General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
- Thread starter
-
- #61
Tatizo watu humu hufikiri kwa akili za kufikiaa.Upendo ni kitu gani kwani mfano nisingezaliwa ningefahamu nn kuhusu Upendo m nadhani Upendo ni utashi wa viumbe wanaoishi duniani hauna uhusiano na kiumbe ambacho akijafikirika kutokea
Huwa nashangaa kweli watu tukishukuru Wazazi hasa Mama eti kwa kukuleta duniani.
Kuna kipi hasa cha maana huku duniani mpaka uwashukuru hao wazazi?
Yani tumetengeneza kitu kwamba huko ulikokuwepo hapakuwa sehem nzuri kuliko dunian.
Kama dunia kwako imejaa Mateso kwanini isiwe Lawama kwao? Hivi kwanza uliwaomba hao wazazi wakuzae?
Mi naona hakuna haja ya kushukuru mzazi yoyote katika hili. Kwasababu hamkukubaliana kukuleta duniani, walifanya kwa malengo yao, hivyo wao ndio walipaswa kukunyenyekea kukuleta huku.
Maisha hayana maana yoyote ile kwani mwisho wa siku kuna kufa, baada ya kufa kila ulichokifanya hakina maana tena kwako.
Kwani uliwaomba? Ingekuwa uliandika barua ya maombi hapo sawa.
Kubeba mimba si ilikuwa mipango yao?
Nakumbuka hili swali nilishawahi kuulizwa na mwalimu wangu wa somo la philosophy enzi hizo niko form six...by that time sikuweza hata kuelewa !
This is very wide topic...! It would need a day debate between the experts trying to give a promising answers because one one will find unquestionable answer..
To understand this you should believe in Theism. Theists believe God created the universe and that God had a purpose in doing so. Theists also hold the view that humans find their meaning and
purpose for life in God's purpose in creating...
Car is made for purpose of being driven..
Weapons are made for purpose of being used in war..
Door is purposefully made for allowing passage to the building and acting as security tool on the same...
Human being, we are made in an image of God ! We are 100% related to God...we are made for his fulfilments...
1.Theist =a person who believe God's existance. (Mtu anayeamini kuwa Mungu yupo/au miungu)Bado sijaelewa maana ya THEIST/ATHEIST. please dadavua kwa kina na mifano
Dah sijui uliwaza nini mkuu yaani nimecheka sana kwa hili jibu,naomba Mungu aniongezee siku za kuishi ili niendelee kufurahi namna hii ninapokutana na majibu ya hivi.Nimeitathimini hii mada kwa mda na umakini...... Kwakweli ni Mada Nzito.
Kukoment kwahitaji walau hao waliokataa kuzaliwa wachangie tupate ya upande wao then kieleweke...[emoji16] [emoji16] [emoji35] [emoji35]
yani huwa najiuliza kama mwisho wa maisha ni kufa sasa haya maisha yana maana gani?Ki ukweli mi mwenyewe huwa naona the whole point of living is useless, dunia imejaa struggle nyingi za kijinga tuu
Ubinadamu kazi
Hii kiboko kabisaHuwa nashangaa kweli watu tukishukuru Wazazi hasa Mama eti kwa kukuleta duniani.
Kuna kipi hasa cha maana huku duniani mpaka uwashukuru hao wazazi?
Yani tumetengeneza kitu kwamba huko ulikokuwepo hapakuwa sehem nzuri kuliko dunian.
Kama dunia kwako imejaa Mateso kwanini isiwe Lawama kwao? Hivi kwanza uliwaomba hao wazazi wakuzae?
Mi naona hakuna haja ya kushukuru mzazi yoyote katika hili. Kwasababu hamkukubaliana kukuleta duniani, walifanya kwa malengo yao, hivyo wao ndio walipaswa kukunyenyekea kukuleta huku.
Maisha hayana maana yoyote ile kwani mwisho wa siku kuna kufa, baada ya kufa kila ulichokifanya hakina maana tena kwako.
Thank you Mkuu!,Blood of Jesus.Tuko duniani kwa KUSUDI LA MUNGU! yaani iko sababu ya mimi na wewe kuwepo duniani. Tunapswa tuitafute hiyo sababu ili tuijue na tuiishi !
Hakuna sababu yeyote ya kuwashukuru wazazi, bali tunapaswa kuwaheshimu.
after all, life is treasure regardless its burdens.
Kumbuka kabla ya kuingizwa tumboni kwa mama ako, ulikuwa ndani ya boxer ya dingi yako ambaye kunyoa vuzi na kufua boxer anadhani ni ubishoo achilia mbali joto kali lenye harufu ya jasho mixer mkojo lililokuwa likikubabua.Mm bado naona dunia sio sehem sahihi ya mm kuja. Bora ningeachwa huko
Lakini si wajibu wao??!!..Le general hatushukuru wazazi kutuleta duniani.Tunashukuru kutulea na kutukuza.Hivyo vya kuletana duniani hata wanyama wanafanya.
Una tatizo la akiliHuwa nashangaa kweli watu tukishukuru Wazazi hasa Mama eti kwa kukuleta duniani.
Kuna kipi hasa cha maana huku duniani mpaka uwashukuru hao wazazi?
Yani tumetengeneza kitu kwamba huko ulikokuwepo hapakuwa sehem nzuri kuliko dunian.
Kama dunia kwako imejaa Mateso kwanini isiwe Lawama kwao? Hivi kwanza uliwaomba hao wazazi wakuzae?
Mi naona hakuna haja ya kushukuru mzazi yoyote katika hili. Kwasababu hamkukubaliana kukuleta duniani, walifanya kwa malengo yao, hivyo wao ndio walipaswa kukunyenyekea kukuleta huku.
Maisha hayana maana yoyote ile kwani mwisho wa siku kuna kufa, baada ya kufa kila ulichokifanya hakina maana tena kwako.
Mi nashukuru sana maana kwa kuja duniani napata nafasi ya kwenda mbinguni kuishi mileleHuwa nashangaa kweli watu tukishukuru Wazazi hasa Mama eti kwa kukuleta duniani.
Kuna kipi hasa cha maana huku duniani mpaka uwashukuru hao wazazi?
Yani tumetengeneza kitu kwamba huko ulikokuwepo hapakuwa sehem nzuri kuliko dunian.
Kama dunia kwako imejaa Mateso kwanini isiwe Lawama kwao? Hivi kwanza uliwaomba hao wazazi wakuzae?
Mi naona hakuna haja ya kushukuru mzazi yoyote katika hili. Kwasababu hamkukubaliana kukuleta duniani, walifanya kwa malengo yao, hivyo wao ndio walipaswa kukunyenyekea kukuleta huku.
Maisha hayana maana yoyote ile kwani mwisho wa siku kuna kufa, baada ya kufa kila ulichokifanya hakina maana tena kwako.
Jitaidi usiwe na watoto ili uwe muarobaini wa matatizo yaliyo/yanayokupata kwa kuzaliwa bila kumtuma mtu akuzae kwa hiyo unajuta kuzaliwa na hivyo usiwazae wengine kwa sababu hawajakutuma au sio mjomba?Ila kweli nisingezaliwa haya matatizo yote yasingekuepo ndio maana wenye roho nyepesi wanajinyonga.