena huku na mauno ya kutosha!si rahisi kupewa misimbazi na mtu asie nduguyo na huwa tunatoa huku nyoyo zinamwaga damu so lazma pawepo na healing center ili mzani uwe balanced!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…