Duniani Dini inayotambulika ni moja Uislamu na ulikuwepo kabla ya adamu( a.s)

Duniani Dini inayotambulika ni moja Uislamu na ulikuwepo kabla ya adamu( a.s)

Hiyo zaburi
... Soma kuhusu uislamu ni nini? Utapata jibu, huwezi kupata maarifa bila kusoma
Someni . mtume Mohammad alikuja kukamilisha maana ndo mtume wa mwisho hakuna mwingine mpaka kiyama kinasimama.

QUR'AN
Ndo kitabu kitukufu pekee duniani maana kimekamilika kila idara utofauti unakuja kutokana na de way kila mtu anavyoelewa ndo maana baadhi ya mambo yanakuwa kama yanachanganya. Ila Aya imechambua kila kitu japo watu ukiona jambo wanalikadhania tambua kuna watu wanahitaji liwe dogo kumbe wanajidanganya.

Yesu anatambulika katika vitabu vyote zaburi, injili, torat na Qur'an, kama Mtume wa Mwenyezi Mungu.

Hata wewe mkristo ni muislamu kwa baadhi ya mambo ila kwakuwa bado ujamkubali mtume Mohammad kuwa ndo mtume wa Mwisho mpaka kiyama cha simama We bado ujawa muislamu kamili.

Nakukaribisha kwenye Uislamu, uislam hauna longolongo upendo na Amani. Uislamu ni ukombozi.

... nawatakia Eid Mubarak
 
Mithali 4:14-15

Usiingie katika njia ya waovu, Wala usitembee katika njia ya wabaya. Jiepushe nayo, usipite karibu nayo, Igeukie mbali, ukaende zako.
 
Daaah,, jamani msameheni mtoa mada atakuwa kakurupuka tu huyu.
Wao ndio wamekurupuka.

Nawafananisha na msafiri aliyepita nyikani Toka mwanzo wa safari mpaka anafika hajawahi geuka nyuma.

[emoji116]Hawa waliokula Idi walikua dini Gani?

Hosea 9:5
Mtafanya nini katika siku ya mkutano wa idi, na katika siku ya karamu ya Bwana?
 
Dah huyo mwarabu alikua na vituko kweli, sikuyajua haya, kumbe alifanya na vituko vya kishoga kunyonyana denda na wanaume.
Na bado ukumbuke aligegeda katoto ka miaka 9 Aisha.
Sijui kitu gani huwa amelisha Hawa watu ambao humuabudu Gavana Bwana Utam

 
Dah huyo mwarabu alikua na vituko kweli, sikuyajua haya, kumbe alifanya na vituko vya kishoga kunyonyana denda na wanaume.
Na bado ukumbuke aligegeda katoto ka miaka 9 Aisha.
Sijui kitu gani huwa amelisha Hawa watu ambao humuabudu Gavana Bwana Utam
 
... Soma kuhusu uislamu ni nini? Utapata jibu, huwezi kupata maarifa bila kusoma
Someni . mtume Mohammad alikuja kukamilisha maana ndo mtume wa mwisho hakuna mwingine mpaka kiyama kinasimama.

QUR'AN
Ndo kitabu kitukufu pekee duniani maana kimekamilika kila idara utofauti unakuja kutokana na de way kila mtu anavyoelewa ndo maana baadhi ya mambo yanakuwa kama yanachanganya. Ila Aya imechambua kila kitu japo watu ukiona jambo wanalikadhania tambua kuna watu wanahitaji liwe dogo kumbe wanajidanganya.

Yesu anatambulika katika vitabu vyote zaburi, injili, torat na Qur'an, kama Mtume wa Mwenyezi Mungu.

Hata wewe mkristo ni muislamu kwa baadhi ya mambo ila kwakuwa bado ujamkubali mtume Mohammad kuwa ndo mtume wa Mwisho mpaka kiyama cha simama We bado ujawa muislamu kamili.

Nakukaribisha kwenye Uislamu, uislam hauna longolongo upendo na Amani. Uislamu ni ukombozi.

... nawatakia Eid Mubarakha...
Uislam umeanza Karne ya 4 na Quran imeandikwa haijanguka kutoka mbinguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dini ya ajabu sana hii..Kuna takataka nyingi zimefichwa nyuma ya pazia kwenye quran..kuna uongo mwingi sana..mfano et Quran imeshushwa..seriously??Uislam ni brainwashing mashine
 
Mtu mmoja ampige Kofi atoke kwenye hiyo ndoto ya kutisha kabla hajakojoa kitandani
 
Uislamu ni dini ya hovyo sana.
Eti wameambiwa wasihoji sana kuhusu Dini yao kwakuwa kuna Aya majibu yake lazima yatawachukiza.

Surah Al-Maidat Ayah 101

يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ لَا تَسۡ‍َٔلُواْ عَنۡ أَشۡيَآءَ إِن تُبۡدَ لَكُمۡ تَسُؤۡكُمۡ وَإِن تَسۡ‍َٔلُواْ عَنۡهَا حِينَ يُنَزَّلُ ٱلۡقُرۡءَانُ تُبۡدَ لَكُمۡ عَفَا ٱللَّهُ عَنۡهَاۗ وَٱللَّهُ غَفُورٌ حَلِيمٞ
Enyi mlio amini! Msiulize mambo ambayo mkidhihirishiwa yatakuchukizeni. Na mkiyauliza inapo teremshwa Qur’ani mtabainishiwa. Mwenyezi Mungu amesamehe hayo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye maghfira Mpole.

Kama haya hapa.

Surah Al-Baqarat Ayah 223

نِسَآؤُكُمۡ حَرۡثٞ لَّكُمۡ فَأۡتُواْ حَرۡثَكُمۡ أَنَّىٰ شِئۡتُمۡۖ وَقَدِّمُواْ لِأَنفُسِكُمۡۚ وَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ وَٱعۡلَمُوٓاْ أَنَّكُم مُّلَٰقُوهُۗ وَبَشِّرِ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ
Wake zenu ni kama konde zenu. Basi ziendeeni konde zenu mpendavyo. Lakini jitangulizieni kheri nafsi zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu, na jueni kuwa hakika nyinyi mtakutana naye. Na wape bishara njema Waumini.

Katika ufafanuzi wa hii Aya kutokana na Qurani iliyoandikwa na Ali Juma Mayunga na kuchapishwa na Taasisi ya Ansariyan mwaka 2003. Katika Ukurasa wa 108.
Unasema, nanukuu.

"Imepokelewa kwa Naafi. Anasema: Aliniuliza Abdallah bin Umar bin Khatab: 'unajua Aya hii (223 Sura 2) ilishushuka kwa ajiri gani ?' Nikajibu: La, sijui. Akasema: Imeshuka kwa ajiri ya kuwaingilia wanawake katika tupu zao"
Mwisho wa kunukuu.

Kisa kilichotokea kinaelezwa katika ukurasa wa 107.
Huyu Umar bin Khatab usiku wa jana alimwingilia mke wake kinyume na maumbile. Siku ya pili alipomwona Mtume anapiga ukelele "Nimeangamia" Mtume akamwuliza Jambo gani lililo kuangamiza? Umar akamwambia alivyomgeuza mke wake .
Mtume akatulia kidogo bila kuongea kitu baada ya muda Aya hiyo ya 2:223 ikashuka kama Wahayi.

( Huo ni ufafanuzi wa mazingira ya kushuka hiyo Aya ndio maana Umar alimfafanulia Naafi hapo juu jinsi Mtume alivyo msisitiza kwa maneno kabisa baada ya Aya kushuka na kusema "Mwelekeze mbele au nyuma" )

Kwa majibu haya Mwislamu lazima akatazwe kuuliza ufafanuzi wa baadhi ya Aya za Qurani. Maana majibu yake lazima Yatamchukiza kama Aya 4:101 inavyo elekeza.

Mwenye Qurani iliyochapishwa na Taasisi na mwandishi wa hapo juu asome hizo fafanuzi katika kurasa nilizo ziweka hapo juu ili kujiridhisha.

Nilichosema ni kweli na kweli tupu.
Jina la Bwana Lihimidiwe liwaepushe watu kushawishiwa kuwa Waislamu. Uislamu umeficha uovu mwingi sana.

Nawasilisha.
 


Hizi video huwa unateseka kupos huwa sihangaiki kuzitazama....hehehe nafuata mlichoandika kwenye vitabu vyenu
Nataka nifuatilie hizo aya, kumbe alikua shoga kabisa na mnamuabudu, yaani shoga na pia paedophile.
 


Hizi video huwa unateseka kupos huwa sihangaiki kuzitazama....hehehe nafuata mlichoandika kwenye vitabu vyenu
Nataka nifuatilie hizo aya, kumbe alikua shoga kabisa na mnamuabudu, yaani shoga na pia paedophile.
 
Back
Top Bottom