Duniani kote usafiri wa reli ndiyo rahisi kuliko wote. SGR tulitegemea kuwa kiama cha usafiri wa mabasi na malori, imeshindikana

Duniani kote usafiri wa reli ndiyo rahisi kuliko wote. SGR tulitegemea kuwa kiama cha usafiri wa mabasi na malori, imeshindikana

Duniani kote usafiri wa reli ndiyo usafiri wa bei rahisi sana kuliko usafiri mwingine wowote. Malengo makuu ya kuboresha usafiri huu kwa kiwango cha SGR yalikuwa:

~Trip moja ya treni ya mizigo ingaliweza kusafirisha mzigo wa sawa na semi-trailers za malori 500 kwa mara moja, kwa spidi ya 120 kph na kwa bei ya sawa na bure ukilinganisha na malori.

Yaani mzigo wa ukubwa huo wa semi trailer 500 ungeweza kuondolewa kutoka bandari yetu ya Dar es Salaam kila siku na kufikishwa Mwanza au Kigoma ndani ya masaa 10 au 12 tu. Hakungalikuwa tena na mrundikano wa mizigo pale bandari ya Dar es Salaam.

Hata hizo bandari kavu zilizoko mkoa wa Dar es Salaam zingalikosa kazi. Bandari kavu zingalijengwa Mwanza na Kigoma. Uchumi wa nchi ungepaa kwa kasi kubwa na ndani ya muda mfupi tungeifikia Singapore ambayo uchumi wake unategemea bandari tu.

Barabara zetu zingalidumu zaidi kwani usafiri wa malori unalifikia kiama chake. Hata hizo ajali lukuki za barabarani zinazosababishwa na malori haya katika njia hizi kuu zingalifikia tamati. Traffic police wetu wangetafutiwa kazi zingine.

~ Hivyo ndivyo ingalikuwa kwa usafirishaji wa abiria. Trip moja ya passenger train yenye urefu wa si chini ya kilomita 3 ingalikuwa sawa na mabasi yasiyopungua 500 na wangalisafirishwa kwa raha kwa spidi ya 170 kph.

Yaani kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza au Kigoma ni mwendo wa saa 7 tu, kwa bei ya chee ukilinganisha na mabasi ambayo nayo yalikuwa yafikie kiama chake kwa njia hizi kuu za uchumi wa nchi na kuokoa uharibifu wa barabara zetu na ajali lukuki za barabarani. Uchumi wa nchi ungalipaa na wananchi wangalipata furaha.

Bahati mbaya kabisa matarajio hayo ya wananchi yameshindikana kufikiwa. TRC imepanga nauli za train hizo za spidi kubwa kuwa mara tatu ya bei za usafiri wa mabasi. Kwa sasa mtu anasafiri kwa basi kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kwa nauli ya Sh 55,000 hadi 65,000.

Hii ni nauli ya kupanda kwa mafuta kwa sababu ya Ukraine. Kabla ya hapo ilikuwa Shs 35,000 hadi 45,000 na tunategemea hiyo Ukraine itakapokwisha bei hizi zitarejea. Sasa TRC wamepanga ziwe Sh 150,000 kwani hadi Dodoma tu ni Sh 75,000. Yaani ni karibu sawa na nauli ya ndege. Hawa Waha na Wasukuma wetu kweli watazipanda hizo treni?

Bado TRC hawajatoa nauli za mabehewa ya mizigo. Kwa mantiki hiyo hiyo bei inayotarajiwa ni mara tatu ya bei ya kukodi lori la semi trailer. Hivyo tutegemee mambo kubaki kama kawa. Matajiri wa malori na mabasi wamekataa kufika kiama.

Wameshinda hiyo vita na inasemekana hata hizo treni za SGR zitaendeshwa na wafanya biashara binafsi kwa mtindo wa PPP (private public partnership)! Ni wajanja, wametupokonya SGR yetu tuliyoijenga na tunaendelea kuijenga kwa kodi zetu. Zingine tumekopa lakini tutazirejesha kwa kodi zetu.

Mapendekezo:
1. Nauli ya abiria kutoka Dar had Mwanza isizidi Sh 25,000 kwa economy class. Yaani isizidi nusu ya nauli ya basi. Hayo madaraja mengine mnaweza kuweka mnavyotaka. Hao wanaoishia njiani hususani Dodoma ziende kwa uhusiano huo wa umbali hadi Mwanza.

2. Behewa la mizigo bei yake isizidi theluthi moja ya bei ya kukodi lori.

3. Hakuna mantiki ya kuwa na tofauti ya nauli kati ya MGR inayotumia dizeli na SGR inayotumia umeme. Kwa vyovyote vile uendeshaji (running cost) ya ile ya umeme ni rahisi kuliko ile ya dizeli.

TRC lazima ijue kuwa jukumu lake ni kutoa huduma na si biashara ya kutaka kurejesha kile serikali imewekeza kwenye huo mradi wa SGR. Wanachotakiwa ni kukusanya tu pesa itakayowawezesha kulipa mishahara ya staff wao na mambo mengine ya uendeshaji.
SGR haitafanya kazi wapiga dili wanashindana kununua mabasi balaa
 
Duniani kote usafiri wa reli ndiyo usafiri wa bei rahisi sana kuliko usafiri mwingine wowote. Malengo makuu ya kuboresha usafiri huu kwa kiwango cha SGR yalikuwa:

~Trip moja ya treni ya mizigo ingaliweza kusafirisha mzigo wa sawa na semi-trailers za malori 500 kwa mara moja, kwa spidi ya 120 kph na kwa bei ya sawa na bure ukilinganisha na malori.

Yaani mzigo wa ukubwa huo wa semi trailer 500 ungeweza kuondolewa kutoka bandari yetu ya Dar es Salaam kila siku na kufikishwa Mwanza au Kigoma ndani ya masaa 10 au 12 tu. Hakungalikuwa tena na mrundikano wa mizigo pale bandari ya Dar es Salaam.

Hata hizo bandari kavu zilizoko mkoa wa Dar es Salaam zingalikosa kazi. Bandari kavu zingalijengwa Mwanza na Kigoma. Uchumi wa nchi ungepaa kwa kasi kubwa na ndani ya muda mfupi tungeifikia Singapore ambayo uchumi wake unategemea bandari tu.

Barabara zetu zingalidumu zaidi kwani usafiri wa malori unalifikia kiama chake. Hata hizo ajali lukuki za barabarani zinazosababishwa na malori haya katika njia hizi kuu zingalifikia tamati. Traffic police wetu wangetafutiwa kazi zingine.

~ Hivyo ndivyo ingalikuwa kwa usafirishaji wa abiria. Trip moja ya passenger train yenye urefu wa si chini ya kilomita 3 ingalikuwa sawa na mabasi yasiyopungua 500 na wangalisafirishwa kwa raha kwa spidi ya 170 kph.

Yaani kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza au Kigoma ni mwendo wa saa 7 tu, kwa bei ya chee ukilinganisha na mabasi ambayo nayo yalikuwa yafikie kiama chake kwa njia hizi kuu za uchumi wa nchi na kuokoa uharibifu wa barabara zetu na ajali lukuki za barabarani. Uchumi wa nchi ungalipaa na wananchi wangalipata furaha.

Bahati mbaya kabisa matarajio hayo ya wananchi yameshindikana kufikiwa. TRC imepanga nauli za train hizo za spidi kubwa kuwa mara tatu ya bei za usafiri wa mabasi. Kwa sasa mtu anasafiri kwa basi kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kwa nauli ya Sh 55,000 hadi 65,000.

Hii ni nauli ya kupanda kwa mafuta kwa sababu ya Ukraine. Kabla ya hapo ilikuwa Shs 35,000 hadi 45,000 na tunategemea hiyo Ukraine itakapokwisha bei hizi zitarejea. Sasa TRC wamepanga ziwe Sh 150,000 kwani hadi Dodoma tu ni Sh 75,000. Yaani ni karibu sawa na nauli ya ndege. Hawa Waha na Wasukuma wetu kweli watazipanda hizo treni?

Bado TRC hawajatoa nauli za mabehewa ya mizigo. Kwa mantiki hiyo hiyo bei inayotarajiwa ni mara tatu ya bei ya kukodi lori la semi trailer. Hivyo tutegemee mambo kubaki kama kawa. Matajiri wa malori na mabasi wamekataa kufika kiama.

Wameshinda hiyo vita na inasemekana hata hizo treni za SGR zitaendeshwa na wafanya biashara binafsi kwa mtindo wa PPP (private public partnership)! Ni wajanja, wametupokonya SGR yetu tuliyoijenga na tunaendelea kuijenga kwa kodi zetu. Zingine tumekopa lakini tutazirejesha kwa kodi zetu.

Mapendekezo:
1. Nauli ya abiria kutoka Dar had Mwanza isizidi Sh 25,000 kwa economy class. Yaani isizidi nusu ya nauli ya basi. Hayo madaraja mengine mnaweza kuweka mnavyotaka. Hao wanaoishia njiani hususani Dodoma ziende kwa uhusiano huo wa umbali hadi Mwanza.

2. Behewa la mizigo bei yake isizidi theluthi moja ya bei ya kukodi lori.

3. Hakuna mantiki ya kuwa na tofauti ya nauli kati ya MGR inayotumia dizeli na SGR inayotumia umeme. Kwa vyovyote vile uendeshaji (running cost) ya ile ya umeme ni rahisi kuliko ile ya dizeli.

TRC lazima ijue kuwa jukumu lake ni kutoa huduma na si biashara ya kutaka kurejesha kile serikali imewekeza kwenye huo mradi wa SGR. Wanachotakiwa ni kukusanya tu pesa itakayowawezesha kulipa mishahara ya staff wao na mambo mengine ya uendeshaji.
Sio kweli...
Nimesoma heading tu ya bandiko pasi kusoma nyama yake!

Fanya utafiti tena, utanishukuru baadae...
 
Duniani kote usafiri wa reli ndiyo usafiri wa bei rahisi sana kuliko usafiri mwingine wowote. Malengo makuu ya kuboresha usafiri huu kwa kiwango cha SGR yalikuwa:

~Trip moja ya treni ya mizigo ingaliweza kusafirisha mzigo wa sawa na semi-trailers za malori 500 kwa mara moja, kwa spidi ya 120 kph na kwa bei ya sawa na bure ukilinganisha na malori.

Yaani mzigo wa ukubwa huo wa semi trailer 500 ungeweza kuondolewa kutoka bandari yetu ya Dar es Salaam kila siku na kufikishwa Mwanza au Kigoma ndani ya masaa 10 au 12 tu. Hakungalikuwa tena na mrundikano wa mizigo pale bandari ya Dar es Salaam.

Hata hizo bandari kavu zilizoko mkoa wa Dar es Salaam zingalikosa kazi. Bandari kavu zingalijengwa Mwanza na Kigoma. Uchumi wa nchi ungepaa kwa kasi kubwa na ndani ya muda mfupi tungeifikia Singapore ambayo uchumi wake unategemea bandari tu.

Barabara zetu zingalidumu zaidi kwani usafiri wa malori unalifikia kiama chake. Hata hizo ajali lukuki za barabarani zinazosababishwa na malori haya katika njia hizi kuu zingalifikia tamati. Traffic police wetu wangetafutiwa kazi zingine.

~ Hivyo ndivyo ingalikuwa kwa usafirishaji wa abiria. Trip moja ya passenger train yenye urefu wa si chini ya kilomita 3 ingalikuwa sawa na mabasi yasiyopungua 500 na wangalisafirishwa kwa raha kwa spidi ya 170 kph.

Yaani kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza au Kigoma ni mwendo wa saa 7 tu, kwa bei ya chee ukilinganisha na mabasi ambayo nayo yalikuwa yafikie kiama chake kwa njia hizi kuu za uchumi wa nchi na kuokoa uharibifu wa barabara zetu na ajali lukuki za barabarani. Uchumi wa nchi ungalipaa na wananchi wangalipata furaha.

Bahati mbaya kabisa matarajio hayo ya wananchi yameshindikana kufikiwa. TRC imepanga nauli za train hizo za spidi kubwa kuwa mara tatu ya bei za usafiri wa mabasi. Kwa sasa mtu anasafiri kwa basi kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kwa nauli ya Sh 55,000 hadi 65,000.

Hii ni nauli ya kupanda kwa mafuta kwa sababu ya Ukraine. Kabla ya hapo ilikuwa Shs 35,000 hadi 45,000 na tunategemea hiyo Ukraine itakapokwisha bei hizi zitarejea. Sasa TRC wamepanga ziwe Sh 150,000 kwani hadi Dodoma tu ni Sh 75,000. Yaani ni karibu sawa na nauli ya ndege. Hawa Waha na Wasukuma wetu kweli watazipanda hizo treni?

Bado TRC hawajatoa nauli za mabehewa ya mizigo. Kwa mantiki hiyo hiyo bei inayotarajiwa ni mara tatu ya bei ya kukodi lori la semi trailer. Hivyo tutegemee mambo kubaki kama kawa. Matajiri wa malori na mabasi wamekataa kufika kiama.

Wameshinda hiyo vita na inasemekana hata hizo treni za SGR zitaendeshwa na wafanya biashara binafsi kwa mtindo wa PPP (private public partnership)! Ni wajanja, wametupokonya SGR yetu tuliyoijenga na tunaendelea kuijenga kwa kodi zetu. Zingine tumekopa lakini tutazirejesha kwa kodi zetu.

Mapendekezo:

1. Nauli ya abiria kutoka Dar had Mwanza isizidi Sh 25,000 kwa economy class. Yaani isizidi nusu ya nauli ya basi. Hayo madaraja mengine mnaweza kuweka mnavyotaka. Hao wanaoishia njiani hususani Dodoma ziende kwa uhusiano huo wa umbali hadi Mwanza.

2. Behewa la mizigo bei yake isizidi theluthi moja ya bei ya kukodi lori.

3. Hakuna mantiki ya kuwa na tofauti ya nauli kati ya MGR inayotumia dizeli na SGR inayotumia umeme. Kwa vyovyote vile uendeshaji (running cost) ya ile ya umeme ni rahisi kuliko ile ya dizeli.

TRC lazima ijue kuwa jukumu lake ni kutoa huduma na si biashara ya kutaka kurejesha kile serikali imewekeza kwenye huo mradi wa SGR. Wanachotakiwa ni kukusanya tu pesa itakayowawezesha kulipa mishahara ya staff wao na mambo mengine ya uendeshaji.
Weka takwimu siyo kubwabwaja tu mambo ya vijiweni
 
Wapi duniani usafiri wa treni ya haraka bei rahisi? Tupe mfano wa nchi 3 tu duniani?

Mtu uko Chato huko hata Dubai tu hujafika unaleta uongo wako hapa.
Aweke takwimu siyo atuletee mambo ya vijiweni
 
Mwanzoni Viongozi wakati wanautetee huu Mradi, walikua wanasema Watu watasafiri kwa kulipa nauli kwa nafuu kuliko Ma bus!

Sasa naona Lugha imebadirika.

Wenye Ma bus na Maroli walikua na wakati Mgumu sana, lakini mara baada ya Mapendekezo ya Nauli kutoka, Wanaacheeeeeka kwa Dharauuuuu!!!
 
Kwan kuna tren ambazo zinaenda bila vituo kama ndege
Asante kwa swali nzuri.
Mfano china kuna High speed SGR ambayo inatokea Guanzhou kwenda Beijing ambapo ni almost Kms 3000.
Train inakimbia almost 360-450 kms/hr so inasimama vituo vichache sana ili kufika Beijing.na njia yake imejengwa juu kwa juu kama daraja .
 
Aliyekudanganya nani hiyo MGR itaondolewa, huoni reli imeboreshwa na kuzidi kuboreshwa kutoka 45,56, 60 pounds hadi 80 pounds huoni zinanunuliwa advanced diesel electric locomotives, huoni yananunuliwa mabehewa mapya ebu acha kupotosha watu.

South Africa wana meter gauge, cape gauge na standard gauge hadi leo hii, ukitazama India wana standard gauge, broad gauge na bado hiyo meter gauge hawajaicha.

Kuna haja gani ya kufanya maboresho makubwa ikiwa wanahitaji kuiacha hiyo reli fuatilia kwanza ndo uandike siyo unakurupuka.
Munashangaza kidogo munapotutolea mifano ya nchi kama za Afrika kusini, India na nchi zingine ambazo tuko nazo kundi moja la low income countries. Semeni ni nchi gani ya kundi la high income country utakuta reli za MGR kwa sasa? Walikuwa nazo lakini kwa sasa walisha zitupilia mbali. Nenda uingereza, ufaransa hata japan hutazikuta. Na sisi ndiko tunakoelekea kwenye uchumi wa juu. Ni miaka mingapi ijayo tutafika huko ni suala jingine lakini kwa sarakasi hizi za mafisadi na mabeberu, ni dhahiri kwamba inaweza kutuchukua hadi kiama!
 
Weka takwimu siyo kubwabwaja tu mambo ya vijiweni
Aweke takwimu siyo atuletee mambo ya vijiweni
Labda ya kijiweni
Natumaini vijana mnajua kusoma kimombo. Someni angalao hapa, halafu mtupe mrejesho.

 
Sasa km nauli ya Treni ni kubwa kuliko ya ndege si Bora kupanda ndege ambayo kwanza nitatumia muda mfupi kufika,km Hali ya nauli itakua ivi ni mtu gani atapanda izo Treni wakati ndege zipo?hapa pesa za wananchi zimepotea bule

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app


Abiria ni nyongeza tu treni imetengenezwa kwasababu ya mizigo sio abiria. Kiuchumi kama ni abiria pekee ni hasara
 
Dr Akili,

Tatizo lako kwenye mijadala unasema "Dunia kote" bila kuwa na data. Kwa nchi nyingi za EU bei ya ticket za treni ya mwendo kasi ni zaidi ya ticket za ndege.

Lakini lingine mfano usafiri wa malori sio mbaya inategemea nchi gani hata nchi za wenzetu mfano hapa US usafiri wa malori ni mkubwa sana kiasi kwamba kuna upungufu wa madereva.

Hii ni kwasababu ya kuongezeka kwa mitandao na watu kununua vitu mitandaoni. Hivyo sio kweli inabidi tutengeneze barabara zetu vizuri bado na hii reli sana sana itapunguza tu mizigo sio kumaliza
Bw. Kamundu, habari za huko USA?
Utakubaliana na mimi kuwa USA, nchi yenye ukubwa wa eneo la 9.8 million square km (mara 10 ya eneo la Tanzania), ni kati ya nchi chache duniani ambazo usafiri wa reli siyo maarufu. Trains are not popular means of passenger and goods transportation. Ni tofauti sana na nchi kama za ulaya. Nchi ya China yenye ukubwa wa eneo sawa na USA (9.6 million square km) lakini lenye idadi ya watu mara 5 ya wale walioko USA, ndiyo magwiji wa usafiri wa reli. Reli zilizoko USA ni mali za makampuni za watu binafsi walizozijenga kwa ajili ya kusafirisha mizigo mikubwa kwenda nchi jirani, na hasa Canada ambayo ukubwa wake wa eneo unapita kidogo lile la USA lakini lina population ndogo sana sawa na ya Burundi. Hivyo usafiri wa ndani ya USA ni malori, mabasi na ndege. Domestic air travel in America is very cheap and more popular means of passenger travel than bus transport. Nadhani utakubaliana nami kuwa hakuna bullet trains huko Amerika. Usafiri wa reli si jadi wala utamaduni wa Amerika. Utamaduni wao ni usafiri wa anga ambao bei yake kwao ni nafuu sana ukilinganisha na huku kwetu. Mathalani tulifikia nauli ya kutoka Mwanza hadi Dar es Salaam kuwa sawa na nauli ya kutoka Dar es Salaam hadi New York.

Hizo nchi za ulaya magharibi ni tu nchi tudogo dogo sana lakini tu tajiri sana. Yaani jumla la eneo lake combined halilifikii eneo la Tanzania lakini population yake ni zaidi ya mara 10 ya population ya Tanzania. Yaani kwa mfano nchi kama England eneo lake ni sawa na la mkoa wa Mwanza lakini population yake ni watu million 68 (zaidi ya population ya Tanzania ambayo ni 61 million) wakati population ya Mwanza ni watu million 3.8 tu. Hizi ndizo nchi ambazo most popular domestic mode of passenger and goods transportation is railway. Na treni zao ndizo hizo bullet trains zenye kasi kama ya ndege lakini gharama yake ya nauli zake ni ndogo kuliko ya mabasi. Yaani bullet trains ndiyo daladala zao za mijini na safari za kuunganisha miji na miji ambayo iko karibu karibu tu siyo kama ya kwetu. Kwa mfano kutoka mji wa London hadi mji wa Oxford ni kilomita 82, hadi mji wa Birmingam kilomita 163 na hadi mji wa Bristol ni kilomita 171 tu; yaani ni safari kama za kutoka Dar es Salaam hadi Chalinze au kutoka Mwanza hadi mjini Magu tu ndiko unaenda kwa bullet speed na ndani ya dakika zisizozidi 15 unakuwa umeshafika huko. Unaweza pia kutoka London hadi mji wa Paris nchini Ufaransa ambao ni mwendo wa kilomita 344 kwa bullet train na kutumia kama saa mmoja tu. Huu ni kama mwendo wa kutoka Dar hadi Morogoro.

Hivyo mazingira na malengo yetu ni tofauti sana na hayo ya EU countries au USA na Japapan. Ya kwetu yanafanana na ya nchi kama ya Uchina.
 
Bw. Kamundu, habari za huko USA?
Utakubaliana na mimi kuwa USA, nchi yenye ukubwa wa eneo la 9.8 million square km (mara 10 ya eneo la Tanzania), ni kati ya nchi chache duniani ambazo usafiri wa reli siyo maarufu. Trains are not popular means of passenger and goods transportation. Ni tofauti sana na nchi kama za ulaya. Nchi ya China yenye ukubwa wa eneo sawa na USA (9.6 million square km) lakini lenye idadi ya watu mara 5 ya wale walioko USA, ndiyo magwiji wa usafiri wa reli. Reli zilizoko USA ni mali za makampuni za watu binafsi walizozijenga kwa ajili ya kusafirisha mizigo mikubwa kwenda nchi jirani, na hasa Canada ambayo ukubwa wake wa eneo unapita kidogo lile la USA lakini lina population ndogo sana sawa na ya Burundi. Hivyo usafiri wa ndani ya USA ni malori, mabasi na ndege. Domestic air travel in America is very cheap and more popular means of passenger travel than bus transport. Nadhani utakubaliana nami kuwa hakuna bullet trains huko Amerika. Usafiri wa reli si jadi wala utamaduni wa Amerika. Utamaduni wao ni usafiri wa anga ambao bei yake kwao ni nafuu sana ukilinganisha na huku kwetu. Mathalani tulifikia nauli ya kutoka Mwanza hadi Dar es Salaam kuwa sawa na nauli ya kutoka Dar es Salaam hadi New York.

Hizo nchi za ulaya magharibi ni tu nchi tudogo dogo sana lakini tu tajiri sana. Yaani jumla la eneo lake combined halilifikii eneo la Tanzania lakini population yake ni zaidi ya mara 10 ya population ya Tanzania. Yaani kwa mfano nchi kama England eneo lake ni sawa na la mkoa wa Mwanza lakini population yake ni watu million 68 (zaidi ya population ya Tanzania ambayo ni 61 million) wakati population ya Mwanza ni watu million 3.8 tu. Hizi ndizo nchi ambazo most popular domestic mode of passenger and goods transportation is railway. Na treni zao ndizo hizo bullet trains zenye kasi kama ya ndege lakini gharama yake ya nauli zake ni ndogo kuliko ya mabasi. Yaani bullet trains ndiyo daladala zao za mijini na safari za kuunganisha miji na miji ambayo iko karibu karibu tu siyo kama ya kwetu. Kwa mfano kutoka mji wa London hadi mji wa Oxford ni kilomita 82, hadi mji wa Birmingam kilomita 163 na hadi mji wa Bristol ni kilomita 171 tu; yaani ni safari kama za kutoka Dar es Salaam hadi Chalinze au kutoka Mwanza hadi mjini Magu tu ndiko unaenda kwa bullet speed na ndani ya dakika zisizozidi 15 unakuwa umeshafika huko. Unaweza pia kutoka London hadi mji wa Paris nchini Ufaransa ambao ni mwendo wa kilomita 344 kwa bullet train na kutumia kama saa mmoja tu. Huu ni kama mwendo wa kutoka Dar hadi Morogoro.

Hivyo mazingira na malengo yetu ni tofauti sana na hayo ya EU countries au USA na Japapan. Ya kwetu yanafanana na ya nchi kama ya Uchina.


Mimi tatizo langu ni wewe kutumia neno “Dunia nzima” kitu ambacho sio kweli. Mimi nimepita Europe hata mwezi haujaisha kuna treni zina bei zaidi ya ndege lakini naongelea treni mwendo kasi. Mimi naomba tu usitumie majina ya umoja kama Dunia nzima. Vilevile sema kwamba ni mawazo yako usi andike mawazo yako kama facts wakati ni mawazo!
 
linalowezekana kwingine dunia Tanzania huwa ni gumu sana na lisilowezekana kwingine duniani Tanzania huwa linawezekana... Tanzania ni nchi ipo Duniani hapa lakini inautaratibu tofauti kabisa na nchi yeyote katika dunia hii.
 
LATRA na Rushwa za wamiliki Wa mabasi ni Ndugu moja!!

Wamefunga vingamuzi kwenye mabasi Kwa ajili ya kudhibiti mwendo Kasi Badala ya kufunga kingamuzi pamoja na speed limit kama Kenya na nchi nyingine za Afrika ambapo gari za mizigo na Abiria speed zimedhibitiwa kwenye accelerator . Huwezi kutembea zadi ya speed iliyotajwa Kisheria. Ukichakachua speed limit Kingamuzi kinasoma unafungiwa KUFANYA Biashara hiyo.

Huku Tanzania LATRA inatunga kanuni Kila Siku za speed lakini kinachoendelea ni kuwekeana mikeka ya mamilioni kwenye vikampuni vidogo vya mabasi Ili vikome kushindana na Akina ESTÁ wanaokimbia kama treni ya mwendo Kasi.

Hata treni ya mwendo Kasi Kwa Sasa itakua ni mradi mfu mana wenye kulamba asali wamejipanga Kila eneo kuhakikisha utajiri Wa Nchi hii unamilikiwa na familia za watu Wa Chache waliopewa nchi kilaini kabisa na SIO Kwa kumwaga damu kama walivyofanya Akina Kenyatta Kule Kenya.

Ni Sanaa tupu Wenye Malory na mabasi ni wengi ni walamba asali. Wenye treni ni watanzania wanyonge wasio na mtetezi zaidi ya kuambiwa kuwa washukuru Kwa kile kinachofanywa na serikali mana baba ZAO hawajajenga Hata choo Cha shimo sembuse CHUO kikuu.
"CHUO ulichosoma amajenga baba yako"
 
Toeni CCM mtafikia malengo mnayoyategemea.....kikubwa wanachofanya Hawa ni low thinking na kukandamiza demokrasia kwa gharama za Kodi zetu
 
Hizo mantiki (logics) za ufikiri wa mtindo huo, huwa hazina mashiko na ni fikira potofu au fikira mgando.
Wacha wee...

Tuna Bush Lawyers, na bila shaka tunao Bush Economists!
Dunia inaendelea kwa kasi kubwa. Dunia ya leo ni ya kidijitali inayotumia mitandao ya kikomputa. Mamillion ya watu wamepoteza ajira zao za awali kwa sababu kazi hizo sasa zinafanywa komputa na robots tena kwa ufanisi mkubwa zaidi. Hususani kiwanda kilichokuwa kinaajiri wafanyakazi 100, sasa kinaajiri wafanyakazi 10 tu kwani kazi nyingi zinafanywa na komputa.
Huoni aibu unavyojaribu kulinganisha labor intensive state vs highly advanced states?!

Unalinganisha nchi zinazozalisha malaki ya ajira kwa mwaka na hivyo kuwezesha labor movements among sectors of economy wakati nchi yako haina uwezo huo!!

Unalinganisha nchi ambazo zina malaki kwa malaki ya fursa huku nchi yako ikiwa na limited opportunities...

In short, as usual, uelewa wako katika masuala ya uchumi ni duni!!
Aina nyingi za kazi kwa sasa hazina tena soko la ajira duniani.
Acha kukariri... tunazungumzia Tanzania na sio kwingineko duniani!!

All economic practices zinazofanyika kwa kuangalia kwingine duniani badala ya kuangalia mazingira ya nchi husika kwa kawaida ni practices zinazoishia kufeli.

Na ndo maana, back in 1993, akihutubia Jukwaa la Uongozi, Afrika, Lee Kuan Yew, aliyeipaisha Singapore alielezea jukwaa hilo sera zake zilzoifanya Singapore kuwa ilipo. Baada ya kueleza mengi, kisha akasema haya:-
Can I explain the reasons for the differences? I had difficulty in extracting the principles underlying Singapore’s policies that could be relevant to our countries in Africa. Finally I asked myself, if I were in Africa and had to govern Nigeria or Ghana or Kenya or Tanzania, what would I do in the same way as in Singapore?

Hata vyuo vyingi vimeshasitisha au kupunguza sana ufundishaji wa kozi hizo.
Kozi zipi?

We jamaa mbona MUONGO SANA wewe?!
Leo hii kwa kubonyeza tu kitufe, komputa yako inaanza kutaipu unachokisema tena kwa spidi kali bila makosa kuliko typist au sekretare uliyemwajiri.
Kwahiyo hapo ndo tayari unadhani unafahamu vema masuala ya teknolojia na impact yake kwenye uchumi, ama?!

Before 2015 nimefanya sana kazi za freelancing, na moja ya lucrative gigs ilikuwa Translation kabla ya Wakenya hawajavamia.

Pamoja na kwamba zilikuwa translation softwares lakini bado ALL TIME Clients walilisisitiza Manual Translation!

Nalazimika kutoa hiyo mifano ingawaje hapakuwa na sababu za msingi kwa sababu hapa tunazungumzia ni namna gani unaweza kushabikia suala la kuondoa mabasi 500 kwenye mzunguko bila kuangalia economic impact. Hata hivyo, hapa unaishia kutoa mifano ambayo ni VERY IRRELEVANT.
Leo hii daktari mmoja wa upasuaji (surgeon) kwa kutumia robot (computerized robot) anaweza kufanya idadi kubwa ya operesheni kwa siku sawa na idadi ambayo ingefanywa na madaktari 100, tena kwa ufanisi mkubwa zaidi. Na ndivyo hivyo hivyo kwa kazi nyingi zingine zikiwamo hizo unazozitetea za madereva, wakata tiketi, wapiga debe, utingo, mama lishe etc.
Mfano mwingine IRRELEVANT... Jikite kwenye hoja!
Watatafuta kazi zingine hususani za kilimo kwani tuna ardhi tele hadi nusu ya ardhi yetu tumeachia wakae nyumbu zetu, tembo, fisi na wanyama wengine.
Sasa kwa akili zako hizo si utasema huko nako tutumie robot kwenye huu ambao tunaelekea kwenye Agricultural AI !
Hayo mafuta ya mabasi na malori yatakayo okolewa yatatumika sehemu zingine za kiuchumi hasa viwandani na kilimo.
Kwanini yasiendelee kutumika huko kwenye mabasi kisha tukaangiza mafuta mengine kwa ajili ya huko kwingine?
Huu ndiyo uchumi wa leo ambao tulitegemea hizi treni za kisasa zingalitusaidia kutuvusha.
Kausome uchumi, na uuelewe!

Uchumi ni moja ya nyanja ambazo hazitaki kukariri bali kuelewa!
Tusikubali kushindwa na mafisadi.
Ni wapi Mafisadi wanaweza kufaidika zaidi kati ya kuondoa mabasi barabarani na kuyaacha mabasi barabarani?

Kama reliable mode of transportation itabaki kuwa treni peke yake ina maana major players watakuwa Wanasiasa na Government Officials...

Hao ndio watatoa tenda za ku-supply nishati ili treni iendelee kuwa operational...

Hao ndio watatoa tenda za vyakula ili treni ziweze kuuza vyakula

Hao ndo watakamatia ajira kwenye sekta ya usafiri...

Hao ndo watakamatia tenda za kuagiza mabehewa mengi zaidi kwa sababu demand ni kubwa kutokana na monopoly..., and so on!

What about mabasi?

Kusoma
hujuji, ina maana hata picha ukutani huzioni?
 
Mimi tatizo langu ni wewe kutumia neno “Dunia nzima” kitu ambacho sio kweli. Mimi nimepita Europe hata mwezi haujaisha kuna treni zina bei zaidi ya ndege lakini naongelea treni mwendo kasi. Mimi naomba tu usitumie majina ya umoja kama Dunia nzima. Vilevile sema kwamba ni mawazo yako usi andike mawazo yako kama facts wakati ni mawazo!
Pole sana kama jina la title ya thread hii limekukwaza. Bila shaka kama ingaliandikwa, "Duniani kote isipokuwa nchi chache kama USA, usafiri wa reli ndiyo rahisi kuliko wote ....", bila shaka haungalikwazika.

Licha ya maneno kuwa mengi, title kama hiyo ingalikosa nguvu na kupuuzwa on the spot na hawa jamaa zetu walengwa ambao wamekuwa wakituzengua sana hapa nchini Tanzania kila siku kwa masilahi yao binafsi. Jamaa hawa ni pamoja na TRC, LATRA, wafanya biashara wakubwa wa usafiri wa mabasi, semi trailer lorries na baadhi ya wanasiasa. Jamaa hawa wamekuwa wakiwaaminisha wananchi wetu kila kukicha kwamba America na nchi za EU ndiyo dunia. Na kwamba kinachofanyika America na ulaya ndiyo nasisi tunapaswa kukifanya. Wamefika hadi kututishia kwamba tutashitakiwa kwenye dunia tukishindwa kile dunia inataka tukifanye au tuishi. Hawa jamaa wanajifanya ni waumini wa mwimbaji maarufu wa USA, Michael Jackson aliyeimba, "We are the world" akiimanisha USA ndiyo dunia. Nadhani nimeeleweka.
 
Back
Top Bottom