Pole sana kama jina la title ya thread hii limekukwaza. Bila shaka kama ingaliandikwa, "Duniani kote isipokuwa nchi chache kama USA, usafiri wa reli ndiyo rahisi kuliko wote ....", bila shaka haungalikwazika.
Licha ya maneno kuwa mengi, title kama hiyo ingalikosa nguvu na kupuuzwa on the spot na hawa jamaa zetu walengwa ambao wamekuwa wakituzengua sana hapa nchini Tanzania kila siku kwa masilahi yao binafsi. Jamaa hawa ni pamoja na TRC, LATRA, wafanya biashara wakubwa wa usafiri wa mabasi, semi trailer lorries na baadhi ya wanasiasa. Jamaa hawa wamekuwa wakiwaaminisha wananchi wetu kila kukicha kwamba America na nchi za EU ndiyo dunia. Na kwamba kinachofanyika America na ulaya ndiyo nasisi tunapaswa kukifanya. Wamefika hadi kututishia kwamba tutashitakiwa kwenye dunia tukishindwa kile dunia inataka tukifanye au tuishi. Hawa jamaa wanajifanya ni waumini wa mwimbaji maarufu wa USA, Michael Jackson aliyeimba, "We are the world" akiimanisha USA ndiyo dunia. Nadhani nimeeleweka.
Naomba tu usema facts na kama ni mawazo basi sema kwa mawazo yangu usiongee mawazo kama vile ni facts! Na kama ni facts weka data example nauli etc au uliza kwanza. Tumekuwa na tabia ya kuandika mawazo binafsi kama facts hivyo hili sio tatizo lako pekee ni utamaduni mbaya ambao najaribu kuutoa hasa hapa