Duniani kote usafiri wa reli ndiyo rahisi kuliko wote. SGR tulitegemea kuwa kiama cha usafiri wa mabasi na malori, imeshindikana

Wamekuambia Bei rahisi Ni kiasi gani?
Huko hawatumii treni kama hizi za kwetu zenye spidi hii ya kinyonga inayolingana na spidi ya Vitz au Noah. Za kwao ni ndege za chini zinazo fly over the rail in vacuum at a speed of an aeroplane, my dear. Na hazisimami simami njiani. Ni city to city only. Za kwetu ni za kawaida tu za walala hoi.

Engine na mabehewa yake yanaweza kuwa adjusted upana na kuweza kutembea kwenye reli ya MGR yakitumia dizeli kama ulivyoyaona yakichapa kazi juu ya MGR baada ya kuwasili nchini hivi karibuni.
 
Duniani kote? Si kweli Japan, China na nchi nyingi Ulaya usafiri wa treni si bei rahisi hivyo kama unavyodai!
 
Duniani kote? Si kweli Japan, China na nchi nyingi Ulaya usafiri wa treni si bei rahisi hivyo kama unavyodai!
 
Mtajuana huko huko na ma sgr yenu,kwanza Hilo limradi sijawahi likubali hata siku Moja Ni tembo mweupe Kama Ndege zenu mtumba
 
Umeme lazima uwe ghali zaidi ili kuoffset artificial costs zinazosababishwa na ufisadi ambao bado unaendelea kutendwa TANESCO.
Sio umeme tu, projects zote za Serikali costs zake huwa x3 zaidi ya uhalisia!
 
Reactions: RMC
Sasa km nauli ya Treni ni kubwa kuliko ya ndege si Bora kupanda ndege ambayo kwanza nitatumia muda mfupi kufika,km Hali ya nauli itakua ivi ni mtu gani atapanda izo Treni wakati ndege zipo?hapa pesa za wananchi zimepotea bule

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Mimi pia nimeshtuka sana sasa km bei ya Treni ni sawa na ndege ivi kuna haja ya kupanda Treni ambayo inatumia masaa 7 wakati nauli yake ni sawa na ndege yenye masaa 2

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mtindo huu miziz imekomaa na ni ngumu kuikata, hii nchi ni ngumu sana maana uzalendo hakuna,kila mtuanawaza tumbo lake na boss amewapa ruksa ya kula kwa urefu wa kamba zao
 
Tanzania kwa sasa inahitaji treni za kawaida tu, SGR ni anasa zisizo za lazima na white elephant project.
 
Duniani kote usafiri wa reli ndiyo usafiri wa bei rahisi sana kuliko usafiri mwingine wowote. Malengo makuu ya kuboresha usafiri huu kwa kiwango cha SGR yalikuwa:
Kama umewahi kufika huko duniani basi labda India na zile treni zao!

Duniani kwa maana ya duniani, kama unazungumzia treni zenye ubora, nauli ya treni ni very expensive ukilinganisha na nauli za mabasi

Na kama treni zenyewe ni bullets trains, ndo wala usiguse... Kibongo bongo kama unaleta Bullet Trains basi watakaoweza kupanda ni wale tu wenye uwezo wa kupanda ndege!
 
Wapi duniani usafiri wa treni ya haraka bei rahisi? Tupe mfano wa nchi 3 tu duniani?

Mtu uko Chato huko hata Dubai tu hujafika unaleta uongo wako hapa.
Itakuwa anazungumzia India huyu na zile treni zao unazokuta abiria wamejazana juu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…